Yeah ofcourse hii inasaidia ila ni wangapi wenye hii spiritšBinadamu wengi hatufahamu jinsi ya kubadilisha negative situation into positive. Hawa mabinti faraja wakiipata shuleni na huko ndiko waliko kazia.
Kuna mwalimu wangu mmoja alinisimulia matatizo aliyoyapata ugenini. Baba yake alihamishwa kikazi na yeye ilibidi ahamie na kusoma kule. Kwakua lafudhi yake ilikua tofauti, akiongea watoto wenzake walimcheka darasani. Aliamua kufa na kitabu ndiyo ilikua faraja yake. Matokeo yake alikua wa kwanza darasani.
Shukuru hapa mtoto anakomazwa na anapata akili kinouma.sasa subiria miishakuwa wakubwa uliyekuwa unaonekana unateswa ndo unahimili mikiki ya life Ila wao Kama hawajashikwa mkono usikute wanakuomba msaada.Wengine tumekulia mazingira hayo watoto wa nyumba hio wao wanakula cakes na mayai asubuhi nyie mnakula magimbi. Wanalia sahani nyie mnapigwa kwenye sinia chini! Nyama za baba tu japo baba kanunulia familia nzima ile ila anapikiwa yeye na wanae nyie mwendo wa kabichi na maharage tu. Siku za shopping ya vyakula watoto wake wananunuliwa chocolates na pringles wanalia chumbani na kupangusa midomo mtakutana na maganda tu. Alfajiri uamke ufagie kiwanja na banda la mbuzi kisha unaenda shule hata chai hujanywa hupewi hata sh.100 utembee wao wanapandishwa school bus na buku ya kuspend on break time hapo washakula cakes, mayai na chai asubuhi! I donāt wanna remember that life aisee...Siwezi ruhusu mtoto wa mtu apitie ile hali akiwa kwangu! I rather not take him/her.
Yeah kusaidia imesaidia sana mzee japo ilikuwa unfair game! Wao walizaliwa Canada so wana uraia wa kule na kwa sasa walisharudi Canada kimaisha wako zao mtoni sie tunapambana Bongo!Shukuru hapa mtoto anakomazwa na anapata akili kinouma.sasa subiria miishakuwa wakubwa uliyekuwa unaonekana unateswa ndo unahimili mikiki ya life Ila wao Kama hawajashikwa mkono usikute wanakuomba msaada.
Mie naamini katika kukomazwa kwa dizaini iyo.
Hata mie nimekulia kwa bamdogo huyo mke wake ndo alinijenga na zile mishe za jkt.
Kwetu Niko strong kuliko wengine.kuna muda mdogo wangu ni mwanaume kabisa alikuwa around 28 Yuko town kiutafutaji,sijui ilikuwaje akijiliza kwa mama kuwa Hali mbaya nalala njaa. Na huku mie nishalala siku mbili bila kuweka kitu mdomoni sema nilichukulia Kama stepping stone nikapata maganzi makubwa how to fight.
We've unlimited potential
Heheheh mna ndugu wa ajabu ajabu namna hii?Ukishamaliza kufanya yote hayo wanakuroga, na wanachukua nyota yako...
Ukipona sana unabaki choka mbaya...
Asili ya binadamu ni majungu na wengine wanasahau hali zao. Na yeye anataka aishi kama Junior, ale chocopops kwa breakfast. Mkishindwana unamridisha kwao salama.
Malawi Ishakuwa official,sio Iringa tena?
Jirani yangu alilelewa na baba na mama wa kambo. Mama wa kambo alimfahamisha kabisa kuwa mle ndani hakuna mfanya kazi kwaajili yake. Ajue kufua na kupiga pasi nguo zake. Ajue kusafisha chumba chake. Akitoka shule apike ugali wake. Haya yote mama yake hakuwahi kumfundisha.Shukuru hapa mtoto anakomazwa na anapata akili kinouma.sasa subiria miishakuwa wakubwa uliyekuwa unaonekana unateswa ndo unahimili mikiki ya life Ila wao Kama hawajashikwa mkono usikute wanakuomba msaada.
Mie naamini katika kukomazwa kwa dizaini iyo.
Hata mie nimekulia kwa bamdogo huyo mke wake ndo alinijenga na zile mishe za jkt.
Kwetu Niko strong kuliko wengine.kuna muda mdogo wangu ni mwanaume kabisa alikuwa around 28 Yuko town kiutafutaji,sijui ilikuwaje akijiliza kwa mama kuwa Hali mbaya nalala njaa. Na huku mie nishalala siku mbili bila kuweka kitu mdomoni sema nilichukulia Kama stepping stone nikapata maganzi makubwa how to fight.
We've unlimited potential
Achana na habari za kum control! Ukimsaidia mtu mwache free afanye anachopenda you guys mnafeli hapa...Unapomsaidia mtu usimuhenyeshe maana ile mantiki ya msaada inakuwa haipo kabisa na wala hizo thawabu unazozitaka hutazipata! Assist someone with a clean heart. Sio ndio umfanyishe makazi kama punda na kumkosesha amani!
Kuna watu wanakaa na watoto wa wenzao yani mtoto hawezi juta kuishi hapo sababu wote wanapata fair treatment! Sio mtoto wako shopping Mlimani wa mwenzio unampa hela aende Ilala Boma akanunue mtumba! Haya ndio mambo ya hovyo
Haimaanishi avunje vyombo au vioo vya gari kisha umtazame! Mtoto unaweza muelewesha kwa upendo kuwa namna nzuri ya kufanya mambo ni hivi na vileUlianza hovyo ila umehitimisha vema. Eti usimcontrol umuache free afanye anachotaka, huyu mtoto wa miaka 15-18 umuache free?
Hapo una jukumu la kumfunza mambo mengi tu, na utarajie upinzani mkali.
š¼Mama Mdogo aliponichukua kijijini, alimuahidi Mambo mengi, dada yaaakeeeešµkwamba atanisomeshaaaaUnakaa na mtoto kwa mkataba wa kumsomesha au kumuendeleza. Mnapanga muda wake wa kwenda shuleni au mafunzoni na muda wake wa kazi. Anaishi kama mtoto wa nyumbani, unamnunulia mahitaji yake madogo madogo. Sehemu kubwa ya mshahara unakwenda kulipia ada na Bima ya afya.
Akihitimu mafunzo unamuwezesha kujitegemea na unatafuta mwingine. Kama ndugu zako wote mambo safi unaweza kuchukua vijana wa kijijini kwenu. Hii ni njia ya kurudisha katika jamii na kukwamuana kimaisha.
Kutumwa kazi hakuna uhusiano na kuteswa ila kama mtajiondoa by 100% kwenye hizo kazi sababu yeye tu yupo lazma alalamike! Haiwezekani watoto wa rika lake wapo wanaangalia igizo halafu umnyanyue yeye akalishie kuku. Kazi wafanye collectively wakwake na wako halafu uone kama atalalamika.
Msaidiane kazi sio mumpe mikazi yote kwa vile mnamsaidia kumsomesha!
Kwahio wewe unaona kwako ni sawa kumchukua mtoto wa kaka yako na kumfanya shamba boy hapo kwako?Kwa mujibu wa mada hii, lengo kuu ni kupata mfanyakazi ila awe ndugu ili kumwendeleza⦠kwahiyo huyu ni mfanyakazi na analipwa kama wengine ila kwa sababu ya undugu ndo atadhani ana haki sawa na Junior.
Ni changamoto sana kubalansi hapo.
Ni hivi anasafisha mazingira ya nyumbani, lunch anakula anapaswa kwenda kwenye mafunzo na jioni kama hajachoka anaweza kukaa sebuleni kuangalia hotuma ra Mheshiwa Rais pamoja na familia.Kwahio wewe unaona kwako ni sawa kumchukua mtoto wa kaka yako na kumfanya shamba boy hapo kwako?
Haya ndio mie nayapinga haswa..,kuna watu wavumilivu kama watoto wa kike watakausha ila sasa wakishaondoka hapo uhusiano umekwisha hutaona wakikanyaga tena hio nyumba! Mjomba wao wataonana nae misibani na kwenye harusi za watu.
Huo ni ushenzi na wanawake wengi ndio wana tabia hii kwa ndugu wa mume!
Sawa sijakataa mi nalalamikia ile fairness! Kwani wangevaa woolworth wasingesoma hadi kupata kazi?Leo nipo na wewe tu Mzee.[emoji16]
Acha kuwa negative sana, pamoja na kuvaa maronya lakini umeambiwa hao mabinti walifanikiwa kusoma hadi kupata kaziā¦. umewaza pengine maronya yalisevu hela iende kwenye ada?
Kwahio wewe unaona kwako ni sawa kumchukua mtoto wa kaka yako na kumfanya shamba boy hapo kwako?
Ndiyo nakuwa nao wawili .So unakuwa nao wawili? Beki tatu na ndugu yako?