young_stunner
JF-Expert Member
- Nov 9, 2016
- 374
- 551
Mi nilipenda alivyokua kua anahoji Raisi yuko wapi🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mkuu kama Tundu Lissu alikuwa mtanzania wa kwanza kujua kwamba mwendazake amekata kamba (ukiacha watu wake wa karibu waliokuwa wanamuhudumia) kupitia sources zake, unafikiri hajui watu waliomshambulia kupitia sources hizo hizo? Suala la Lissu kupigwa risasi lina sarakasi nyingi sana, inaonekana parties nyingi sana zilishiriki hilo swala, maigizo ni mengi, ni kama lilipangwa kwa makusudi na kikundi flani kwa madhumuni flani flani...! But I can assure you Lissu anajua A.....Z about nini kilitokea that day.
Yes, "tell us where is MAGUFULI"Mi nilipenda alivyokua kua anahoji Raisi yuko wapi🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sema mwamba walimuonea sana basi mi nadhani wkt ana ugulia maumivu Kuna wakati ata alitamani bora angekufa tuuYes, "tell us where is MAGUFULI"
LISSU alihoji panya buku zikaibuka kila moja na maharagwe yake ooh sijui kapumzika, sijui anachapa kazi , sijui nin kumbe daaa,Mi nilipenda alivyokua kua anahoji Raisi yuko wapi🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Raisi sio mtu wa kupunguka magomeni 🤣🤣🤣🤣LISSU alihoji panya buku zikaibuka kila moja na maharagwe yake ooh sijui kapumzika, sijui anachapa kazi , sijui nin kumbe daaa,