Kuhusu Mungu na chanzo cha Ulimwengu, kuna mahali hatuna taarifa kamili/sahihi?

Kaka upo sahihi.
Wengi akili zetu zipo programmed na mapokeo.
Nashauri tuamke kutoka ndani ili kujitambua zaidi.
 
Bila ubongo unaweza kutumia hiyo akili yako kufikiri?

Kama ubongo sio akili, Tukutoe huo ubongo kichwani halafu utumie hiyo akili yako kufanya vitu.
Akili haiwezi fanya kazi kama mojawapo ya kiungo muhimu mwilini hakipo, kwa maana ya utimamu wa mwili kutokuwa active.

Sio ubongo tu. Hata ukitoa mapafu tu basi akili bado haiwezi kufanya kazi
 
Sawa, nadhani ukiendelea kuchunguza wataalamu wame share picha za ubongo ukiwa na hitilafu flani, na ukiwa na normal health. Katika hali hizo mbili ubongo wakiscan picha zinaonekana tofauti, kwaio inaweza kupata physical problem pia na ikaathiri utendaji kazi wake na kusababisha kupatikana akili iliyo na hitilafu.

Unaweza ukagoogle picha za ubongo zinavyokuwa binadamu akipata ule ugonjwa wa uzeeni ambao unasababisha kumbukumbu kuwa chini.
 
Bila ubongo unaweza kutumia hiyo akili yako kufikiri?

Kama ubongo sio akili, Tukutoe huo ubongo kichwani halafu utumie hiyo akili yako kufanya vitu.

Je Hilo linawezekana?
Hahah umenivunja mbavu aisee... 😂 😂
 
Akili haiwezi fanya kazi kama mojawapo ya kiungo muhimu mwilini hakipo, kwa maana ya utimamu wa mwili kutokuwa active.

Sio ubongo tu. Hata ukitoa mapafu tu basi akili bado haiwezi kufanya kazi
Ulisema ubongo sio akili, Sasa nakuuliza hivi Tukutoe huo ubongo kichwani halafu utumie hiyo akili yako ambayo ipo separated na ubongo unaweza?

Acha kuleta ufafanuzi uchwara.

Jibu swali.
 
Ulisema ubongo sio akili, Sasa nakuuliza hivi Tukutoe huo ubongo kichwani halafu utumie hiyo akili yako ambayo ipo separated na ubongo unaweza?

Acha kuleta ufafanuzi uchwara.

Jibu swali.
Ukinitoa ubongo utakuwa umesababisha kufeli kwa mfumo wangu wa upumuaji pamoja na mapigo ya moyo kwa maana ubongo ni kiungo muhimu katika shughuli hizo.

Hapo akili haiwezi kufanya kazi kabisa kwa maana mwili umezima.
 
Ni kweli ubongo unaweza pata maradhi au matatizo ambayo yanaonekana, hivyo itasababisha shida kwenye mfumo wa akili.

Lakni bado ni vitu viwili tofauti
 
Ukinitoa ubongo utakuwa umesababisha kufeli kwa mfumo wangu wa upumuaji pamoja na mapigo ya moyo kwa maana ubongo ni kiungo muhimu katika shughuli hizo.

Hapo akili haiwezi kufanya kazi kabisa kwa maana mwili umezima.
Sasa kama akili haiwezi kufanya kazi bila ubongo, Utasemaje ubongo sio akili?

Kama ubongo sio akili, Kwa nini ukitolewa ubongo, akili haiwezi kufanya kazi yenyewe tu?
 
Ni kweli ubongo unaweza pata maradhi au matatizo ambayo yanaonekana, hivyo itasababisha shida kwenye mfumo wa akili.

Lakni bado ni vitu viwili tofauti
Kama ubongo na akili ni vitu viwili tofauti.

Hiyo akili inakaa wapi?
 
Sasa kama akili haiwezi kufanya kazi bila ubongo, Utasemaje ubongo sio akili?

Kama ubongo sio akili, Kwa nini ukitolewa ubongo, akili haiwezi kufanya kazi yenyewe tu?
Ubongo sio akili. Nadhani nimesha eleza yote kuhusu hilo. Kama bado huelewi basi that's up to you.
 
Ubongo sio akili. Nadhani nimesha eleza yote kuhusu hilo. Kama bado huelewi basi that's up to you.
Umeeleza nini zaidi ya kujibu usivyo ulizwa?

Nakuuliza hivi 👇

Kama ubongo sio akili, Hiyo akili inakaa wapi?

Jibu swali acha danadana.
 
Wewe inaonesha hata Physics hukusoma.

Unaleta mifano ya kitoto sana na ufafanuzi uchwara.
Ni kweli physics sijasoma, ila hiyo physics ya mainstream Education yaweza kuwa sababu pia kuzaa watu ambao wamelishwa uongo mwingi na kuaminisha mambo yasio na uhalisia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…