Kufeli kwa mtoto wa kigogo kulivyobadili namna ya kutangaza Matokeo ya NECTA

😂😂Una roho ngumu
 
Malima alikua Waziri wa elimu kipindi Cha mwinyi,kipindi Cha Nyerere mpaka padri alikuwa Waziri wa elimu,hiyo wizara ilikua haramu kwa muislam,hata hivyo malima hakukaa Sana hapo elimu,kelele zilikua nyingi akatolewa,rais wa pili muislam alipoingia aliwekw Waziri wa elimu muislam kwa kipindi chake chote
 
Haya matokeo ndiyo inaonesha picha na hali halisi kwa taifa wapi lilipo

Haya tuendeleeee kukata maunoooo


Ova
Uswahilini wazazi ndo chanzo cha Elimu mbovu.
Watoto hawaelewi
 
Acha kupindisha ukweli Mzee.
Mwanaasha ndo alileta yote haya.

Ilikuwa aibu kubwa sana Kwa Mzee kipindi hicho, watu tulicheka sana
Enzi hizo nipo u boyzn vijijini huko tunapokea taarifa ya mtoto wa Rais kupata 4 ilikua mada nzito sana
 
Mkuu hujui tu namba ni nzuri kuficha wasahihishaji kutumia mianya ya kuwajua watu muulize mtoa Uzi a
2017 ulikua form 2
😂Dah
 
Nchi hii haiwezekani wallah....
 
Mimi bado nilikuwa natafakari hii post ILA kumuingiza Muheshimiwa Samia, nakushauri uirekebishe posti yako kwani inatuletea udini. Samia hakuwa kwenye uongozi (2005-2015). Lakini pia Uliyemdhania Muh Kikwete, sio rais wa kwanza muislam Tanzania.
Lakini pia; Kiongozi aliyetajwa sio lazima awe Rais, Pengine alikuwa waziri?
Wewe ungetoa majibu uliyotoa kama unahakika nayo ila kutaja taja majina ya waheshimiwa sio sawa kabisa
Ni mtazamo wangu tu!
 
Watamotishwa kimya kimya na vyeti watapewa.
 
Hahaa
 
Ni sahih kbsa Tena kukwet angetokeza hadharani kuwashukuru Baraza kwa kitendo Cha kuwa wakweli Bila kumbeba beba Safi jk wee Ni master mind

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Acha kupindisha ukweli Mzee.
Mwanaasha ndo alileta yote haya.

Ilikuwa aibu kubwa sana Kwa Mzee kipindi hicho, watu tulicheka sana
Na we unaamini hilo, kabsaa?!!
Sasa hapo, kwa mamlaka yake, mbona ilikuwa issue ndogo sana......kuwaagiza tu necta mpeni point 8 huyu.

Feza girls?!!!!!!! Ilikuaje mtu asiye na uwezo kama huyo afike f4 bila baba yake kushauriwa vinginevyo?!!!
 
Jamaa kazungumzia utangazaji matokeo. Elewa nada.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…