Kuhusu Mungu na chanzo cha Ulimwengu, kuna mahali hatuna taarifa kamili/sahihi?

Kujibu hata mtu yeyote anaweza kujibu anachojisikia.

Lakini kutoa jibu lenye ukweli na mantiki hujajibu zaidi ya kutoa majibu na ufafanuzi uchwara...
Kama hujakubaliana na nilivyo eleza, ni haki yako kuamua kubaki na mtazamo wako. Sina cha zaidi kaka/dada.
 
kisukari, kansa au figo uone kama ataendelea na ngonjera zake

Mimi huwa nafikili yakuwa kuna mzunguko usio na kikomo wa viumbe hai na visivo hai ambao chanzo chake hakijajulikana mpaka leo
 
Infropreneur Je, unakubali kama Viumbe hai, Dunia na ulimwengu kwa ujumla upo designed kwenye muundo (system)sahihi?
 
Infropreneur Je, unakubali kama Viumbe hai, Dunia na ulimwengu kwa ujumla upo designed kwenye muundo (system)sahihi?
Kwanza ulijuaje kama viumbe hai, dunia na ulimwengu kwa ujumla vipo Designed?

Kwani haiwezekani visiwe Designed?

Kuna ulazima upi wa kwamba viumbe hai, dunia na ulimwengu kwa ujumla vimekuwa Designed?
 
Kwanza ulijuaje kama viumbe hai, dunia na ulimwengu kwa ujumla vipo Designed?

Kwani haiwezekani visiwe Designed?

Kuna ulazima upi wa kwamba viumbe hai, dunia na ulimwengu kwa ujumla vimekuwa Designed?
Okay, nimejua kama vipo designed kwasababu naona design.
 
Kwa upande wako, unamzungumzia vipi mwandishi wa kitabu hicho. Ni mtu wa aina gani?
Ni mtu huru, anayefikiri pasipo mihemko, moral is what you are capable of, and dogma is what you must do,ni mode ya maisha kuwa moral right dogmatically.
 
Okay, nimejua kama vipo designed kwasababu naona design.
Unaona Design kutoka kwenye reference ipi?

Kwenye nini?

Hicho kinacho kufanya uone ulimwengu umekuwa designed, Je chenyewe hakihitaji uono huu wa kuwa Designed?
 
Ni mtu huru, anayefikiri pasipo mihemko, moral is what you are capable of, and dogma is what you must do,ni mode ya maisha kuwa moral right dogmatically.
Lakni inamaana mtu akiwa huru basi anafanya chochote anachotaka bila kujali ethics sindiyo?
 
Unaona Design kutoka kwenye reference ipi?

Kwenye nini?

Hicho kinacho kufanya uone ulimwengu umekuwa designed, Je chenyewe hakihitaji uono huu wa kuwa Designed?
Unamaanisha nini unapotaka reference kwenye macho kuona design?

Akili yenye afya ikiona Tunda La Nanasi na Tunda la Parachichi,..itajua wazi kwamba matunda hayo mawili yana design mbili tofauti.


akili akili akili....
 
Unamaanisha nini unapotaka reference kwenye macho kuona design?

Akili yenye afya ikiona Tunda La Nanasi na Tunda la Parachichi,..itajua wazi kwamba matunda hayo mawili yana design mbili tofauti.


akili akili akili....
Yani ni hivi,

Kwa nini unaona tu lazima ulimwengu umekuwa designed, Lakini huoni na hujiulizi huyo Designer wa ulimwengu, na yeye alikuwaje designed?

Kwa nini unauliza tu ulimwengu umekuwaje designed, Halafu unashindwa kujiuliza hivi,

Je ni kweli ulimwengu umekuwa designed au pengine unaweza na uliweza kuji Design wenyewe tu?

Kwa nini hujiulizi kama ulimwengu uliweza kuji design wenyewe, ila unauliza ulimwengu ulikuwa designed?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…