Kufanya kazi vijijini nilikuwa nasikiaga tu kwa jirani

Ubaya hili jamaa lilianzisha thread za utani. Vijijini sasa hivi walimu ni matajiri. Nimeenda huko Tanganyika kijiji kimoja hivi nikakuta mwalimu kufungua biashara ya agent wa Bia na wakala anapiga hela siyo mchezo! Huyo ukimwambia unamhamishia mjini hakualewi!
 
sure!!!?
 
Acha kazi uende mjini!! watu Wanaishi sehemu hata umeme hakuna,saloni, nyumba za mabanda na wanaona sawa tu
 
Mishahara laki mbili tu.
Just fvckin 200,000/-
What a hell of a shit life! Could you believe it?
Duh, basi avumilie hapo hapo.

Ila huyu mwenzetu ni jinsia gani?
 
Wewe si ndio umefungua uzi mmeo ameshindwa kukupatia mimba?.
 
Acha kazi ukapumzike mjini Raha mustarehe
 
Umepanga nyumba mbovu
 
Inaitwaje?
 
Kila siku unabuni story mpya. hongera uko vizuri sana
 
Tafuta kuku wa kienyeji hapo kjjn maisha yatabadilika mpaka ushangae.Huyo demu atakupa Siri ya kuishi hapo kwa furaha na kukupa michongo hakikisha huyo demu hajawahi kwenda mjini n akarudi kijijini utakutana na UTI iliyoshindikana hadi korodani zikatike
 
Mbona matatizo yamekuandama hivyo afsa ? Mpwayungu village akija hapa sijui kama mtaelewana na hivi anachukia walimu kweli kweli.
 
Karibu mkuu,sie tumeshazoea,hiyo salon sisi ndio sehemu zetu za kupigia story usiku,kunawekwa ki TV cha Panasonic chogo inch 14 basi raha tupu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…