Kujipost mitandaoni Kila siku napo ni utumwa

Kuna watu wapo kwaajili ya showoffs.
Kuna watu wanapost ili wapate recognitions.

Kuna watu wanapost ili kujifurahisha.

Kuna watu wanapost kama sehemu ya ku-socialize.

Kuna watu wanapost ili kujulikana.

Kuna watu wanapost ili kuwakera watu wenye tabia kama yako ya kufuatilia mambo yasiyowahusu.

Kuna watu wanapost kuringishia mafanikio Yao au uzuri au majaliwa waliyojaliwa.

Kuna watu wanapost hawajui kwa nini wanapost

Yote kwa yote. Kama havunji Sheria ya nchi. Hamvunjiu mtu yeyote heshima.
Hajapost picha yako Wala Mali yako yoyote. Kinachokuwasha ni roho chafu na Mbaya.
 
Ndo utumwa huo, u can't be happy by publishing your daily life, happiness cames within nor by seeking validation from people.
 
Kama starehe za watu zinakukera, jitenge mbali nao. Waache wafurahie ulimwengu wao
 
Kujipost, Kuna post zingine za biashara huwezi kuacha kupost.
Yaani ukiwa beach unatupia vipicha, mara unaamka asubuhi " wadau ndo naamka" nani kakuuliza🤒
Kwenye business au deal za pesa Ni sawa kabisa kupost,Ila kupost kila kitu Ni tatizo.
Kuna mmoja Ni mke wa mjeshi,Sasa anavyopost picha zao wakiwa pamoja,naona aibu aisee.
Sijui km jamaa anaangaliaga watsup status za wife wake,labda angempigq stop.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…