Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thus walitaka uchunguzi huru wauaji mkauzuiaHivi mbowe na genge lake la wakaskazini aliwahi kukanusha hizo tuhuma?
sem2708Dear JF members , ni wakati sasa mh Rais aamuru uchunguzi huru ufanyike dhidi ya waliptaka kumuua Tundu Lissu. Kwa kufanya hivyo serikali hii itajitanabaisha kuwa ni ya kutenda haki ... nawasilisha
UmkhontoweSizweHivi mbowe na genge lake la wakaskazini aliwahi kukanusha hizo tuhuma?
Mkuu kama Tundu Lissu alikuwa mtanzania wa kwanza kujua kwamba mwendazake amekata kamba (ukiacha watu wake wa karibu waliokuwa wanamuhudumia) kupitia sources zake, unafikiri hajui watu waliomshambulia kupitia sources hizo hizo? Suala la Lissu kupigwa risasi lina sarakasi nyingi sana, inaonekana parties nyingi sana zilishiriki hilo swala, maigizo ni mengi, ni kama lilipangwa kwa makusudi na kikundi flani kwa madhumuni flani flani...! But I can assure you Lissu anajua A.....Z about nini kilitokea that day.Nakubaliana nawe, lakini najua hawawezi kufanya hivyo. Hawa wote wanalinda maslahi yao hata kama kiongozi wao kaondoka.
Ndiyo, Tundu Lissu au mtu/watu wanaomwakilisha wawasilishe ombi hilo kiutaratibu ili pawepo na kumbukumbu.
Serikali wakikataa kwa kulinda watu wake au heshima yake hapo itajulikana wamekata.
Kwa hiyo Tundu Lissu atumie njia zake, kama bado hajaanza, kufanya uchunguzi wa kuwatambua bila ya shaka yoyote wahusika waliopanga na waliotumwa kutekeleza uhalifu huo.
Siamini kwamba hili jambo halimsumbui akilini Tundu Lissu, kutojua, au kutokuwa na uhakika na ushahidi kamili wa nani wahusika waliotaka kutoa roho yake.
Muuaji kafa yeye.Dear JF members , ni wakati sasa mh Rais aamuru uchunguzi huru ufanyike dhidi ya waliptaka kumuua Tundu Lissu. Kwa kufanya hivyo serikali hii itajitanabaisha kuwa ni ya kutenda haki ... nawasilisha
UmkhontoweSizweHivi mbowe na genge lake la wakaskazini aliwahi kukanusha hizo tuhuma?
Mbowe angehusika asingebaki salama. Kama kwa jinsi walivyomuandama!Hivi mbowe na genge lake la wakaskazini aliwahi kukanusha hizo tuhuma?
Duh!Mmoja wa hao mataga ni Pasco wa JF
mhusika kapendwa zaidi ,mtamfuata huko alipo?Dear JF members , ni wakati sasa mh Rais aamuru uchunguzi huru ufanyike dhidi ya waliptaka kumuua Tundu Lissu. Kwa kufanya hivyo serikali hii itajitanabaisha kuwa ni ya kutenda haki ... nawasilisha
Hio itarumdisha umoja na iman kwa watu, na zile sheria mbovu zilizopitishwa kwa Zarura, ziondolewe kwa Zarura, Hakuna mtu anayetaka na hofu ndani ya nchi yakeDear JF members , ni wakati sasa mh Rais aamuru uchunguzi huru ufanyike dhidi ya waliptaka kumuua Tundu Lissu. Kwa kufanya hivyo serikali hii itajitanabaisha kuwa ni ya kutenda haki ... nawasilisha
Aluyeamuru auawe ameishakufaDear JF members , ni wakati sasa mh Rais aamuru uchunguzi huru ufanyike dhidi ya waliptaka kumuua Tundu Lissu. Kwa kufanya hivyo serikali hii itajitanabaisha kuwa ni ya kutenda haki ... nawasilisha
Lissu ninani azalishwe yeye huko alipo anasafisha matako ya wazungu na mwenzie Lema na Corona hii chanjo hii wanachekacheka tu na kusema "mi ni mtu mkubwa Huko Africa nione hivi hivi "
Pumbavu
Uzuri MAKONDA bado yupo.mhusika kapendwa zaidi ,mtamfuata huko alipo?
Mama inaonekana anazuiwa na SUKUMA -GANG ambao bado hawajangatuka.Uzuri MAKONDA bado yupo.