Uchaguzi 2020 Kufungiwa Lissu kwa siku 7 ni ‘advantage’ kubwa sana kwake

Uchaguzi 2020 Kufungiwa Lissu kwa siku 7 ni ‘advantage’ kubwa sana kwake

Lisu ana jitutumua Ila hana uwezo wa kupambana na JPM katika sanduku la kura, na anajua anakwenda kushindwa sasa anatengeneza mazingira ionekane ana nyanyaswa Ila haita zuia kuchezea kichapo kwenye sanduku la kura.
Anatengeneza vipi mazingira, kwani Lissu kajifungia mwenyewe, waambie NEC ndio wanaomtengenezea mazingira.
 
Chadema mnaaongoza kwa kujidanganya tena mchana kweupe, nyie lisu anajulikana mtandaoni tu wananzengo hawajui

Kwani wale wanaokwenda kwenye mikutano huwa inafanyikia hapa mtandaoni. Hadi mbogamboga wanafunga shule ili kubalanzi nyomi ya Lissu kwenye mikutano yao halafu useme anapendwa mitandaoni. Sasa huyo ambaye hawezi kufanya mkutano hadi aende kwenye shoo za wasanii ndiye anakubalika wapi maana mitandaoni hayupo kitaa hayupo.
 
FANYA KAZI KWA BIDII SIO MAGUFULI WALA LISU ATAKAYE KULETEA MAENDELEO.
hakuna sehemu yenye Vita wanapoishi kwa kula raha
Kuna wakati mwingine hiyo amani haina maana kama watu tunaishi kama mbwa koko kwenye nchi yetu.
 
Mnafunika kombe Lissu apite hahaha yeye kama kweli mwanaume na anajua sheria asimamie maneno yake ya kwamba lazima aendelee na kampeni tuone nani mwamba.


Sio muanzishe uzi za kutaka kuaminisha watu kua Lissu kaamua kuacha kuendelea na kampeni kwa sababu yenu
na ushauri wenu sote tunajua Tundu Lissu amefyata mkia
Hata alivyowadindia polisi mliongea upuuzi Kama huu
 
Mnafunika kombe Lissu apite hahaha yeye kama kweli mwanaume na anajua sheria asimamie maneno yake ya kwamba lazima aendelee na kampeni tuone nani mwamba.


Sio muanzishe uzi za kutaka kuaminisha watu kua Lissu kaamua kuacha kuendelea na kampeni kwa sababu yenu
na ushauri wenu sote tunajua Tundu Lissu amefyata mkia
Umasikini wa akili na fikra ni umasikini mbaya sana, hapa ndipo ccm ilipotufikisha
 
FANYA KAZI KWA BIDII SIO MAGUFULI WALA LISU ATAKAYE KULETEA MAENDELEO.
hakuna sehemu yenye Vita wanapoishi kwa kula raha

Wewe insonekana huelewi impact ya Siasa kwenye maendeleo ya mwananchi mmoja mmoja, hivi ukilima mazao yako halafu kuna Soko zuri nchi jirani ukaambiwa usipeleke huko matokeo yake ukauza kwa hasara unakuwa hujafanya kazi kwa bidii. Jaribu kushugulisha huo ubongo wako badala ya kutoa comment za kijinga. Hivi Siasa ingekuwa haina faida nchi masikini kama Tanzania kuna Faida gani ya kupoteza bilioni 350 katika uchaguzi wa kisiasa.
 
Chadema mnaaongoza kwa kujidanganya tena mchana kweupe, nyie lisu anajulikana mtandaoni tu wananzengo hawajui
Huu ni mkutano wa mitandaoni kwa Video conference.

C653B2BD-F62F-4CCE-8502-62660FB517B7.jpeg
 
Kwa hyo Bora nini tuingie kwenye Vita au tulinde amaani yetu?.
Unadhani Vita ikitokea hayo unayosema yatafanyika Tena?.
Nani atalima mazao wakati wa Vita?
Nani atanunua mazao wakati wa Vita?
Wewe insonekana huelewi impact ya Siasa kwenye maendeleo ya mwananchi mmoja mmoja, hivi ukilima mazao yako halafu kuna Soko zuri nchi jirani ukaambiwa usipeleke huko matokeo yake ukauza kwa hasara unakuwa hujafanya kazi kwa bidii. Jaribu kushugulisha huo ubongo wako badala ya kutoa comment za kijinga. Hivi Siasa ingekuwa haina faida nchi masikini kama Tanzania kuna Faida gani ya kupoteza bilioni 350 katika uchaguzi wa kisiasa.
 
Vita ikitokea unadhani utamuona lisu au magufuli wakihangaika?.
Wewe na familia yako na watu wengine ndo tutapata tabu.
Usiwape watu lawama kwa kushindwa kwako kufanikiwa kimaisha.
Wanasiasa watakutumia wewe Kama daraja wakishavuka HAWAKUJUI.
Wewe insonekana huelewi impact ya Siasa kwenye maendeleo ya mwananchi mmoja mmoja, hivi ukilima mazao yako halafu kuna Soko zuri nchi jirani ukaambiwa usipeleke huko matokeo yake ukauza kwa hasara unakuwa hujafanya kazi kwa bidii. Jaribu kushugulisha huo ubongo wako badala ya kutoa comment za kijinga. Hivi Siasa ingekuwa haina faida nchi masikini kama Tanzania kuna Faida gani ya kupoteza bilioni 350 katika uchaguzi wa kisiasa.
 
Kwa hyo Bora nini tuingie kwenye Vita au tulinde amaani yetu?.
Unadhani Vita ikitokea hayo unayosema yatafanyika Tena?.
Nani atalima mazao wakati wa Vita?
Nani atanunua mazao wakati wa Vita?
Wewe unadhani nani akichaguliwa ataleta vita au unataka wote wasichaguliwe.
 
Mnafunika kombe Lissu apite hahaha yeye kama kweli mwanaume na anajua sheria asimamie maneno yake ya kwamba lazima aendelee na kampeni tuone nani mwamba.


Sio muanzishe uzi za kutaka kuaminisha watu kua Lissu kaamua kuacha kuendelea na kampeni kwa sababu yenu
na ushauri wenu sote tunajua Tundu Lissu amefyata mkia
Post umesoma na kuielewa kweli.
Mtoa post ametoa ushauri tu... na ushauri unaweza kukubalika au kukataliwa.
Hakuna cha kufunika kombe hapa .
 
Apumzike tu,hamna haja ya kuvutana vutana sana,,
 
FANYA KAZI KWA BIDII SIO MAGUFULI WALA LISU ATAKAYE KULETEA MAENDELEO.
hakuna sehemu yenye Vita wanapoishi kwa kula raha
Acheni upumbavu kama nafanya kazi ya kulima nikitegemea nitauza mazao kwa wakenya kwa bei Nzuri ili nisomeshe watoto wangu alafu anakuja magufuli anaharibu mahusiano na wakenya kunakosababisha nishindwe kuuza mazao kwa bei Nzuri unataka kusema Magufuli hajaharibu maendeleo yangu?????


CCM mnatumia propaganda za zamani sana ili kuwakatisha tamaa watanzania ila ukweli sasa watanzania tumeujua. Kiongozi wa nchi na Sera zake ana mchango mkubwa sana kwenye maendeleo yetu na ustawi wetu!! Hili tumeliona kwa hakika kipindi hiki cha magufuli hasa sisi wakulima na Ndo mana tunamkataa kwa nguvu zote!!!

Tutamchagua Lissu na kuhakikisha anakuwa Raisi wa JMT. Liwake jua inyeshe mvua
 
Back
Top Bottom