Anaulizia maswali ya wateja ya kupuuzi, hivi mfano umeweka bei sawa bado kila anaye coment anataka umtajie bei na aljsha ona coment zingine umetaja bei, unafanyaje? Sikiliza wanunuaji huwa hawa coment pale ananyanyua simu anakupigia,Mkuu tafuta kitu kingine ufanye. Biashara huwezi. Preferably ingia jeshi au tafuta makampuni ya ulinzi uombe kazi
Unalalamika maswali ya wateja? We ulitakaje yaani, mtu anunue tu bila kujiridhisha?
Kila mtu Hela yake inamuuma aisee, hakuna Hela za kutoa toa tu. Hata mtu akikuuliza swali lile lile mara elfu we mjibu. Acha kujiona matawi wakati Hela ya mteja unaitaka
Hahaa,Yaani chief watu wanakuuliza maswali ambayo yana majibu kwenye description tena umeyapanga very clear.
Na hili ndio kubwa, wabongo na waafrika kwa ujumla uaminifu ni zero kabisaa, nishapoteza laki 4 kununua simu mtandaoni ambayo sikuipataWauzaji pia sio waaminifu.. ndo maana wateja tunakua na maswali mengi ili kujiridhisha na huduma mkuu..
Imagine kuna mzgo nmeagiza kutoka dar tangu J3 ya wiki iliyopita, ila cha ajabu mpaka leo muuzaji hajautuma.
Uaminifu wenu ni ZERO
Ni mbuzi kabisa, wamejaa huko instagramSijawahi kuona wafanyabiashara wapuuzi kama wa Online katika hii nchi! Anaweka product na kazi yake tu ila specifications hamna na bei haweki anataka umpigie simu au uende inbox. Sasa unauza kitu ambacho thamani yake huijui ama! Hii tabia inakera mno mbadilike.
Ngoja tuendelee kumpopoa mawe mkuu, maana wachuuzi wa namna hii wanazinguaMkuu tafuta kitu kingine ufanye. Biashara huwezi. Preferably ingia jeshi au tafuta makampuni ya ulinzi uombe kazi
Unalalamika maswali ya wateja? We ulitakaje yaani, mtu anunue tu bila kujiridhisha?
Kila mtu Hela yake inamuuma aisee, hakuna Hela za kutoa toa tu. Hata mtu akikuuliza swali lile lile mara elfu we mjibu. Acha kujiona matawi wakati Hela ya mteja unaitaka
Mafala Hao mkuu, wapo kibao instagramMwingine anaweka tangazo, Bei haweki.
Anaaandika TU "serious buyer, check my pm"
Unabaki kujiuliza,
huyu mtu anaakili kweli?
Hivi Ni wangapi wataingia pm kwake?
Hajui kua wengine hushawishika kununua Kwasababu Bei iko chini?
yaani kweli nimexprience sana hii wanunuaji hawanaga mbambamba nyingi.Anaulizia maswali ya wateja ya kupuuzi, hivi mfano umeweka bei sawa bado kila anaye coment anataka umtajie bei na aljsha ona coment zingine umetaja bei, unafanyaje? Sikiliza wanunuaji huwa hawa coment pale ananyanyua simu anakupigia,
Huwa wanunuaji hawa coment hata siku 1, wale wanao.sumbua kwa coment sio wanunuaji wale
Hakuna anayekataa maswali mkuu maswali uanayajibu vzr tu.Ngoja tuendelee kumpopoa mawe mkuu, maana wachuuzi wa namna hii wanazingua
Yaani anafanya biashara halafu anataka awe anatoa amri badala ya kujibu maswali ya wateja wake, watu wengine ni useless kabisa
Mimi nimejiwekea kanuni, nikija dukani kwako usiponisikiliza siwezi kununua kwako, haiwezekani nitafute hela kwa Shida halafu kuitumia Tena iwe kwa Shida, mbona ukiingia Bar wale wahudumu wanakuuliza unachohitaji, Hawa wachuuzi wengine nyodo tu zimewajaa ilihali nao ni masikiniKuna watoa huduma Wana nyodo balaa sio tu online business kila idara MBADILIKE
Mkuu ww jibu tu maswali, hiyo si ndio kazi yako inayokupatia ugaliHakuna anayekataa maswali mkuu maswali uanayajibu vzr tu.
ila how mtu unakuja kuuliza swali ambalo kwenye item description lishajibiwa tena kwa mpangilio unaosomeka vyema.
Unakuja unauliza maswali ya kiwaki tena. Serious?? Yaani kwa mtu serious unasoma maelezo tu pale kwenye tangazo.
me nategemea kama kuna miss information ndizo hizo mtu aje inbox anihoji. Sio unamsumbua mtu kwa maswali ambayo tayari maelezo yake yametolewa.
Eeeboo...., kuna watu wanatia hasira sasa hao kuku wengine wameshanyonyolewa anatarajia upeleke wapi?Mkuu wabongo kwenye online sio kabisa, na bado saaa kwenye Delivery hapo ndio balaaa, anakumbia mfano niletee kuku walio.chinjwa watatu dakika za mwisho ndio unampelekea anakumbia nimepata shida hapa nitachukua mmoja tu au wawili. Acha kabisa
Sijawahi kuona wafanyabiashara wapuuzi kama wa Online katika hii nchi! Anaweka product na kazi yake tu ila specifications hamna na bei haweki anataka umpigie simu au uende inbox. Sasa unauza kitu ambacho thamani yake huijui ama! Hii tabia inakera mno mbadilike.
Sisi wauza urembo unakuta mdada anataka wanja anachagua mmoja anautest halafu anarudisha anachukua mpya ambao haujaguswa ndio ananunua ule aliotest anakuachia .Hii tabia wanafanya hata kwa bidhaa nyingine pia .
Mimi nimeacha kabisa kununua nguo, viatu na handbags online. Ptuuu Wabongo ni waongo rangi imewekwa filter, size za uongo, hata hand bag kwanini mtu asiweke hata rula kama kipimo. Unaagiza handbag kubwa kinakuja kidunchu cha kuchezea watoto.
Ukichukulia kila mteja ni knowledgable unalostSahii kabisa,
Unapodeal na wateja unadeal na Aina za watu tofauti, Kama Huwezi kunyumbulika kuendana nao wote lazima biashara uione ngumu[emoji4]
Mie huwa nafanya direct selling ama door to door kuna ambao nafunga nao biashara mapema ila kuna ambaye lazma upoteze zaidi ya dakika 20!Wateja watalaumiwa bure,
Ila Tatizo linaanzia kwa wauzaji wenyewe,
Wengi wao Hawana elimu ya marketing, maswali kdg mteja anakudadisi, tayar muuzaji ushapanic.
-Sasa asipokuuliza maswali wewe,unadhani atamuuliza Nani?
- Unadhani Kuna mjinga atatoa pesa mfukoni kirahisi kulipia bidhaa ambayo hajajiridhisha uhalali,ubora na uaminifu nayo?
Yah mkuu ndio maan biashara za Bar znafanikiw sana kuliko hata awa wengine,biashara pekee haitoshi bila kuwekeza ukarimu kwa watejaMimi nimejiwekea kanuni, nikija dukani kwako usiponisikiliza siwezi kununua kwako, haiwezekani nitafute hela kwa Shida halafu kuitumia Tena iwe kwa Shida, mbona ukiingia Bar wale wahudumu wanakuuliza unachohitaji, Hawa wachuuzi wengine nyodo tu zimewajaa ilihali nao ni masikini
Tena nakuona wew una kijitabia ,wateja watakukataaHakuna anayekataa maswali mkuu maswali uanayajibu vzr tu.
ila how mtu unakuja kuuliza swali ambalo kwenye item description lishajibiwa tena kwa mpangilio unaosomeka vyema.
Unakuja unauliza maswali ya kiwaki tena. Serious?? Yaani kwa mtu serious unasoma maelezo tu pale kwenye tangazo.
me nategemea kama kuna miss information ndizo hizo mtu aje inbox anihoji. Sio unamsumbua mtu kwa maswali ambayo tayari maelezo yake yametolewa.