Akate uzito,hata mimi hiyo kitu ilinisumbua sana,lakini nilipoamua kushusha kilo zangu sasa hivi niko kwenye silence nzuri sana...Una uzito gani? Unene huwa unachangia kwani ukilala manyama uzembe huziba njia ya hewa.
Tafuta position ambayo unapumua vizuri ukiwa usingizini.
Najua huwa hutanii, je ni kweli?Ball pen.
Toa ule mrija wa ndani wa wino bakisha bomba tupu. Wakati wa kulala weka hilo bomba mdomoni kama sigara.
Hukoromi tena.
Kweli kabisa.Najua huwa hutanii, je ni kweli?
Kama unaona bomba la ballpen unaweza limeza tafuta kibomba chochote kinene kidogo.Duh si ndo mwanzo wa kumeza hlo bomba
Iyo ni kila siku akuzabe kibao au ni Mara moja tuFanya hivi, ile muda umelala, pale unakoroma kabisa, Mtu akushtue, akushtue kutoka usingizani, au kwa kukuzaba kibao, au chochote kitakacho kufanya uamke upesi kwa haraka, Muda huo asikuongeleshe jambo lolote, halafu lala tena, hauta koroma tena kamwe!
NB: Mrejesho muhimu!
Ni mara moja tu!Iyo ni kila siku akuzabe kibao au ni Mara moja tu
Mbona kuna bwana mdogo ni kimbau mbau yupo form two lakini anakoroma balaa,hana nyama uzembe zozoteUna uzito gani? Unene huwa unachangia kwani ukilala manyama uzembe huziba njia ya hewa.
Tafuta position ambayo unapumua vizuri ukiwa usingizini.
Itakuwa issue ya genes amuone daktariMbona kuna bwana mdogo ni kimbau mbau yupo form two lakini anakoroma balaa,hana nyama uzembe zozote
Si atakoroma kama beberu sasakunywa K VANT mbili ndogo kila siku kabla ya kulala.
Nafanyaga hvyo mkuu,ila ndan ya dk2 gar linawaka tenaKugeuza mlalo, jaribu kumsukuma a change mlalo kama amelalia ubavu A mbadili ubavu B