Kuhusu Mungu na chanzo cha Ulimwengu, kuna mahali hatuna taarifa kamili/sahihi?

Finally, ukifa ndiyo utajua hujui
Hata kabla hatujafa tayari tunajua hatujui, sasa kama tupo hai na hatujui itawezekanaje kujua wakati tutakapokuwa bila uhai? Tunapaswa kujua sasa,ili tuwe na hakika ya aftermath kwenye ulimwengu huu, labda kuna mtu au watu wanajua? Kama wapo kwa nini hawataki na sisi tujue? Au hakuna anayejua? Sasa kwa nini watudanganye kuwa wanajua? Na eti hicho wanachokijua wao ndiyo sahihi kabisa,kisichopaswa kuhojiwa wala kupingwa, na mbona sifa za mungu haziwiani na uhalisia? Mfano mungu wa upendo anayeabudiwa na waislam, waislam ambao wanafanyiwa ukatili wa kutisha huko palestina na kwingineko, mamilioni ya wayahudi walichinjwa kwenye hollocaust huko ujerumani huku yhw akiwatazama tu bila kuwasaidia chochote,wakristo wanateseka kila mahali dunia hii,na jehova ameamua kuacha wafe tu, angalau Budha wanatumia zaidi akili zao binafsi kupambana na mazingira, ndiyo maana labda wao kidogo wana utulivu, ila pia wanapata taabu nyingi tu za ki asili zinazowaumiza mwili na roho, fikiria matetemeko ya ardhi yanayowaua kwa maelfu nani kayatengeneza? Mafuriko yakipita hayachagui mcha mungu wala muovu, yanasomba wote, vimbunga hivyo hivyo, vita ndiyo balaa kabisa, tena kwenye vita mataifa yale yanayomtumikia mungu kwa sana ndiyo huwa wahanga, kwa nini?
Huku kwetu ukionekana una maisha mazuri waumini wanasema wewe ni devil worshiper, kwani mungu wetu hana wivu? Awaonee wivu wafuasi wa shetani wanaofanikiwa kwa kila jambo huku wafuasi wake wakichakaa kwa kila aina ya madhila? Maswali ni mengi kuliko majibu,na mara zote majibu huzua maswali zaidi,asante mtoa mada.
 
Umeeleza nini zaidi ya kujibu usivyo ulizwa?

Nakuuliza hivi 👇

Kama ubongo sio akili, Hiyo akili inakaa wapi?

Jibu swali acha danadana.
Akili haiwezi kuonekana, lakini ipo. Kama ambavyo ile comment ya DNA inavyo sema.
 
Wewe ndio inabidi u relax!!!

Na uchambue maoni yako kwa kina.

Kabla ya kufanya "ad hominem attack" kwa mtu, Hakikisha kwanza huyo mtu hoja zake umezielewa sio umekurupuka tu kumshambulia pasipo kuchunguza ukweli wa hoja zake.
Bro/Sister when I say relax then u should refrain from replying. You have neither clue nor idea as to why I said that to the guy. You think I just start with him on 'this thread'... No.. it's from other threads. So chill up, relax!! chew the bubble gum then go for a sleep or take a nap joh...

Cheers!!
 
Another petty bloated entitled brat throwing tantrums.

Find someone of your league to parallel your mediocrity.
 
K
Je! unaambini biblia ni neno la mungu?
KUna mtu pia atakuuliza, je unaamini kuwa quran ni kitabu cha mungu?

Baadaye m=budha atakuuliza je unaamini kuwa moral and dogma ni kitabu cha mungu? Utajibu kulingana na imani uliyorithishwa? Au utajibu kutokana na uelewa wako binafsi?
 
K

KUna mtu pia atakuuliza, je unaamini kuwa quran ni kitabu cha mungu?

Baadaye m=budha atakuuliza je unaamini kuwa moral and dogma ni kitabu cha mungu? Utajibu kulingana na imani uliyorithishwa? Au utajibu kutokana na uelewa wako binafsi?
Moral and dogma, unakifahamu hichi kitabu mkuu?
 
Ni kweli physics sijasoma, ila hiyo physics ya mainstream Education yaweza kuwa sababu pia kuzaa watu ambao wamelishwa uongo mwingi na kuaminisha mambo yasio na uhalisia.
Wewe ni mmojawapo wa walio lishwa hayo mambo yasiyo na uhalisia, ndio maana huna facts zaidi ya ufafanuzi uchwara wa vichochoroni na vilabuni huko...
 
Magonjwa yote hayo yanatupata sote, whether unaamini mungu yupi au hauamini kabisa, wote tutaugua in one place or another, and our common deal is death, waovu na watakatifu wote tutanywea kikombe kimoja, sasa kwa nini tunabaguana? Kila kimpatacho binaadam kitampata tu, no matter what.
 
Wewe ni mmojawapo wa walio lishwa hayo mambo yasiyo na uhalisia, ndio maana huna facts zaidi ya ufafanuzi uchwara wa vichochoroni na vilabuni huko...
Japo Vichochoroni na vilabuni sio maeneo yangu, Lakni ninacho jua ni kwamba Ubongo na akili ni vitu viwili.
 
Elimu tatu za Dunia na ulimwengu ambazo ujumla wake ndo unapata matrix iliyowafunga wengi kifikra ni

1.Theology
2.Psychology
3.Philosophy

Hizo ndo zilikuwa zimeteka wengi ila wachache walikuwa wanajua kweli.Ila Muumba ni zaidi ya izo elimu tatu za dunia kiufahamu.

Muumba ni mmoja na hagawanyiki, hana mwanzo wala mwisho anaishi umilele,wala hana dini wala dhehebu kama tulivyofundishwa na yeye ndiye CHANZO HALISI cha mema na mazuri yote.

Wengi tulikuwa kwenye utumwa wa asili maana akasema ikifika majira yake miungu yote isiyoumba mbingu na nchi lazima iangamie.

Yeremia 10:11
Mtawaambia hivi, Miungu hiyo isiyofanya mbingu na nchi, hiyo itaangamia katika nchi, nayo itatoweka chini ya mbingu.
 
Japo Vichochoroni na vitabuni sio maeneo yangu, Lakni ninacho jua ni kwamba Ubongo na akili ni vitu viwili.
Kama ubongo na akili ni vitu viwili tofauti,

Akili inakaa wapi?

Sehemu gani?


Jibu hoja wewe!! acha viroja
 
Wa imani nyingine pia wana conclusion yao,isiyofanana na yako, nao wanakuambia ukielewa chukua,hutaki endelea na mazingaombwe ya dunia,dunia yenyewe ni hii hii, wote tupo hapa, tunaishi hapa,tutafia hapa, na huyo mungu hakuwahi wala hatawahi kuishi miongoni mwetu hapa duniani, the mythical myth,tuna mengi ya kujifunza kutoka kwa nature.
 
Nilisha jibu, pitia comment za nyuma.
Umejibu nini zaidi ya ufafanuzi uchwara na hoja za kubwabwaja bwabwaja tu...

Naku uliza hivi 👇

Kama ubongo sio akili, Akili inakaa wapi?

Jibu swali, Acha mbambamba...
 
Umejibu nini zaidi ya ufafanuzi uchwara na hoja za kubwabwaja bwabwaja tu...

Naku uliza hivi 👇

Kama ubongo sio akili, Akili inakaa wapi?

Jibu swali, Acha mbambamba...
Nlisha jibu, pitia comment za nyuma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…