Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
niliishazoea kuambiwa maneno hayo mkuu wewe sio wa kwanza japo natambua hakuna marefu yasiyokuwa na ncha....nani alijua kuwa magufuri atakufa 2021?....Ndio kama wazazi wako hawakukuandalia fursa ukome
Unataka matokeo ya former first lady?Shusheni na ya Janet Magufuli Wazee.
Nadhani alishamaliza shule LondonMWANAASHA JAKAYA KIKWETE = DIVISHENI FOO.
Nasikia yuko BOTDiv 4 point 26 amefeli???
Yule wa Div 4 ya 30 pale St Matthew anawekwa Kundi gani???
Maisha ni mvurugano tyuuh.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Now anawacheka waliomcheka..Dahhh!
2012 std 7, hadi wenye 70 walienda 4m 1 2013.Aliokoa sana Jahazi darasa la saba mpaka mwenye piont 90 alienda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] 2012 walipanga matokeo kwa njia ya B.R.N kwenye mwaka wetu wakafuta wakatuwekea div four mpaka 40[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] dah kusoma na watoto wa wakubwa raha sana[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Mkuu!!..Dah walikua wanazingua mbwa wale kutuwekea watu majina.
Leo hii anafanya kazi wapi?Back those years, huenda vijana wa Leo hamelewi hili.
Iko ivi Enzi hizo Matokeo ya Mtihani yakitoka yalikuwa na majina siyo candidate number kama ilivyo sasa. Kulitokea la kutokea binti wa Rais kipindi hicho 2005-2015. Alifail peke yake darasa zima Div IV 27 shule maarufu hapo Mzizima.
You know what, kilichofuata ni kwamba kutaja majina ya wanafunzi ikaonekana hakuna tija watumie tu number zao. Hiyo ndo historia ya candidate number badala ya jina kwenye Matokeo ya NECTA.
Nafikiri mmenielewa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nadhani alishamaliza shule London
Mkuu huyo ni Mwanaisha...ilikua mwaka 2011 na ndio mwaka niliomaliza pia form 4.....Sio 20162016 sio namkumbuka vizuri tena kipindi hicho matokeo yanatoka.
Nipo form 2 naanza anza 2017 February hapo daaah skendo ilivuma from dar to chuga just imagine mazeee div 4 ya kwanza feza girls daaah ni aibu demu mwenyewe alikuwa anachukua arts si sayansi au business ila ndo hivyo sasa Mungu hawezi kupa kila kitu ila saizi anamaisha mazuri 🤣
Tuwekee matokeo ya Jesca![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] tena Fedha girls.
Kuna yule wa Mwendazake alioata zero kabisa ila akawa anasoma Udom [emoji1787][emoji1787]
Padri nani alikuwa Waziri wa Elimu enzi za Nyerere???Malima alikua Waziri wa elimu kipindi Cha mwinyi,kipindi Cha Nyerere mpaka padri alikuwa Waziri wa elimu,hiyo wizara ilikua haramu kwa muislam,hata hivyo malima hakukaa Sana hapo elimu,kelele zilikua nyingi akatolewa,rais wa pili muislam alipoingia aliwekw Waziri wa elimu muislam kwa kipindi chake chote
Kipi kilimtoa Ndalichako pale NECTA labda???Na we unaamini hilo, kabsaa?!!
Sasa hapo, kwa mamlaka yake, mbona ilikuwa issue ndogo sana......kuwaagiza tu necta mpeni point 8 huyu.
Feza girls?!!!!!!! Ilikuaje mtu asiye na uwezo kama huyo afike f4 bila baba yake kushauriwa vinginevyo?!!!
Nawe tuambie kwanza kipi kilimpeleka pale NECTA? Ukimaliza hilo tuambie ni kivipi yeye alitakiwa awe wa milele pale.Kipi kilimtoa Ndalichako pale NECTA labda???
Simon chiwangaPadri nani alikuwa Waziri wa Elimu enzi za Nyerere???
Msiwe na dhana mbovu, kuwa ukifeli masomo darasani ndio umefeli maisha.2016 sio namkumbuka vizuri tena kipindi hicho matokeo yanatoka.
Nipo form 2 naanza anza 2017 February hapo daaah skendo ilivuma from dar to chuga just imagine mazeee div 4 ya kwanza feza girls daaah ni aibu demu mwenyewe alikuwa anachukua arts si sayansi au business ila ndo hivyo sasa Mungu hawezi kupa kila kitu ila saizi anamaisha mazuri 🤣
Bado umeyatunza matokeo ya mtoto wa mzee hadi leo hii? Una shida gani weweHuyo hapo, number 25