Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Kuna watu wapo kwaajili ya showoffs.
Kuna watu wanapost ili wapate recognitions.
Kuna watu wanapost ili kujifurahisha.
Kuna watu wanapost kama sehemu ya ku-socialize.
Kuna watu wanapost ili kujulikana.
Kuna watu wanapost ili kuwakera watu wenye tabia kama yako ya kufuatilia mambo yasiyowahusu.
Kuna watu wanapost kuringishia mafanikio Yao au uzuri au majaliwa waliyojaliwa.
Kuna watu wanapost hawajui kwa nini wanapost
Yote kwa yote. Kama havunji Sheria ya nchi. Hamvunjiu mtu yeyote heshima.
Hajapost picha yako Wala Mali yako yoyote. Kinachokuwasha ni roho chafu na Mbaya.
Kuna watu wanapost ili wapate recognitions.
Kuna watu wanapost ili kujifurahisha.
Kuna watu wanapost kama sehemu ya ku-socialize.
Kuna watu wanapost ili kujulikana.
Kuna watu wanapost ili kuwakera watu wenye tabia kama yako ya kufuatilia mambo yasiyowahusu.
Kuna watu wanapost kuringishia mafanikio Yao au uzuri au majaliwa waliyojaliwa.
Kuna watu wanapost hawajui kwa nini wanapost
Yote kwa yote. Kama havunji Sheria ya nchi. Hamvunjiu mtu yeyote heshima.
Hajapost picha yako Wala Mali yako yoyote. Kinachokuwasha ni roho chafu na Mbaya.