Kujenga nyumba ni ndogo ya kila maskini

Aisee una undugu na Pdiddy? maana nilivyoona title haieleweki nikaona nisijisumbue kusoma yaliyomo isije ikawa shida...
 
Hivi hao matajiri wanaishi kwenye viota? Unataka kila mtu aishi nyumba kukodi tu au kny nyumba ya nyasi, Uzi wako wenyewe wa kimaskini
 
Daah jeifu inakufa hivi hivi naona.......... threads za kijinga kama hizi mtu anapost post tu na mods wanauruhusu Uzi kama huu? Uhuru ukizidi unakuwa ujinga
Unshangaa mtu akituma Uzi mzuri unsokosoa JF ban Mambo ya kipuuzi wanaachia kilicho Baki ni kupost zzz
 
Unshangaa mtu akituma Uzi mzuri unsokosoa JF ban Mambo ya kipuuzi wanaachia kilicho Baki ni kupost zzz
Yeah kuna mdau kapost issues za Elimu,ila hakuna hata watu wa kusoma ila ujinga kama huu unajaza comments
 
Umeandika mwenyewe au umeandikiwa brooh.
Sema wanaume kama ww mhhhh hata madada poa lazima wawakimbie.
 
Hicho tu ndiyo kimekufanya uanzishe uzi!!.
Kweli "Mchawi ndugu" .
 
Kumiliki nyumba shamba ni bora zaidi lakini yampasa kumiliki kwanza mladi kisha faida ndio inunue vitu hivio sio mladi huna unapambana kujenga kama walivio wenge anatumia mtaji wake kujengea kisha kwenda benki kukopea mala nyumba inapigwa mnana
Hamna kitu kinaitwa kinaitwa " mladi" ! Shule mnazosoma hizi za F, F, F,F,F,F,F ni shida kweli kweli!!! Ni mradi✓
 
Nakubaliana nawe mwanangu. Una pwenti
 
Soma tena ulichokiandika halafu unitafsirie.Sijakuelewa.
Kitu cha kwanza ni kitega uchumi hicho kitaga uchumi ndicho kijenge nyumba ya kuishi gali ya kutembelea kusomesha nk

Wengi wetu tuko kinyume chake tunapambana kujenga nyumba tena kwa kuungaunga mpaka nyumba ikamilike miaka 10 bora hiyo pesa ufungue mladi kisha faidi ndio ijenge nyumba ya kuishi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo ni kweli lakini yatupasa kushinda changamoto hizo hili tumiliki uchumi hili na watoto wetu wapate pakuanzia nyumba ni matumizi kama mengine kwani aizalishi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hivi hao matajiri wanaishi kwenye viota? Unataka kila mtu aishi nyumba kukodi tu au kny nyumba ya nyasi, Uzi wako wenyewe wa kimaskini
Kupanga nyumba sio shida kama uchumi aujaimalika bora kupanga nyumba ya sh 150,000/ kwa mwezi kuliko kutumia mtaji huo kujengea nyumba

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 

Ka mtoa mada kakiwa kanawaza jinsi gani nyumba inaeza geuka mama
 
Nyumba ni kwa ajili ya familia, kwa mwanaume mwenye akili timamu.
Huyu jamaa ujamuelewa ajapinga kujenga la ila kitega uchumi kwanza kabla ya kujenga wengi wamejenga bila kuimalisha vitega uchumi matokeo yaka nyumba hizo waliziweka poni benki ila kwa mtumishi wa serikali yeye kujenga sawa au binafsi sababu huyu atajengea mkopo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…