Kujipost mitandaoni Kila siku napo ni utumwa

Hao unaowasema wengi hata hawakusomi. Hata hawajui kama upo dunia hii.
 
Uwe na wakati mwema.
 
Unaweza sema kuna tatizo kwa maumbo yao wanavojibinjua sasa kwny pozi za picha zao
 
my dear hauna tofaut na wanaojipost Kila mda una mwez una nyuzi 360 tofaut yako na Hao ni nn
Why unaandika nyuzi kilamuda
Utumwa?
Show off?
Tukujue au?
Ukiwza Hilo utaona ni vema kuheshimu uhuru wa mtu na bundle lake
Mm naenjoy kuona status zao zinafurahisha zingine kwakweli Mungu awaweke wazid kupost na mm nitapost tufurah
 
Kujipost nusu uchi hakuvunji heshima!?.

Unapost unakata viuno, viuno vyako sisi vya nini!?.

Unapost unaimba imba si uingie studio tujue Moja.

Watu huko tiktok wanaingiza pesa ndefu kwa kupost hivyo viuno ninyi mnavyoangalia ndio vinawaongezea utajiri.

Kwani Mimba inauajabu gani?

Watu hupost ili waonwe , kama hakuna wa kuona huwezi post, tofautisha kuona na kufatilia.
Watu wanapost kwa malengo Yao. Ikiwemo kuzungumziwa na watu kama wewe hivi ndio ni sehemu ya malengo yao
Kama huna ishu ya msingi ya kusababisha ujipost huo ni utumwa.

utumwa wa kutafuta validation kwa watu.
Utumwa ni wewe unayefuatilia mambo ya wengine yasiyokuhusu.

Wewe mtu anajipost kwenye akaunti yake wewe kinachokufanya umfuatilie ni nini kama sio utumwa?
 
Kuna binti mmoja mkusanya ushuru wa mazao mtaani kwetu,yaani akikaa ni kuimba imba tu huku akijirekodi hadi kero yani asipojipost tiktok yeye anaona bado sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…