📌acha chuki binafsi CONDOM ni bure ukishindwa fungeni vizazi!!!Mama kabla hajateuwa watu awe anawaangalia hata pua zao...kuna pua tu ukiona unajua huyu mtu hakupaswa kuzalisha vitu vingi kutokea mdomoni (maneno) bali yupo specifically kuzalisha vingi vya puani (Kamasi).
📌kama huna hela funga kizazi!!!Gharama zote zinapaswa kutolewa na serikali, ndivyo sera ya afya inavyoainisha.
Otherwise wabadili sera ili wananchi wafahamu kwamba gharama ni za kulipia, si kutapeli watu kwa cheap politics kuwahadaa wananchi kuwa gharama ni za bure lakini wakifika hospitali wanakuta kumbe walikuwa wamedaganywa tu wanapaswa kulipia.
Aliyemteua mwenyewe yupo hivyoUongozi ni karama na hekima
Alichokifanya huyo mkuu wa mkoa wenu ameonesha dharau kwa wananchi maskini kwa kiwango cha daraja A.
Inshort hafai kuwa kiongozi hata wa ngazi ya familia!
Wewe ndio mbishi na ubishi wako unatokana na kutoelewa. Wewe unatafuta video ya Chalamila akiongea suala la mwananmke wa mimba kwenye hii tread wakati hii thread ni ya Chalamila akijitetea alichoongea juu ya mwanamke mwenye mimba. Huko tulishapitaSijui unabisha Nini.
Pale heading haiendani na video.
Hiyo video ipo mahali pengine,nimeiona sasa hivi,but now I cannot find it,ambayo inasema," hapa Chalamila anaongea kuhusu mwanamke mwenye mimba".
Hii inchi kwakweli hatuwezi kuendelea kama idadi kubwa ya wakazi wake wana akili ya aina yako....Mie nimemuelewa. Ebu imagine mkeo ana uchungu wa kujifungua, kaambiwa hawana gloves lipua 50,000/=. Hivi inskuingia akilini kwamba badala ya kutoa hela hizo utachukuacsimu kupiga kwa Mkuu wa Mkoa kweli, huku pia ulijiunga na Mtandao wa Maria Sarungi? La pili, umeenda hospitali baba yako mahututi, ukapokelewa, madaktari eakapambana juu chini lakini Mungu hakupenda ukakuta Dad amekufa. Kweli utakataa kulipwa deni la matibabu ya baba yako usingizie mdaiwa amekufa? Kwa kifupi, Watanzania hatuko hivi.
Inamaana mkeo abebe mimba miezi 9 usiwe na maandalizi yoyote(akiba ) kujifungua? ,Albert kakosea ,manesi wamejibu vibaya ila mume wa huyo mama ndio mpumbavu mkubwa kabisa.Mkuu acha hilo,!!! Usipende kutetea uongo. Kuna gloves za 50,000? Hata kama zipo, nami nikawa sina fedha, umejuaje nimezimalizia kwenye vigodoro? Mkuu wa Mkoa aombe radhi, full stop.
Bure km utazalishwa na mumeo na mikasi na visu ukiwa nyumbani kwako ni gharama zaidi ya kutoa maiti mochwari jaribu kuzaa uoneHivi kuzaa si wanasema ni bure
Wengine saidia fundi wanachojua ni kutia mimba tu sio kulipia gharama, wanawake wengi wanaotoka salama hospital baada ya kujifungua pesa halipi mwanaume ni michango ya wanandugu wanajichanga changa wanalipia ndio mwanamke anatoka wanamletea mabeseni nyumbani jaribu kufuatilia isingekua hivyo wanawake wengi wangekata motoInamaana mkeo abebe mimba miezi 9 usiwe na maandalizi yoyote(akiba ) kujifungua? ,Albert kakosea ,manesi wamejibu vibaya ila mume wa huyo mama ndio mpumbavu mkubwa kabisa.
Hakuna kitu hapo hizo ni takataka km takataka zingine kesi ya nyani huwezi ukampelekea ngedere ni ujinga mtupuMama Samia Legal help imsaidie huyu mama kumfungulia kesi ya udhalikishaji aliyesema .
Hatuwezi kuwa na watu ambao hawajui wajibu wao halafu hawawajibishwi kesheria
Basi serikali ipunguze kodi ya VAT na Payee kwaajili ya kuchangia matibabu ya Afya na kila kukicha kutangaza Kujifungua ni bure kwa taasisi za Umma Taira wewe.📌acha chuki binafsi CONDOM ni bure ukishindwa fungeni vizazi!!!
Hovyo sana! Maccm ya hovyo sana!Huyu ni mkuu wa mkoa wa ajabu sana, kiufupi hana akili
Yes, na huu ni mfano tosha wa jinsi tabia na personality zetu zilivyongumu kubadilika. Nafikiri mnakumbuka kauli iliyomfanya mama kumweka benchi akizani huyu jamaa atajifunza.Alivyokuwa RC mwanza mama alimpiga benchi akaenda ikulu analia makamasi yanamtoka kama mtoto kuomba msamaha
Baada ya huu mkutano kuisha ilitakiwa atumbuliweYes, na huu ni mfano tosha wa jinsi tabia na personality zetu zilivyongumu kubadilika. Nafikiri mnakumbuka kauli iliyomfanya mama kumweka benchi akizani huyu jamaa atajifunza.
Waswahili wanasema ngoma ikivuma sana hupasuka,jamaa kajiona juu baada ya baadhi ya kauli zake kubebwa kwenye social media, sasa kajaa kiburi, kajaa majivuno mpaka anafikia hatua ya kuropoka, sawa kuropka ni shida ila linakuwa tatizo kubwa sana tena sana pale unaporopoka kwenye sehemu sensitive, sehemu inayohusu maisha ya mama na mtoto. Kibaya sababu aliyotoa ni ya kitoto kabisa na hana huhakika.
Unajua hawa voingozi wanalipiwa bills zote (utilities); nyumba, mafuta, umeme na wengine mpaka chakula, kwa hiyo hawajui hustle tunayopitia sisi wananchi wa chini, Oh!! kuna siku tunasepa na mchana, kula ni usiku baada ya breakfast ya asubuhi viazi vya kukaanga, maharage na chai ya rangi ;yeye anasema tunaspend kwenye vigodoro. Shabash.
Unaongea kama serikali inahudumia gharama za watu za maisha za kila siku.Fanya kazi uwe na uwezo wa kujihudumia serikali ndo inatia watu mimba??!!!
📌📌📌Infact njia kuu zote za kuingia dar watu wanatakiwa waende na vitambulisho maalum kama mtu hana kazi asiruhusiwe kuingia Dar.
Serikali haitii mimba lkn maskini wapo nchi yoyote. Huwez kutoa kauli km ile aliotoa ChalamilaFanya kazi uwe na uwezo wa kujihudumia serikali ndo inatia watu mimba??!!!
📌📌📌Infact njia kuu zote za kuingia dar watu wanatakiwa waende na vitambulisho maalum kama mtu hana kazi asiruhusiwe kuingia Dar.
onesha hiyo sera ya afya inayosema serikali italipa pesa za vifaa vya kujifungulia mama wajawazito? Weka hapa watu waoneGharama zote zinapaswa kutolewa na serikali, ndivyo sera ya afya inavyoainisha.
Otherwise wabadili sera ili wananchi wafahamu kwamba gharama ni za kulipia, si kutapeli watu kwa cheap politics kuwahadaa wananchi kuwa gharama ni za bure lakini wakifika hospitali wanakuta kumbe walikuwa wamedaganywa tu wanapaswa kulipia.
umeelewa ulichokipost?