Kujenga nyumba ni ndogo ya kila maskini

Kujenga nyumba ni ndogo ya kila maskini

Huu ni umama na ujinga kuhisi kwamba kujenga nyumba ni mafanikio hii ni ndoto ya kila masikini eti kujenga nyumba kwao ni utajiri na mbaya Zaid hata kijijini kwenu wajinga watakusifu kwamba umefanikiwa huo ni ujinga na utoto hebu bdilisheni hiyo mindset zenu hizo.

Juzi nilishuhudia uzinduzi wa nyumba ya mshikaji halafu mshiaji wangu alivyo xhizi akawaalika familia mzima na ukoo mzima watu walimsifia na wakadiriki kusema kwahiyo ni mafanikio jamaaa yao kujenga nyumba daa mimi kwa hasira nikawachana nikawaambia huyo ni umama na umasikini watu walinishambulia na wengine kunitukana na mwishowe nikafukuzwa kwenye tafrija.

Acheni umama na umasikini!idiot
Hahahaa
 
Huu ni umama na ujinga kuhisi kwamba kujenga nyumba ni mafanikio hii ni ndoto ya kila masikini eti kujenga nyumba kwao ni utajiri na mbaya Zaid hata kijijini kwenu wajinga watakusifu kwamba umefanikiwa huo ni ujinga na utoto hebu bdilisheni hiyo mindset zenu hizo.

Juzi nilishuhudia uzinduzi wa nyumba ya mshikaji halafu mshiaji wangu alivyo xhizi akawaalika familia mzima na ukoo mzima watu walimsifia na wakadiriki kusema kwahiyo ni mafanikio jamaaa yao kujenga nyumba daa mimi kwa hasira nikawachana nikawaambia huyo ni umama na umasikini watu walinishambulia na wengine kunitukana na mwishowe nikafukuzwa kwenye tafrija.

Acheni umama na umasikini!idiot
Hilo ni hitaji la Msingi pia kati ya yale mahitaji muhimu ya binadamu.Na nyumba zinatofautiana ndugu.Hazipo sawa hii ni kutokana na kipato cha mtu
 
Tuambie ubaba ni upi ??
Sometimes utatambua akili ya mtu kutokana na matumizi ya lugha
 
Huu ni umama na ujinga kuhisi kwamba kujenga nyumba ni mafanikio hii ni ndoto ya kila masikini eti kujenga nyumba kwao ni utajiri na mbaya Zaid hata kijijini kwenu wajinga watakusifu kwamba umefanikiwa huo ni ujinga na utoto hebu bdilisheni hiyo mindset zenu hizo.

Juzi nilishuhudia uzinduzi wa nyumba ya mshikaji halafu mshiaji wangu alivyo xhizi akawaalika familia mzima na ukoo mzima watu walimsifia na wakadiriki kusema kwahiyo ni mafanikio jamaaa yao kujenga nyumba daa mimi kwa hasira nikawachana nikawaambia huyo ni umama na umasikini watu walinishambulia na wengine kunitukana na mwishowe nikafukuzwa kwenye tafrija.

Acheni umama na umasikini!idiot
Cha ajabu usiku huu lazima uingie ndani ya nyumba ulale
 
Hebu tushauri tuishi wapi na familia zetu ikiwa kujitengenezea makazi wewe unasema ni umama..
 
Huu ni umama na ujinga kuhisi kwamba kujenga nyumba ni mafanikio hii ni ndoto ya kila masikini eti kujenga nyumba kwao ni utajiri na mbaya Zaid hata kijijini kwenu wajinga watakusifu kwamba umefanikiwa huo ni ujinga na utoto hebu bdilisheni hiyo mindset zenu hizo.

Juzi nilishuhudia uzinduzi wa nyumba ya mshikaji halafu mshiaji wangu alivyo xhizi akawaalika familia mzima na ukoo mzima watu walimsifia na wakadiriki kusema kwahiyo ni mafanikio jamaaa yao kujenga nyumba daa mimi kwa hasira nikawachana nikawaambia huyo ni umama na umasikini watu walinishambulia na wengine kunitukana na mwishowe nikafukuzwa kwenye tafrija.

Acheni umama na umasikini!idiot
Endelea kupanga
 
Umama huo
Kumiliki nyumba shamba ni bora zaidi lakini yampasa kumiliki kwanza mladi kisha faida ndio inunue vitu hivio sio mladi huna unapambana kujenga kama walivio wenge anatumia mtaji wake kujengea kisha kwenda benki kukopea mala nyumba inapigwa mnana
 
Umama huo
Kumiliki nyumba shamba ni bora zaidi lakini yampasa kumiliki kwanza mladi kisha faida ndio inunue vitu hivio sio mladi huna unapambana kujenga kama walivio wenge anatumia mtaji wake kujengea kisha kwenda benki kukopea mala nyumba inapigwa mnana
 
Na unajiita@Mwanamzizma?Kwani kijijini kwenu walivyokufundisha,ulielewa nini juu ya neno maendeleo?
Maendeleo kwaza ni kumiliki mladi wa uchumi kisha nyumba ya kuishi huo mladi aijalishi nyumba ya biashara au kilimo ilimlandi umiliki kitega uchumi
 
Maendeleo kwaza ni kumiliki mladi wa uchumi kisha nyumba ya kuishi huo mladi aijalishi nyumba ya biashara au kilimo ilimlandi umiliki kitega uchumi
Kitega uchumi
Kuna faida na hasara

Ushawahi kujiuliza kwa nini asilimia 90 ya biashara hufa mwaka wa kwanza tangu kuanzishwa?

Asilimia 95% zinakufa ndani ya miaka 5 tangu kuanzishwa[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Biashara inahitaji muda kabla haijaanza kuzalisha faida!

Unafahamu itakuchukua muda gani kabla biashara yako haijabreak even ?

Vipi ikifa kabala ya hapo?
Au unahitaji kuwa na Biashara kwa ajili usifiwe na watu?

Kumbuka: Ni muhimu update muda wa kusimamia biashara yako bila hivyo ni kuwapa watu mtaji
 
Back
Top Bottom