Kufanya biashara na Watanzania mtandaoni ni taabu sana

Kufanya biashara na Watanzania mtandaoni ni taabu sana

Jiwe gizani

Wasumbufu wameguswa hapo juu

Ukiona blue ticks kwenye whatsap yangu unaweza ukaacha kabisa online business

Mtu anakuja na screenshot yenye bei Halafu anakuuliza bei gani?

Umeandika location anauliza unapatikana wapi

Picha umeweka anaomba picha zaidi

Wengine wanaomba mpaka feedback kutoka Kwa wateja wengine [emoji119]
Wengine wanaomba picha zaidi kujiridhisha, huwenda zile ulizo upload hazionekan vizuri, au kuna kitu alitegemea atakiona kwenye picha hajakiona vizur ndio maana anaomba picha zaidi.
Mda mwingine inabidi muwavumilie tu ukiwa mkali na nongwa nyingi unajikuta unafukuza mteja.
 
Feedback toka kwa wateja wengine ni muhimu..maana hata aliexpress na nk huko unakuta watu wameweka reviews zao kibao...

Reviews na feedback ni tofauti kiongoz
Siwezi kukupa picha za mtu ili nikushawishi utumie alichotumia
Hata TBS hawaruhusu.
 
Hili nalo ni tatizo au anataka utaje bei kwa kila anaye coment, mimi huwa nawapotezea mazima yaani anaona wa juu yake umemtajia bei na yeye anataka umtajie kwenye coment yake,

Tuna watu wengi sana wasiotambua na kuthamini muda siyo wa mtu mwingine hata wa kwao pia
Kwenye biashara yangu huwa Nna connection na wauzaji wengine
Unakuta mteja mmoja amerequest msaada Kwa wauzaji mpaka wanne tofauti, huyu mtu anaweza kujali muda wako?
 
Ukiwa mfanyabiashara kitu cha kwanza kabla ya vyote unatakiwa ujue mteja ni MFALME na MFALME anaweza akauliza au akataka kujua chochote kutoka kwako

Ungekua umesoma Customer care na Entrepreneur nadhani hio situation isingekupa shida maana ungejua una-deal na wateja wa aina ipi

Hakuna justification ya vitu wanavyofanya baadhi ya watu

Mteja mfalme unamfanyia delivery hapokei simu [emoji706]
 
Wengine wanaomba picha zaidi kujiridhisha, huwenda zile ulizo upload hazionekan vizuri, au kuna kitu alitegemea atakiona kwenye picha hajakiona vizur ndio maana anaomba picha zaidi.
Mda mwingine inabidi muwavumilie tu ukiwa mkali na nongwa nyingi unajikuta unafukuza mteja.

Biashara yangu si ya hivyo hata

Yaani picha nnazopiga ndo mawinga wanatumia kuuzia bidhaa

Na kwangu issue siyo picha ni kilichopo ndani

Waomba picha huwa wana kazi ya kwenda kutafuta bidhaa pengine,

Anaenda kwa fulani anamuuliza product anaambiwa lete picha, Anarudi kwangu anatomba picha anatuma kule,

Kudeal na wanawake kwenye biashara muda mwingine inabidi kuwa mkali , unless wanakupotezea muda bila sababu
 
Biashara yangu si ya hivyo hata

Yaani picha nnazopiga ndo mawinga wanatumia kuuzia bidhaa

Na kwangu issue siyo picha ni kilichopo ndani

Waomba picha huwa wana kazi ya kwenda kutafuta bidhaa pengine,

Anaenda kwa fulani anamuuliza product anaambiwa lete picha, Anarudi kwangu anatomba picha anatuma kule,

Kudeal na wanawake kwenye biashara muda mwingine inabidi kuwa mkali , unless wanakupotezea muda bila sababu
Labda nature ya biashara unayofanya, lakini binafsi sidhani kama kuomba picha zaidi na maelezo kuna ubaya.
 
Tena nakuona wew una kijitabia ,wateja watakukataa
Wateja wasumbufu me bora wanikatae tu.

mfano hapo Hornet anasema imagine mtu anakuoda unamplelekea then apokei simu mtu kama huyo unamuweka fungu gani?
 
Asilimia kubwa ya wafanyabiashara wa Mitandaoni ni matapeli na wajanja wajanja.......

Ila wapo wengi pia ambao ni wakweli.

Mimi nilinunua simu shilingi 800k kwa mtu nisiemjua nimeona tu picha instagram. Na akatuma vizuri bila shida. Then nikamuagizia na wife simu ya 1.8m na ikaja kwa basi simu mpya kabisa mpaka leo anaitumia.

Kuna jamaa anauza sendo nikaagiza 55k, size ikawa ndogo akaniambia nizirudishe. Kurudisha akaniambia kubwa yake zimeisha zitakuja baada ya mwezi, nikajua nimeshapigwa. Mwezi umepita mi nikawa nimeshasahau, nashangaa jamaa kanipigia simu mwenyewe bro mzigo umeshakuja kesho napakia.

Hawa wajanja wajanja wachache wanawaharibia biashara wale wastaarabu.
 
Ingawa niweke wazi kuna baadhi ya wauzaji hawana elimu ya vile vitu wanavyoviuza hii hata physically nimegundua. Unaiona bidhaa unamuuliza kuhusu baadhi ya sifa zake hata hajui hizo sifa ni kitu gani.

mfano mtu anauza computer anachojuanyy ni ram na hdd tu. unamuuliza hii processor ni i5 gen ya ngapi hajui.

mtu anauza simu anachojuayeye ni Ukubwa wa kamera ram na Storage tu.
Nilikwenda kwenye duka wanauza betri mbalimbali.
Namwambia nataka betri saizi AAA ananiangalia sana kisha anauliza ndizo zipi?
Huyu naye tumuadhibu?

Basi lina bango kuonyesha liendako lkn bado unaulizwa.

Tuvumiliane.
Taratibu tutafika.
 
Ila wapo wengi pia ambao ni wakweli.

Mimi nilinunua simu shilingi 800k kwa mtu nisiemjua nimeona tu picha instagram. Na akatuma vizuri bila shida. Then nikamuagizia na wife simu ya 1.8m na ikaja kwa basi simu mpya kabisa mpaka leo anaitumia.

Kuna jamaa anauza sendo nikaagiza 55k, size ikawa ndogo akaniambia nizirudishe. Kurudisha akaniambia kubwa yake zimeisha zitakuja baada ya mwezi, nikajua nimeshapigwa. Mwezi umepita mi nikawa nimeshasahau, nashangaa jamaa kanipigia simu mwenyewe bro mzigo umeshakuja kesho napakia.

Hawa wajanja wajanja wachache wanawaharibia biashara wale wastaarabu.
Wa kweli ni wengi mno mkuu ni umakini tu kwenye kujua unachonunua wanaopigwa wengi ni wapenda cheap.
Binafsi pia vingi sana siku hizi kuokoa muda nanunua online.
 
Kwenye uaminifu bado ni tatizo kubwa kwa wanaouza vitu online... na siku hizi wameibuka hawa wanaoagizia watu vitu China. Hao ndo hatari zaidi. Wengi ni matapeli na jeuri mno. Ukiagiza mzigo China ambao tayari upo dukani inachukua mwezi mmoja na nusu tu kufika lakini hawa wafanyabiashara uchwara wakikuagizia inaenda zaidi ya miezi miwili au hata minne bado hujapokea mzigo. NINI KIFANYIKE? Mi naona twende mwendo huu huu itafika mahala pande zote, muuzaji & mteja, zitakataa kufanyiwa upumbavu na mambo yatatulia.
 
Mkuu pote ni hivyo hivyo tu....watanzania sisi ni wasumbufu sana, vumilia tu ndio biashara
Hakuna mteja msumbufu, kumbuka unataka pesa yake naye pia anataka kujilizisha! nishanunua online kuna kipindj unakuwa unasita fikiria bidhaa ya million unadhani hautakuwa na maswali mengi,? lkn sasa hapo mtoa huduma ndio anapokuona msumbufu!
 
Ila wapo wengi pia ambao ni wakweli.

Mimi nilinunua simu shilingi 800k kwa mtu nisiemjua nimeona tu picha instagram. Na akatuma vizuri bila shida. Then nikamuagizia na wife simu ya 1.8m na ikaja kwa basi simu mpya kabisa mpaka leo anaitumia.

Kuna jamaa anauza sendo nikaagiza 55k, size ikawa ndogo akaniambia nizirudishe. Kurudisha akaniambia kubwa yake zimeisha zitakuja baada ya mwezi, nikajua nimeshapigwa. Mwezi umepita mi nikawa nimeshasahau, nashangaa jamaa kanipigia simu mwenyewe bro mzigo umeshakuja kesho napakia.

Hawa wajanja wajanja wachache wanawaharibia biashara wale wastaarabu.
Mkuu nicheki nikukaribishe kwenye biashara yangu kwa products za kisasa na za quality.
Wateja potential kama wewe ni wa muhimu sana.
Kwangu mteja ni mfalme
 
Ila wapo wengi pia ambao ni wakweli.

Mimi nilinunua simu shilingi 800k kwa mtu nisiemjua nimeona tu picha instagram. Na akatuma vizuri bila shida. Then nikamuagizia na wife simu ya 1.8m na ikaja kwa basi simu mpya kabisa mpaka leo anaitumia.

Kuna jamaa anauza sendo nikaagiza 55k, size ikawa ndogo akaniambia nizirudishe. Kurudisha akaniambia kubwa yake zimeisha zitakuja baada ya mwezi, nikajua nimeshapigwa. Mwezi umepita mi nikawa nimeshasahau, nashangaa jamaa kanipigia simu mwenyewe bro mzigo umeshakuja kesho napakia.

Hawa wajanja wajanja wachache wanawaharibia biashara wale wastaarabu.
Hii km ni kweli basi labda useme ni uko mambeleni. bongo tunajuana vizuri hakuna mtu wa kukufanyia uaminifu uo na hasahasa iwe DSM!
 
Sijui hata nani kawaloga. Unaweka maelezo yote kamili bei na njia ya mawasiliano etc.

Anakuja mtu anakuuliza maswali ambayo majibu yake kwenye maelezo ulishaweka. Yaani mwisho wa siku ni usumbufu tu. Anakwambia naomba picha zaidi wakati picha za kutosha umeshaweka kwenye tangazo. Mwingine anauliza bei tena wakati bei umeshaweka.

Anakuja anakusumbua maswali kibao mwisho wa siku anakwambia eti niidhani hivi na vile. Una muuliza ina maana maelezo ya bidhaa hukusoma kwenye Tangazo?

Ingawa wateja serious wachache sana pia huwa wapo tena hawanaga mambo mengi ni anakuja tu moja kwa moja anauliza discount na njia ya kuipata.
Wewe ndio mshamba
 
Back
Top Bottom