Kukoroma usingizini: Fahamu chanzo na tiba yake

kuna watu wanakoroma kama simba na vyura na mashine ya kuranda mbao pamoja, khah!

hahahaha usinikumbushe we kuna day nlikwenda msiban basi ucku kulikuwa kama kuna mashindano ya kukoroma.nilishangaa sana
 
Farkhina, umenifanya niangue kicheko! Niliwahi kupata mgeni nyumbani wakati sipo. Mkwe wangu (mume wa mpwa wangu). Next day nampigia maid namuuliza kama mgeni yuko comfortable, akanijibu 'he is comfortable ila anakoroma!' Bedrooms zao zilikuwa mbali. Hadi leo nikimuona mkwe wangu najichekelesha tu!
 

umeona eee?
 
Sasa baba Mtambuzi, kama mke na mume wote wanakoroma ina maana ndoa inakuwa salama zaidi?
 
Last edited by a moderator:

Ushauri huu nimeupenda sana, nitafanya hivyo mara kwa mara nione nini kitatokea naamini tatizo langu litaisha wife wangu huniambia hili lkn sikuwa na jibu lkn naamini muarobaini umepatikana.
Asante kwa somo hili.
 
Sasa baba Mtambuzi, kama mke na mume wote wanakoroma ina maana ndoa inakuwa salama zaidi?

hapo mke atavuta khaaaaaaaaaammmmmmmmmmsssssssssiiiiiinnnnnnnnn kwa sauti ya 3 na mme atavuta MMMMMMMMMIIIIIIIIIIIIIIIIIIAAAAAAAAAAA kwa sauti ya nne.
 
Kuna jamaa mmoja alishikwa ugoni kwa ajili ya kukoroma kwani alikuwa akiunguruma utafikiri simba.
 
dah kumbe ndoa yangu ipo mashakani naombeni wadau mnisaidie dawa niondokane na hilo pepo linalonyemelea ndoa yangu manake huyu mzee anakoroma kama anapuliza tarumbeta wakati ni usiku.
 
dah kumbe ndoa yangu ipo mashakani naombeni wadau mnisaidie dawa niondokane na hilo pepo linalonyemelea ndoa yangu manake huyu mzee anakoroma kama anapuliza tarumbeta wakati ni usiku.
Asnam halafu wewe unatafutwa...........LOL
 
Last edited by a moderator:
kwa kweli kulala na mkoromaji ni ngumu mno! kha! kuna watu wanakoroma kama generator aaarrrggg, kwakweli yakera! babu Mtambuzi heshima yako!
 
Last edited by a moderator:
Wanajamii, naombeni msaada juu ya tendo hili la kukoroma. Nini sababu za kukoroma wakati wa kulala na nini kifanyike ili mtu aache kukoroma awapo usingizini. AHSANTENI
 
Wanajamii, naombeni msaada juu ya tendo hili la kukoroma. Nini sababu za kukoroma wakati wa kulala na nini kifanyike ili mtu aache kukoroma awapo usingizini. AHSANTENI

Nami pia nauliza kwani kwa kawaida huwa sikoromi, ila ninapokuwa na ujauzito basi huo ndio mpango mzima sijui kuna siri gani hapo, twaomba wataalam mtuelimishe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…