Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Ndo utumwa huo, u can't be happy by publishing your daily life, happiness cames within nor by seeking validation from people.If it makes them happy, let them be. Humu duniani kila mtu ana kitu cha kustaajabisha anafanya, whether kwa uwazi au kwa kificho. Kwa akili za kawaida unashangaa, mtu anatikisa makalio akijirekodi na kutuma..ila ndio hivyo tena.
Kuna watu humu Internet ikikata kwa dk5 tu wanakuwa wehu, wanachanganyikiwa kabisa, huo nao si ukichaa!
Bado....unataka mke?umeolewa
🤣 kivipiHujakoma bado naona😀
ndioBado....unataka mke?
Kama starehe za watu zinakukera, jitenge mbali nao. Waache wafurahie ulimwengu waoKuna watu hawezi kupitisha siku bila kujipost mtandaoni. Anajaza status weeee utasema analipwa na WhatsApp.
Hana siri kila kitu hadharani kwenye mitandao, yaani huna hata haja ya kupeleleza habari zake , ukizitaka tu unazipata mtandaoni.
Akiachwa, akiwa na huzuni, akiwa na furaha vyote ni kupost tu kwenye mitandao.
Amekuwa kama msanii Kila hatua ya maisha yake lazima watu waijue. Wasanii wanapata pesa angalau, sasa mwenzetu unapata nini!?, Zaidi ya like na comments ambazo hazina faida yoyote Ile katika maisha yako.
Huu ni utumwa vilevile. Kataa kuwa mtumwa wa mitandao.
Unasaka ndembendembe lingine🤣 kivipi
huyo namjua sio ndembendembe ni ndumbundumbu!..😀Unasaka ndembendembe lingine
Aibu sana.....🤣🤣🤣🤣🤣 loh nimecheka kama boya
Gwedegwede.....huyo namjua sio ndembendembe ni ndumbundumbu!..😀
Ila ndo hivyo hayatuhusuAibu sana.....
Njoo kwa mashangazi utulizane we dogohuyo namjua sio ndembendembe ni ndumbundumbu!..😀
Kesho uko free nije kwenu unitambulishe?ndio
Mnaboa bhana , kwani mnalipwa!?.
Ukimkosa njoo kwangu ili kisiharibike kitu na usijihisi mnyonge.Kesho uko free nije kwenu unitambulishe?
wewe ndo mshangazi..??Njoo kwa mashangazi utulizane we dogo
njoo usijali...😅Kesho uko free nije kwenu unitambulishe?
Ndiooowewe ndo mshangazi..??
Kwenye business au deal za pesa Ni sawa kabisa kupost,Ila kupost kila kitu Ni tatizo.Kujipost, Kuna post zingine za biashara huwezi kuacha kupost.
Yaani ukiwa beach unatupia vipicha, mara unaamka asubuhi " wadau ndo naamka" nani kakuuliza🤒