Swap kuelekea kushoto utaona vipande vya clip zoteKaribu, wakati unaweka video endelea kufuatilia mafundisho
- YouTube
Auf YouTube findest du die angesagtesten Videos und Tracks. AuΓerdem kannst du eigene Inhalte hochladen und mit Freunden oder gleich der ganzen Welt teilen.www.youtube.com
Kama upo Tanzania mfuatilie kwa JEHOVAJIRE TV channel 006 Azam, 455 Startimes
Swap kuelekea kushoto utaona vipande vya clip zote
Wamerudi? Sasa mbona mchungaji kavujisha siri za kondoo wake kuwa alikuwa shoga?Ni kweli,
Na hao waliohongwa wakahama na kumtukana yamewakuta ya kuwakuta
Huko walikokua wanatukania wamefukuzwa wote
Matokeo yake wamerudi kwa huyo huyo Kuhani Musa wakidai walipitiwa na shetaniπππ
Endelea kujifunza kupitia jehovajiretv
Wamerudi? Sasa mbona mchungaji kavujisha siri za kondoo wake kuwa alikuwa shoga?
Mimi haya mambo yamenipita kushoto
Kwa kweli mimi na manabii wa dar hatupatani hivyo kufika huko siwezi.Wamefukuzwa wote, kilichompata aliyewaita anakijua mwenyewe. Kama upo dar fika kwa kuhani Musa utawakuta
Shoga aliyepona na kumkufuru roho wa Mungu a
Mathayo 12:31-32
Kwa sababu hiyo nawaambia, Kila dhambi na kila neno la kufuru watasamehewa wanadamu, ila kwa kumkufuru Roho hawatasamehewa. Naye mtu ye yote atakayenena neno juu ya Mwana wa Adamu atasamehewa, bali yeye atakayenena neno juu ya Roho Mtakatifu hatasamehewa katika ulimwengu wa sasa, wala katika ule ujao.
sasa mama yangu kaingiaje hapo?Msalimie mama yako
Na usisahau kumwambia hiki ulichokiandikaπ€
Imani ni ufunuo wa Mungu kwa mwanadamu; ni ile hali ya akili ya mtu kupokea ukweli uliofunuliwa na Mungu akiambatanisha nafsi yake kwa Mungu.
Kuhani Musa Richard Mwacha amejulikana kama mtumishi wa Mungu mwenye imani kwa Kristo. Na amekua na huduma yake katika jiji la Dar es salaam kwa miaka michache sasa.
Ukifuatilia ni muda mfupi tangu aanze huduma ila utakutana na mambo mengi sana na kati ya hayo mengi ni style ya mahubiri yake, miujiza na maajabu kwenye ibada zake na idadi kubwa ya waumini alionao ndani ya muda mfupi sana maana miaka 3 au mi4 bado huduma ni changa.
Watu wengi tunajiuliza mengi sana juu ya mtumishi huyu. Wengi wetu hatuamini kama yanayonekana kuotokea ni ya kweli lakini pia wapo wanaoamini ni kweli.
ILA SWALI MOJA LA MSINGI "KUHANI MUSA NI NANI HASWA?
Shuhuda zimetolewa hadharani, na ni shuhuda zinazodhihirisha mambo magumu kufikirika katika hali ya kawaida. Ila hawa walioshuhudia wapo kati yetu, mtaani kwetu hata majumbani kwetu, kigoma, chato, kilimanjaro, sumbawanga, kagera, Dar es salaam mmetisha sana. Wenyeji wa huko mnasemaje kuhusu Kuhani Musa?
Fred William Rwegasira.
View attachment 2123813
Mr Rwegasira ni mzaliwa wa mkoa wa Kagera, Bukoba kule, Mkazi wa Salasala - Dar es salaam. Na sasa anaishi kimara
Innocent Carol Paulo
View attachment 2123832
Innocent Carol Paulo ni mzaliwa wa Chato. Na mkazi wa Tabata - Dar es salaam
Levina Lyamuya na mdogo wake
View attachment 2123876
Levina ni mwenyeji wa Kilema, Moshi- Kilimanjaro
Malkia
Wakorinto
KUHANI MUSA RICHARD MWACHA NI NANI??
Hakuna anayefufuliwa bosi. Ni drama tu kama za Gwajima wakati ule [emoji706]Ila mi bado najiuliza mbona hawa wanaofufuka hakuna maelezo sehemu nyingine yoyote zaidi ya ushuhuda wa hapo Kanisani? Ishu ya kufufuka siyo ndogo...
sasa wewe na akili zako mbona mada yako haikuhusiana na wazazi? Ulishindwa kujiongeza? Mbona nakuonaga na akili sana Mama D shida ipo wapi?Kaingia hivi
π
π π π π π
Mimi sitaki mama d ila huyu mtume anawadanganya waliopo gizan na watu wasiojitambua , kua gizani sio kitu kibaya sema utatapeliwa mnoNa wewe fanya utumiwe na ya kutolea
Au wewe mwenzangu hutaki na ya kutole!?