Kujenga nyumba na kununua magari ni sababu mojawapo ya Umasikini

Assets [emoji117] Something that puts money in your pocket.
Liability [emoji117] Something that takes money out of your pocket.

But to keep in mind; Both assets and liabilities are economic concepts that are clearly stated. But, Info-prenueurs always gives their own perspectives.
 
Kua na kwako sitatizo ilawengi wanajenga iliwasifiwe na sio kukimbia kodi ili usave ujenge nyumba ya ndoto yako nakuweza wekeza mambo mengine hapa wengi ndio hukwama haiwezekani nyumba ya kwanza tu miaka 10 unajenga hio sio nyumba nimateso
 
Ardhi huwa haiongezeki thamani ila pesa hupungua thamani tu.

Kiwanja tupu siyo uwekezaji ni kutupa hela kwa mategemeo ya kuiokota baadae.

Kununua ardhi bila kuiboresha na kuwa chanzo cha pesa ni sawa na kumkopesha hela mtu asiye na uwezo wa kulipa.
Sure mkuu ardhi sio ya kuwekeza..km kichwan huna mkakati wa kuifanyia ....
 
Uzi murua sana huu. Nimechelewa tu kuuona. Nilichogundua kupitia comments wengi tunasumbuliwa na kukosa elimu ya biashara ndio maana wengi hawaoni kama swala zuri kutokujenga na kufanya uwekezaji.

Tukija kwenye uwekezaji kuna swala Risk Taking hapo ndio wengi hatuna ule moyo wa kurisk mitaji na muda wetu kwa ajili ya kufanya uwekezaji.
 
Na pia watoto na wao waanze kujitafuta kivyao...hili ni tatizo kubwa sana kwenye jamii zetu. Ndo maana ni vigumu sana kuvunja Generational Poverty cycle.,umaskini unarithishwa kizazi hadi kizazi. unless tuanze kubadili Mindset zetu.
Sahihi kabisa
 
Uko vizuri kichwani
 
Hii hali inasababishwa na nini mkuu..mtu kuwa na ndoto ya kumiliki nyumba na gari pekee..hapo anajiona kamaliza maisha..kinachofuata kubangaiza kusomesha watoto..halafu na wao wakibahatika kupata kazi wanapita njia ile ile ambayo baba yao alipita.
Hii inaitwa generational poverty Cycle.

Kuivunja inabidi ianzie kwenye mind,
 
Hakika mkuu. Hata maeneo yetu ambayo tunafanya kazi sijawahi kubahatika kukutana na mtumishi mwenzangu anaye waza tofauti na nyumba..ni nadra mnoo aisee.
Na point zao ni zile zile kwamba biashara ni hasara, kwamba unaweza fukuzwa kazi na hauna sehemu ya kuweka familia.

Watu watafute elimu za biashara na uwekezaji..

Mfano mtumishi anaweza chukua mkopo,pesa akawekeza katika hisa za kampuni ama UTT ama dhamana za serikali (government bonds). Ambako ni safe asilimia 100. Siyo lazima ufanye biashara za kubangaiza.

Watu hawana elimu
 
Nimenunua Tressury Bonds, na nimewekeza mfuko wa uwekezaji (UTTAMIS) faida milioni 1 na laki nne kila mwezi bado nipo kazini mshahara unalipa kodi ya nyumba nilikopanga, mafuta ya gari, vocha na chakula na hii faida ninayopata kwenye uwekezaji ndio naipeleka kujenga sina presha yaani maisha murua kabisa.
 
Umenunua bond za mil ngapi mpaka faida upate pesa hiyo kwa mwezi?
 
Umenunua bond za mil ngapi mpaka faida upate pesa hiyo kwa mwezi?
Nimenunua Treasury bond za milioni 104 na Bond fund ya UTT ya vipande vya Milioni 104, huku UTT natumiwa faida kila mwezi ile ya BOT natumiwa kila baada ya miezi 6 katika mwaka. chanzo cha fedha hizo zote niliuza shamba kubwa la miti iringa kwa wazungu walilitaka nimehamia dar ila nimepanga katikati ya mji.. mtoa mada yupo sahihi..
 
Wewe jamaa una matatizo.
Matatizo yspo wapi nashindwa kueleza.
Bottom line, ukitaka kuokoa gharama za maisha, acha kuisi.
Cost zako zitakuwa zero.
 
Wewe ndo una akili mkuu. Huwa nashangaa kwa nini watu wengi hawana ufahamu wa haya mambo
 
Wewe ndo una akili mkuu. Huwa nashangaa kwa nini watu wengi hawana ufahamu wa haya mambo
Kweli mkuu Nilipopiga mshindo wa kuuza shamba langu la miti nikaona hapa nikikaa na hii pesa ntakufa mapema maana hata mahali nilipokuwepo usalama ulikuwa mdogo wahuni wangekuja kunidandia niwape mpunga
 
Familia ya Trump imetajirika kwa kujenga majumba, kujenga nyumba ya kuishi sio chanzo cha umaskini, hata matajiri kama Mo na bakheresa, GSM wote wanaishi, kwenye ma mansion ya kibabe,
Kinacholeta umaskini kwa watu weusi, au bongo ni kutokuwekeza, kutegemea ajira na mshahara kwa kila kitu, unasemaje kununua magari ni chanzo cha umaskini, wakati shabiby anamiriki mabasi zaidi ya 200+! Unaweza, ukawa na gari, ukitoka kqzini unapitia kwenye maduka yako kama 10 ya mpesa,stationary, unapitia kwenye karakana yako ya fanicha, harafu ndio unaenda nyumbani kibaha!
Sasa, hapo bila gari hiyo mizunguko utaifanya kwa boda!?
Wanaojipa umaskini, ni wale ameajiliwa, kajenga nyumba, kanunua gari ya kupigia misele!maintenance ya gari kila kitu kinabebwa na mshahara!! Ajira ikiisha, na umaskini uleeeee
 
[emoji123][emoji736]
 
Nadhani utakuwa umesoma heading pekee,,hujasoma kilichomo ndani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…