Kuhani Musa Richard Mwacha ni nani?

Swap kuelekea kushoto utaona vipande vya clip zote
 
Swap kuelekea kushoto utaona vipande vya clip zote


Ni kweli,

Na hao waliohongwa wakahama na kumtukana yamewakuta ya kuwakuta
Huko walikokua wanatukania wamefukuzwa wote

Matokeo yake wamerudi kwa huyo huyo Kuhani Musa wakidai walipitiwa na shetaniπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Endelea kujifunza kupitia jehovajiretv
 
Wamerudi? Sasa mbona mchungaji kavujisha siri za kondoo wake kuwa alikuwa shoga?
Mimi haya mambo yamenipita kushoto
 
Wamerudi? Sasa mbona mchungaji kavujisha siri za kondoo wake kuwa alikuwa shoga?
Mimi haya mambo yamenipita kushoto

Wamefukuzwa wote, kilichompata aliyewaita anakijua mwenyewe. Kama upo dar fika kwa kuhani Musa utawakuta

Shoga aliyepona na kumkufuru Roho wa Mungu kwa kuwa firauni

Mathayo 12:31-32
Kwa sababu hiyo nawaambia, Kila dhambi na kila neno la kufuru watasamehewa wanadamu, ila kwa kumkufuru Roho hawatasamehewa. Naye mtu ye yote atakayenena neno juu ya Mwana wa Adamu atasamehewa, bali yeye atakayenena neno juu ya Roho Mtakatifu hatasamehewa katika ulimwengu wa sasa, wala katika ule ujao.
 
Kwa kweli mimi na manabii wa dar hatupatani hivyo kufika huko siwezi.
Ila lililonishangaza ni kuwananga madhabahuni
Kwa hiyo baada ya kurudi hiyo kesi ya ubakaji ambayo eti mchungaji alioteshwa imekwisha au?
 
Kwa kweli mimi na manabii wa dar hatupatani hivyo kufika huko siwezi.
Ila lililonishangaza ni kuwananga madhabahuni
Kwa hiyo baada ya kurudi hiyo kesi ya ubakaji ambayo eti mchungaji alioteshwa imekwisha au?


Kesi ni ya jamhuri
 



Sumbawanga mtoto afufuka
ttps://youtu.be/PHUUbiYOEBY

Cancer

View attachment 2124268

Baada ya siku2
View attachment 2124312


Baada ya miezi 2

View attachment 2147561




Nimekuelewa sana. Ufufuo upo na uponyaji upo



Babu Ochu; mimi, wewe, huyo malkia wa freemason sote ni watanzania. Kila kitu kiko wazi upande wa Kuhani Musa tena vipo online hapo.

Sasa nadhani ili kuuthubitishia umma kwamba huo ni upuuzi kama unavyosema lazima uthibitishe kwamba hizo shuhuda ni za uongo. Hivi vitu havihitaji hata hasira vinahitaji tuu kuthibitishwa

Kuhusu matumizi ya biblia vifungu vya kuogofya vya ufunuo na agano la kale sioni kama vinaogofya kuliko matendo yanayofanyika na wanadamu wa leo, na wala hauna kipande cha maandiko matakatifu kisichotakiwa kutumika

Zaidi ya yote ili neno liweze kuwasaidia watu lazima lihubiriwe kwa nyakati na mazingira waliyomo na wanayoishi











Kwanini tunaongea maneno mengi ya kukataa bila kusema hayo anaayofanya yapo au hayapo?

Turudi kwenye maada, tuje na shuhuda kwamba yanayotendeka pale ni ya uongo au ni ya ukweli kwa maslahi makubwa ya umma




Umesema "Mtu akianza mara nabii, mtume au kuhani, mwulize ni nani aliyempa hicho cheo;" mimi nitakuuliza je, kina Ibrahimu, Musa, Yakobo walipewaga vyeo vyao na nani

Nimepata video ya Kuhani Musa akielezea historia yake kwa ufupi sana



Kuhusu hilo la kuandamana kwenda mortuary na kiongozi wa dini ili akafufue wafu nalo ulifikirie vizuri.
Habari za miujiza ya kufufua wafu ipo tangu enzi za manabii na Yesu Kristo mwenyewe lakini sio kila mtu anayekufa alifufuliwa

Nimesikiliza baadhi ya shuhuda za watu kufufuka sikuona popote pale ambapo amesema anataka kuwafufua; waliofikwa na hayo matukio ndio wamerudi kupaza sauti ya ufufuo





Sijawahi kusikia hilo la kuwako na kiingilio au la kutoa pesa ili watu waponywe. Labda mama kubwa na wengine hao walioshuhudia hapo juu au ndugu na jamaa zao watupatie ukweli wa hili ili tumjue Kuhani Musa zaidi







GREAT THINKERS wa Jamiiforums hivi huyu KUHANI MUSA RICHARD MWACHA ni nani haswa?
[/QUOTE]
Wewe ni chawa wa kuhani humu ndani. Period
 
Prophet kanyari

Taperi wa kenya

Ukifuatilia hii utagundua mwenyewe mtu ni mkweli au muongo


 
Huyu kuhani ni tapeli tu kama walivyo wa tuma na yakutolea
 
Kaingia hivi
πŸ‘‰

πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
sasa wewe na akili zako mbona mada yako haikuhusiana na wazazi? Ulishindwa kujiongeza? Mbona nakuonaga na akili sana Mama D shida ipo wapi?
 
sasa wewe na akili zako mbona mada yako haikuhusiana na wazazi? Ulishindwa kujiongeza? Mbona nakuonaga na akili sana Mama D shida ipo wapi?

Wanawake ni wazazi!
Kanisa ni mwanamke

Tusidharauliane
 
Na wewe fanya utumiwe na ya kutolea
Au wewe mwenzangu hutaki na ya kutole!?
Mimi sitaki mama d ila huyu mtume anawadanganya waliopo gizan na watu wasiojitambua , kua gizani sio kitu kibaya sema utatapeliwa mno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…