Nilichogundua nchi masikini hazijiamini kwa lolote[emoji3][emoji3]
Marekani wanaigiza siri nzito za serikali tena ambazo zinaionesha marekani ikifadhili ugaidi au ikipanga shambulio ona series kama Condor,odyses,deep state
Kifupi nchi masikini zinawasiwasi! katika kuigiza wenzetu ndio wanaongeza kufikiri kuboresha, na kuangalia mianya ambayo wao hawakuiona
Mfano mwingine :
budget ya ulinzi
vifaa vya kijeshi nk huwezi pata tz lakini mabeberu wanazo na wanatengeneza video za firepower index.Lakin huku izi taarifa zinAfichwa balaa sasa najiuliza zinafichwa kwa kumlenga nani??
Nchi za nje wanajua hata vya siri? maadui wanazo sisi tunamficha layman au wananchi wasio na hata impact