Kuhusu dhuluma dhidi ya Tundu Lissu ni wakati muafaka sasa uchunguzi huru ufanyike

Kuhusu dhuluma dhidi ya Tundu Lissu ni wakati muafaka sasa uchunguzi huru ufanyike

Mkuu kama Tundu Lissu alikuwa mtanzania wa kwanza kujua kwamba mwendazake amekata kamba (ukiacha watu wake wa karibu waliokuwa wanamuhudumia) kupitia sources zake, unafikiri hajui watu waliomshambulia kupitia sources hizo hizo? Suala la Lissu kupigwa risasi lina sarakasi nyingi sana, inaonekana parties nyingi sana zilishiriki hilo swala, maigizo ni mengi, ni kama lilipangwa kwa makusudi na kikundi flani kwa madhumuni flani flani...! But I can assure you Lissu anajua A.....Z about nini kilitokea that day.
Mi nilipenda alivyokua kua anahoji Raisi yuko wapi🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Legasi ya mkulu aliyepita itaharibiwa...

Achana na hio ndoto mkuu,, fanya mambo mengine..
 
Kuhusu hili TL.kafanya kosa moja tu la kumtaja sana kwenye mikutano yule mzee wa watu aliyemsaidia kupata ndege ya kumpeleka Nairobi. Baada ya hapo jamaa walimuwekea vikwazo mpaka kaaga dunia kwa pressure!
 
Yaani shujaa muovu alipanga hadi mazishi ya Tundu Lissu wakisha muua. Mungu mwema kifo kikagoma wanamaombi tukaomba kama huyu aliye pigwa risasi hakufa basi aliye panga hayo mauaji afe yeye.
 
Umeme tu umewashinda ambao hauongei wala hauwezi kusema kwanini GePG ilifeli na ikifeli mbadala wake nn,..serikali imeamini mbadala nikumfukuza mtaalam(manager).mbele kwambele
 
Back
Top Bottom