Anatengeneza vipi mazingira, kwani Lissu kajifungia mwenyewe, waambie NEC ndio wanaomtengenezea mazingira.Lisu ana jitutumua Ila hana uwezo wa kupambana na JPM katika sanduku la kura, na anajua anakwenda kushindwa sasa anatengeneza mazingira ionekane ana nyanyaswa Ila haita zuia kuchezea kichapo kwenye sanduku la kura.
Chadema mnaaongoza kwa kujidanganya tena mchana kweupe, nyie lisu anajulikana mtandaoni tu wananzengo hawajui
Kuna wakati mwingine hiyo amani haina maana kama watu tunaishi kama mbwa koko kwenye nchi yetu.
Hata alivyowadindia polisi mliongea upuuzi Kama huuMnafunika kombe Lissu apite hahaha yeye kama kweli mwanaume na anajua sheria asimamie maneno yake ya kwamba lazima aendelee na kampeni tuone nani mwamba.
Sio muanzishe uzi za kutaka kuaminisha watu kua Lissu kaamua kuacha kuendelea na kampeni kwa sababu yenu
na ushauri wenu sote tunajua Tundu Lissu amefyata mkia
Umasikini wa akili na fikra ni umasikini mbaya sana, hapa ndipo ccm ilipotufikishaMnafunika kombe Lissu apite hahaha yeye kama kweli mwanaume na anajua sheria asimamie maneno yake ya kwamba lazima aendelee na kampeni tuone nani mwamba.
Sio muanzishe uzi za kutaka kuaminisha watu kua Lissu kaamua kuacha kuendelea na kampeni kwa sababu yenu
na ushauri wenu sote tunajua Tundu Lissu amefyata mkia
Umesahau tiss
FANYA KAZI KWA BIDII SIO MAGUFULI WALA LISU ATAKAYE KULETEA MAENDELEO.
hakuna sehemu yenye Vita wanapoishi kwa kula raha
Mioyoni mwa umma wa wapiga kuraLissu is trending wapi mitandaoni au mioyoni?. Aki trend mitandaoni asichaguliwe faida yake nini?.
Huu ni mkutano wa mitandaoni kwa Video conference.Chadema mnaaongoza kwa kujidanganya tena mchana kweupe, nyie lisu anajulikana mtandaoni tu wananzengo hawajui
Wewe insonekana huelewi impact ya Siasa kwenye maendeleo ya mwananchi mmoja mmoja, hivi ukilima mazao yako halafu kuna Soko zuri nchi jirani ukaambiwa usipeleke huko matokeo yake ukauza kwa hasara unakuwa hujafanya kazi kwa bidii. Jaribu kushugulisha huo ubongo wako badala ya kutoa comment za kijinga. Hivi Siasa ingekuwa haina faida nchi masikini kama Tanzania kuna Faida gani ya kupoteza bilioni 350 katika uchaguzi wa kisiasa.
Wewe insonekana huelewi impact ya Siasa kwenye maendeleo ya mwananchi mmoja mmoja, hivi ukilima mazao yako halafu kuna Soko zuri nchi jirani ukaambiwa usipeleke huko matokeo yake ukauza kwa hasara unakuwa hujafanya kazi kwa bidii. Jaribu kushugulisha huo ubongo wako badala ya kutoa comment za kijinga. Hivi Siasa ingekuwa haina faida nchi masikini kama Tanzania kuna Faida gani ya kupoteza bilioni 350 katika uchaguzi wa kisiasa.
Wewe unadhani nani akichaguliwa ataleta vita au unataka wote wasichaguliwe.Kwa hyo Bora nini tuingie kwenye Vita au tulinde amaani yetu?.
Unadhani Vita ikitokea hayo unayosema yatafanyika Tena?.
Nani atalima mazao wakati wa Vita?
Nani atanunua mazao wakati wa Vita?
Wewe unadhani nani akichaguliwa ataleta vita au unataka wote wasichaguliwe.
Post umesoma na kuielewa kweli.Mnafunika kombe Lissu apite hahaha yeye kama kweli mwanaume na anajua sheria asimamie maneno yake ya kwamba lazima aendelee na kampeni tuone nani mwamba.
Sio muanzishe uzi za kutaka kuaminisha watu kua Lissu kaamua kuacha kuendelea na kampeni kwa sababu yenu
na ushauri wenu sote tunajua Tundu Lissu amefyata mkia
Nimerejea mkuu.rejea nilipoanzia.
Sasa ni yupi atakayeleta vita endapo mmoja atachaguliwa.FANYA KAZI KWA BIDII SIO MAGUFULI WALA LISU ATAKAYE KULETEA MAENDELEO.
hakuna sehemu yenye Vita wanapoishi kwa kula raha
Fyatua huo mtego 😀Lissu huo mtego aliutega kipindi cha mda mrefu sana naona CCM wameshaingiza mguu.
Acheni upumbavu kama nafanya kazi ya kulima nikitegemea nitauza mazao kwa wakenya kwa bei Nzuri ili nisomeshe watoto wangu alafu anakuja magufuli anaharibu mahusiano na wakenya kunakosababisha nishindwe kuuza mazao kwa bei Nzuri unataka kusema Magufuli hajaharibu maendeleo yangu?????FANYA KAZI KWA BIDII SIO MAGUFULI WALA LISU ATAKAYE KULETEA MAENDELEO.
hakuna sehemu yenye Vita wanapoishi kwa kula raha