balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
MwanaashaBack those years, huenda vijana wa Leo hamelewi hili.
Iko ivi Enzi hizo Matokeo ya Mtihani yakitoka yalikuwa na majina siyo candidate number kama ilivyo sasa. Kulitokea la kutokea binti wa Rais kipindi hicho 2005-2015. Alifail peke yake darasa zima Div IV 27 shule maarufu hapo Mzizima.
You know what, kilichofuata ni kwamba kutaja majina ya wanafunzi ikaonekana hakuna tija watumie tu number zao. Hiyo ndo historia ya candidate number badala ya jina kwenye Matokeo ya NECTA.
Nafikiri mmenielewa.
Kweli; kwenye majina, hususani la samia, nimechemka. Ila kuhusu kikwete ni kweli yeye ndiye aliyelengwa kipindi hicho....nakumbuka vizuri na hata baadhi ya wadau hapo juu wamesema.Mimi bado nilikuwa natafakari hii post ILA kumuingiza Muheshimiwa Samia, nakushauri uirekebishe posti yako kwani inatuletea udini. Samia hakuwa kwenye uongozi (2005-2015). Lakini pia Uliyemdhania Muh Kikwete, sio rais wa kwanza muislam Tanzania.
Lakini pia; Kiongozi aliyetajwa sio lazima awe Rais, Pengine alikuwa waziri?
Wewe ungetoa majibu uliyotoa kama unahakika nayo ila kutaja taja majina ya waheshimiwa sio sawa kabisa
Ni mtazamo wangu tu!
Endelea kuishi kama digidigi. Unatafutwa na Manara, baba levo na Mwijaku. Wakikukamata umekwishaMkuu kygata [emoji1787][emoji1787]umeona uje kbsa na ushahidi
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
We muongo ni 2011 sio 2016..2016 sio namkumbuka vizuri tena kipindi hicho matokeo yanatoka.
Nipo form 2 naanza anza 2017 February hapo daaah skendo ilivuma from dar to chuga just imagine mazeee div 4 ya kwanza feza girls daaah ni aibu demu mwenyewe alikuwa anachukua arts si sayansi au business ila ndo hivyo sasa Mungu hawezi kupa kila kitu ila saizi anamaisha mazuri [emoji1787]
Ashasema 2017 yupo form 2....msamehe bure mwanao huyo.We muongo ni 2011 sio 2016..
Kama kweli basi saluti kwake Jah Kaya...alikuwa na uwezo wa kubadili hayo matokeo kwa nafasi yake...kuna watu wadogo tu kicheo waga wanabadili matokeo...Na we unaamini hilo, kabsaa?!!
Sasa hapo, kwa mamlaka yake, mbona ilikuwa issue ndogo sana......kuwaagiza tu necta mpeni point 8 huyu.
Feza girls?!!!!!!! Ilikuaje mtu asiye na uwezo kama huyo afike f4 bila baba yake kushauriwa vinginevyo?!!!
Ni kweli mwanangu uyo.Ashasema 2017 yupo form 2....msamehe bure mwanao huyo.
Form two 2017? Asee kumbe humu tunabishana na vitoto vyetu.2016 sio namkumbuka vizuri tena kipindi hicho matokeo yanatoka.
Nipo form 2 naanza anza 2017 February hapo daaah skendo ilivuma from dar to chuga just imagine mazeee div 4 ya kwanza feza girls daaah ni aibu demu mwenyewe alikuwa anachukua arts si sayansi au business ila ndo hivyo sasa Mungu hawezi kupa kila kitu ila saizi anamaisha mazuri 🤣
😂😂😂😂😂Hivi mkuu hizi stori zilikuwaga kweli au tetesi mana nilisikiaga tuBack those years, huenda vijana wa Leo hamelewi hili.
Iko ivi Enzi hizo Matokeo ya Mtihani yakitoka yalikuwa na majina siyo candidate number kama ilivyo sasa. Kulitokea la kutokea binti wa Rais kipindi hicho 2005-2015. Alifail peke yake darasa zima Div IV 27 shule maarufu hapo Mzizima.
You know what, kilichofuata ni kwamba kutaja majina ya wanafunzi ikaonekana hakuna tija watumie tu number zao. Hiyo ndo historia ya candidate number badala ya jina kwenye Matokeo ya NECTA.
Nafikiri mmenielewa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sijui nimecheka nn? Khaaaah2017 ulikua form 2
Wee Jesca alipata 4 ya 33, sahv yuko BOT.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] tena Fedha girls.
Kuna yule wa Mwendazake alioata zero kabisa ila akawa anasoma Udom [emoji1787][emoji1787]
Sio 2011 ni 2010 mkuu 💩We muongo ni 2011 sio 2016..
😂😂Una roho ngumu
Na mie huwa najiuliza, kweli walishindwa kumpa hata 2 ya 18? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na we unaamini hilo, kabsaa?!!
Sasa hapo, kwa mamlaka yake, mbona ilikuwa issue ndogo sana......kuwaagiza tu necta mpeni point 8 huyu.
Feza girls?!!!!!!! Ilikuaje mtu asiye na uwezo kama huyo afike f4 bila baba yake kushauriwa vinginevyo?!!!
Padri yupi huyo alikuwa waziri wa elimu?Malima alikua Waziri wa elimu kipindi Cha mwinyi,kipindi Cha Nyerere mpaka padri alikuwa Waziri wa elimu,hiyo wizara ilikua haramu kwa muislam,hata hivyo malima hakukaa Sana hapo elimu,kelele zilikua nyingi akatolewa,rais wa pili muislam alipoingia aliwekw Waziri wa elimu muislam kwa kipindi chake chote
Kwanini?Mkuu hata 2008 hawakuweka majina
nilitaka nimwambie hili. Ila kuhusu kumchukia sa100 hata mimi nipo.Mtoa mada najua unamchukia Kikwete na samia bila shaka lakini usiwe muongo na mzushi.....sababu iliyopelekea kuacha kutumia majina ni kuiepuka taharuki ambayo ilianza kutokea ya watu kukimbilia kuangalia majina ya mwanafunzi na kuyahusisha na imani yake. Jambo hili lilianza kuchukua mkondo tofauti na hatimaye serikali ikaja na mbinu hiyo.
Muongo huyo, siyo muandiko wa mtu mwenye miaka 19 huo!Form two 2017? Asee kumbe humu tunabishana na vitoto vyetu.
Ndo kama unavyoona hakuan TO tena wa top ten kisa government schools zimeboronga na mkopo wa COVID 19 Mmechukua.So what