Wewe ni FALA wa siku humu JFKilimo cha miti ya mbao
Khaaa wewe ππAh hapa tumeelewana , kumbe unakubali kuwa akifanikiwa anahama from bodaboda kwenda kwenye hiace, sasa mimi nafanya kilimo nikifanikiwa sihami kwenye kilimo Bali naongeza kuwekeza huko, na kuongeza biashara nyingine
Twende sawa π€£π€£π€£ππAu sioπView attachment 2230318
Kipato cha boda boda ni kikubwa kuliko ajira nyingi za serikalini na private kila siku boda boda anapata kati ya 30k kwa 50k kwa mwezi ni 900k kwa 1.5m hamna makato au Paye, niambie graduate wangapi wanapokea hicho kiasi kama net take home ............na boda boda inako elekea vijana wa sio jielewa wata kosa wateja hamna abilia anae penda kusafiri na dereva mvuta bangi au mleviHabari!
Binafsi ninapomwona bodaboda mtu mzima mwenye miaka 50-60 napata mshituko kidogo na kuanza kuiogopa kesho yangu.
Najiuliza maswali yafuatayo;
1. Kayumba ukumbwani mpaka kaamua kuingia kwenye kazi za vijana wanaoishi vijiweni kutwakutwa kwa utani na matusi?
2. Atafanya hiyo kazi mpaka lini, na siku akiacha ataenda kufanya kazi gani?
3. Je, Mimi nikiyumba uzeeni nitafanya kazi gani?
NJE YA MADA
Vijana tijifunze kuwekeza kwenye shughuli ambazo zitaleta matunda baadaye na si kuangalia leo tu.
Dogo anajisahau sanaπ€£π€£Twende sawa π€£π€£π€£ππ
ππππ anajishauaaaa wakati ye mwenyewe mwenzetu tuβ¦ pangu pakavu tia mchuzi.Au sioπView attachment 2230318
atakimbia mada huyuDogo anajisahau sanaπ€£π€£
Wacha tumkumbushe
Kuna mbaba mmoja na kijana wake wote wanapark kijiwe kimoja, sijui wana handle vipi matusi ya vijiweni
Mtu hadi mia kupanda inamuumaπππππππ anajishauaaaa wakati ye mwenyewe mwenzetu tuβ¦ pangu pakavu tia mchuzi.
watumishi wa serikali ndo wanaongoza kukopa kwa mangi walipe mwisho wa mwezi mshahara ukitoka.Huwezi kumlinganisha bodaboda na mtumishi wa umma kwa namna yoyote ile labda mtumishi wa umma mlevi.
Mimi ninadhaminika, naweza kupata milioni zaidi ya kumi bila barua ya udhamini kutoka kwa mwenyekiti.
Mimi nikiugua hata miezi kadhaa nitaendelea kulamba mshahara na posho , natibiwa kwa bima n.k
Nyumba yangu sijawahi kumuona bodaboda mwenye nyumba kama yangu.
Acheni ujinga, bodaboda ni last option
Kwa hiyo kwa kifupi unataka kutwambia hiyo ni familia ya bodabodaKuna mzee mmoja yule ako na 50s Kama sikosei..yeye na vijana wake watatu wote bodaboda miaka nenda Rudi..dah
Akuje atuambie hyo mikopo ya 10m kila week anafanyiaga nini kama mia tu ya andazi analalamikaatakimbia mada huyu
Na tarehe 22 hela hana ππ Kamemaliza zoteAkuje atuambie hyo mikopo ya 10m kila week anafanyiaga nini kama mia tu ya andazi analalamika
Kwa hiyo bodaboda ni biashara ya usafirishaji,Mimi nimefanya kazi ya bodaboda as mmiliki wa pikipiki, kipindi nawapa vijana chombo kwa mkataba kipindi hicho ilikuwa ni 10000 per day, anakulipa hiyo mwaka mzima, then pikipiki inakuwa yake , na nashukuru zilinisaidia sana kufungua mashamba yangu mapya ya parachichi,so sipondi bodaboda ila nakiona ni kitu kisichokuwa na future, hivyo ukiwa kijana fanya kutafta unafuu then shift kwenda kwingine, ila kwa mzee jua ni salamu kuwa kidingi kimepoteana, nazani bodaboda inabidi ifanywe ni vijana chini ya miaka 25Khaaa wewe ππ
Anachokifanya boda kiko ndani ya biashara ya usafirishaji.. ndani ya biashara hiyo kuna boda, tax, uber, inDriver, hiace, canter, malori, virikuu.
Whatβs matter ni Enough capital ambao hata weee ukiupata huko kwenye kilimo utaanza kulima kitaalamu likely uwe na tractors, acres za kutosha, masoko, pembejeo, mbegu bora na madawa.
Mtumishi mwenzio huyo.. anatunanga tusio watumishi wa hazina.Ila watanzania tuna shida mahali
Ulitaka mkute benki anahudumia wateja?
Je bodaboda siyo Kaz halali nchi hii?
Je ulitaka akae nyumban TU?
Je wale wazee wa umri wa miaka 50-60 wanaoendesha magari nao unawaonaje?
KAZI ULIYONAYO LEO KESHO UNAWEZA USIWE NAYO HUIJUI KESHO YAKO UTATAMANI HATA KUBEBA ZEGE
kifupi nakuona kijana unayewaza leo bila kujua KESHO yako
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hakana maisha hako, kanajifariji tuNa tarehe 22 hela hana ππ Kamemaliza zote
Ila watanzania tuna shida mahali
Ulitaka mkute benki anahudumia wateja?
Je bodaboda siyo Kaz halali nchi hii?
Je ulitaka akae nyumban TU?
Je wale wazee wa umri wa miaka 50-60 wanaoendesha magari nao unawaonaje?
KAZI ULIYONAYO LEO KESHO UNAWEZA USIWE NAYO HUIJUI KESHO YAKO UTATAMANI HATA KUBEBA ZEGE
kifupi nakuona kijana unayewaza leo bila kujua KESHO yako
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app