Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi hao matajiri wanaishi kwenye viota? Unataka kila mtu aishi nyumba kukodi tu au kny nyumba ya nyasi, Uzi wako wenyewe wa kimaskiniHuu ni umama na ujinga kuhisi kwamba kujenga nyumba ni mafanikio hii ni ndoto ya kila masikini eti kujenga nyumba kwao ni utajiri na mbaya Zaid hata kijijini kwenu wajinga watakusifu kwamba umefanikiwa huo ni ujinga na utoto hebu bdilisheni hiyo mindset zenu hizo.
Juzi nilishuhudia uzinduzi wa nyumba ya mshikaji halafu mshiaji wangu alivyo xhizi akawaalika familia mzima na ukoo mzima watu walimsifia na wakadiriki kusema kwahiyo ni mafanikio jamaaa yao kujenga nyumba daa mimi kwa hasira nikawachana nikawaambia huyo ni umama na umasikini watu walinishambulia na wengine kunitukana na mwishowe nikafukuzwa kwenye tafrija.
Acheni umama na umasikini!idiot
Mwambie ukweli dalili ya uchawiMdau nimekusoma katikati ya mistari wewe unaonekana roho mbaya huna ila akili ndo huna.
Unshangaa mtu akituma Uzi mzuri unsokosoa JF ban Mambo ya kipuuzi wanaachia kilicho Baki ni kupost zzzDaah jeifu inakufa hivi hivi naona.......... threads za kijinga kama hizi mtu anapost post tu na mods wanauruhusu Uzi kama huu? Uhuru ukizidi unakuwa ujinga
Yeah kuna mdau kapost issues za Elimu,ila hakuna hata watu wa kusoma ila ujinga kama huu unajaza commentsUnshangaa mtu akituma Uzi mzuri unsokosoa JF ban Mambo ya kipuuzi wanaachia kilicho Baki ni kupost zzz
Umeandika mwenyewe au umeandikiwa brooh.Huu ni umama na ujinga kuhisi kwamba kujenga nyumba ni mafanikio hii ni ndoto ya kila masikini eti kujenga nyumba kwao ni utajiri na mbaya Zaid hata kijijini kwenu wajinga watakusifu kwamba umefanikiwa huo ni ujinga na utoto hebu bdilisheni hiyo mindset zenu hizo.
Juzi nilishuhudia uzinduzi wa nyumba ya mshikaji halafu mshiaji wangu alivyo xhizi akawaalika familia mzima na ukoo mzima watu walimsifia na wakadiriki kusema kwahiyo ni mafanikio jamaaa yao kujenga nyumba daa mimi kwa hasira nikawachana nikawaambia huyo ni umama na umasikini watu walinishambulia na wengine kunitukana na mwishowe nikafukuzwa kwenye tafrija.
Acheni umama na umasikini!idiot
Anawafokea waliojenga kwamba wanamuudhi sana.Wajenge wengine halafu yeye apandishe pumu!Vibweka vipya huibuka kila iitwayo leo.halafu mbona kama una hasira?
Kwahiyo mafanikio ni yapi mkuu?
Hamna kitu kinaitwa kinaitwa " mladi" ! Shule mnazosoma hizi za F, F, F,F,F,F,F ni shida kweli kweli!!! Ni mradi✓Kumiliki nyumba shamba ni bora zaidi lakini yampasa kumiliki kwanza mladi kisha faida ndio inunue vitu hivio sio mladi huna unapambana kujenga kama walivio wenge anatumia mtaji wake kujengea kisha kwenda benki kukopea mala nyumba inapigwa mnana
Iyo utakufa na jeifu itabakiaDaah jeifu inakufa hivi hivi naona.......... threads za kijinga kama hizi mtu anapost post tu na mods wanauruhusu Uzi kama huu? Uhuru ukizidi unakuwa ujinga
Nakubaliana nawe mwanangu. Una pwentiHuu ni umama na ujinga kuhisi kwamba kujenga nyumba ni mafanikio hii ni ndoto ya kila masikini eti kujenga nyumba kwao ni utajiri na mbaya Zaid hata kijijini kwenu wajinga watakusifu kwamba umefanikiwa huo ni ujinga na utoto hebu bdilisheni hiyo mindset zenu hizo.
Juzi nilishuhudia uzinduzi wa nyumba ya mshikaji halafu mshiaji wangu alivyo xhizi akawaalika familia mzima na ukoo mzima watu walimsifia na wakadiriki kusema kwahiyo ni mafanikio jamaaa yao kujenga nyumba daa mimi kwa hasira nikawachana nikawaambia huyo ni umama na umasikini watu walinishambulia na wengine kunitukana na mwishowe nikafukuzwa kwenye tafrija.
Acheni umama na umasikini!idiot
Kitu cha kwanza ni kitega uchumi hicho kitaga uchumi ndicho kijenge nyumba ya kuishi gali ya kutembelea kusomesha nkSoma tena ulichokiandika halafu unitafsirie.Sijakuelewa.
Hiyo ni kweli lakini yatupasa kushinda changamoto hizo hili tumiliki uchumi hili na watoto wetu wapate pakuanzia nyumba ni matumizi kama mengine kwani aizalishiKitega uchumi
Kuna faida na hasara
Ushawahi kujiuliza kwa nini asilimia 90 ya biashara hufa mwaka wa kwanza tangu kuanzishwa?
Asilimia 95% zinakufa ndani ya miaka 5 tangu kuanzishwa[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Biashara inahitaji muda kabla haijaanza kuzalisha faida!
Unafahamu itakuchukua muda gani kabla biashara yako haijabreak even ?
Vipi ikifa kabala ya hapo?
Au unahitaji kuwa na Biashara kwa ajili usifiwe na watu?
Kumbuka: Ni muhimu update muda wa kusimamia biashara yako bila hivyo ni kuwapa watu mtaji
Kupanga nyumba sio shida kama uchumi aujaimalika bora kupanga nyumba ya sh 150,000/ kwa mwezi kuliko kutumia mtaji huo kujengea nyumbaHivi hao matajiri wanaishi kwenye viota? Unataka kila mtu aishi nyumba kukodi tu au kny nyumba ya nyasi, Uzi wako wenyewe wa kimaskini
Huyu jamaa ujamuelewa ajapinga kujenga la ila kitega uchumi kwanza kabla ya kujenga wengi wamejenga bila kuimalisha vitega uchumi matokeo yaka nyumba hizo waliziweka poni benki ila kwa mtumishi wa serikali yeye kujenga sawa au binafsi sababu huyu atajengea mkopoNyumba ni kwa ajili ya familia, kwa mwanaume mwenye akili timamu.