Kufanya kazi vijijini nilikuwa nasikiaga tu kwa jirani

Wewe n mwalimu wa shule Msingi siyo
 
[emoji1787]kmmmk, kitakachofuata hapo ni kifo tu.
 
Piga picha tuone
 
Tulikubaliana na mwenye Nyumba kubadili chumba taratibu.Na alipoona kuwa inawezekana akahamisha fikra kuwa kumbe ni swala dogo sana ukifanya taratibu.
 
We chalii unapenda kuchangamsha genge hapa

Kuna thread moja ulisema ww ni ke saivi nakuona upo wa Me

Thread yako ulosema ME wako unampenda ila hana pesa

Huyu Jamaa ni Muongo tu
 
Hizo zote ni fursa wewe wacha kupondea maisha ya kijijini! Jiongeze mwalimu uweke vitu vya maana. Kopa hela benki ujenge nyumba ya kupangisha hao maafisa wenzio! Weka salon nzuri upige hela mwalimu!
 
Choo cha shimo afu kimejaa ukidosha ndoga inakurudishia chenji kwa tako
 
Pump za dawa za Nyanya 😁😁😁 ukipiga vibaya upepo ukaingia usoni ni kuwashwa wiki nzima.😁😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…