Kulikoni? Msafara wa Rais Samia kuwa na magari yote haya, pia ulinzi wake umeongezeka maradufu

Kulikoni? Msafara wa Rais Samia kuwa na magari yote haya, pia ulinzi wake umeongezeka maradufu

Ila lakini inashangaza na kusitisha sn.Kodi zinavyotumika
 
Mwanamke mwenzake anayeongoza nchi ya tatu kwa utajiri duniani
download.jpeg
 
View attachment 1977510Wale walioko Arusha na viunga vyake leo tumeshuhudia/kuona Mh. Raisi mama Samia Suluhu Hassan kaongezewa ulinzi mara dufu, tofouti na tulivyozoea na msafara wake umekuwa na ulinzi mkali na idadi kubwa ya askari na usalama wa taifa kitengo cha ulinzi.

Pia msafara wake una magari zaidi ya 70 kutoka 20 ya awali kama tulivyokwisha zoea, msafara huu umeambatana na helikopta mbili kama tulivyokuwa tukiona enzi za Hayati John Pombe Magufuli.

Cha kushangaza amekuwa akisisitiza kauli kama ile ya Hayati John Pombe Magufuli ya kwamba “aombewe”, kulikoni?

Je, hii misafara mikubwa sio janja janja ya baadhi ya watumishi wakubwa kujilipa posho kubwa kubwa ilihali, wananchi wanalia maisha magumu katika awamu hii ya sita?

Tujadili.
Akiishakuwa Rais wala siye anayepanga swala la ulinzi wake ndo maana kunazo wizara na vitengo mbalimbali serikalini

Kwa hivyo anapokuwa na ziara kitengo cha ulinzi ndicho huwa kinajipanga ikiwa ni ulinzi wa namna gani unaohitajika kufanyika huko aendako ziarani na hii huwa wao wenyewe ndo huwa wanafanya kwa kuzingatia usalama na mazingira ya kule anakofanya ziara

Msimlaumu Rais bure.
 
View attachment 1977510Wale walioko Arusha na viunga vyake leo tumeshuhudia/kuona Mh. Raisi mama Samia Suluhu Hassan kaongezewa ulinzi mara dufu, tofouti na tulivyozoea na msafara wake umekuwa na ulinzi mkali na idadi kubwa ya askari na usalama wa taifa kitengo cha ulinzi.

Pia msafara wake una magari zaidi ya 70 kutoka 20 ya awali kama tulivyokwisha zoea, msafara huu umeambatana na helikopta mbili kama tulivyokuwa tukiona enzi za Hayati John Pombe Magufuli.

Cha kushangaza amekuwa akisisitiza kauli kama ile ya Hayati John Pombe Magufuli ya kwamba “aombewe”, kulikoni?

Je, hii misafara mikubwa sio janja janja ya baadhi ya watumishi wakubwa kujilipa posho kubwa kubwa ilihali, wananchi wanalia maisha magumu katika awamu hii ya sita?

Tujadili.
Wanamlinda asipate Corona, au hujui ni hatari?
 
View attachment 1977510Wale walioko Arusha na viunga vyake leo tumeshuhudia/kuona Mh. Raisi mama Samia Suluhu Hassan kaongezewa ulinzi mara dufu, tofouti na tulivyozoea na msafara wake umekuwa na ulinzi mkali na idadi kubwa ya askari na usalama wa taifa kitengo cha ulinzi.

Pia msafara wake una magari zaidi ya 70 kutoka 20 ya awali kama tulivyokwisha zoea, msafara huu umeambatana na helikopta mbili kama tulivyokuwa tukiona enzi za Hayati John Pombe Magufuli.

Cha kushangaza amekuwa akisisitiza kauli kama ile ya Hayati John Pombe Magufuli ya kwamba “aombewe”, kulikoni?

Je, hii misafara mikubwa sio janja janja ya baadhi ya watumishi wakubwa kujilipa posho kubwa kubwa ilihali, wananchi wanalia maisha magumu katika awamu hii ya sita?

Tujadili.
Ulinzi wake sasa umekuwa 'beefed up' hivyo ili Kumkinga na Covid-19 na yale ya tarehe 17 Machi 2021 yasijirudie Mkuu.
 
Pia kuna wale wenye mabunduki ya kivita warefu pua zao zimechongoka kama wanyarwanda, kuishi kwangu Tanzania sijawahi kuona watu warefu kama wale, je ni wa vitego pia ama ni kutoka nchi za jirani? Maana hata huku mtaani hawaonekani kabisa wale watu warefu wenye mabunduki ya kivita
Sasa maisha yako yote umeishi Songea kwa wangoni hao watu warefu utawaona wapi?
 
Hana makuu hofu ya nn,ulinzi pekee ni kuwatendea watu mema.
Mwingi na JK hata kariakoo wanaweza katiza salama kabisa bila hata mlinzi, sababu waliwekeza kwenye wema
JK bahati yake alitawala kabla ya Magufuli...Magufuli kafa ila utawala wake na namna ya uongozi ndio utakaotumika kama standard za Urais Tanzania tena vizazi kwa vizazi,kwa watu wa mjini na vijiini ndani na nje ya Tanzania,wakubwa kwa watoto.
 
Watanzania unawatambua unaishi nao wote? Nchi unaiona imetulia sababu ya hao hao wanaoamua ulinzi wa raisi uwe wa kiwango gani.
Don't live in a lie

JWTZ ndo kila kitu ama ndo Final, hao unaowasema hawana ishu hata kidogo kwa dunia ya sasa, sababu wamekua associated na chama kulicho na dola na in the end wamekosa uadilifu na umakini.
 
Huko kaskazini si ndio kwa magaidi na majambazi ? Lazima ulinzi uimarishwe
Usalama tanzania embu tuwe serious kidogo, ulinzi ule ni mkubwa mno, huwenda ni mbinu ya vijana wanaohusika na ulinzi kula per DIEM hakuna lingine hapo. Au mama pia ameshaanza kufurahia kuzungukwa na mitutu kila mahali?
 
View attachment 1977510Wale walioko Arusha na viunga vyake leo tumeshuhudia/kuona Mh. Raisi mama Samia Suluhu Hassan kaongezewa ulinzi mara dufu, tofouti na tulivyozoea na msafara wake umekuwa na ulinzi mkali na idadi kubwa ya askari na usalama wa taifa kitengo cha ulinzi.

Pia msafara wake una magari zaidi ya 70 kutoka 20 ya awali kama tulivyokwisha zoea, msafara huu umeambatana na helikopta mbili kama tulivyokuwa tukiona enzi za Hayati John Pombe Magufuli.

Cha kushangaza amekuwa akisisitiza kauli kama ile ya Hayati John Pombe Magufuli ya kwamba “aombewe”, kulikoni?

Je, hii misafara mikubwa sio janja janja ya baadhi ya watumishi wakubwa kujilipa posho kubwa kubwa ilihali, wananchi wanalia maisha magumu katika awamu hii ya sita?

Tujadili.
Rais wetu Mama Samia aongezewe ulinzi maradufu Kwa kazi kubwa ya maendeleo anayoendelea kufanya Tanzania na mwenye macho anaona kama Ally Bananga wataoendelea kuunga mkono Rais Samia.

Wenye Roho mbaya watubu dhambi ya wivu na chuki ! Maadui wanaendelea kuongezeka.
 

Attachments

  • Duh.! Kada machachari wa Chadema, Ally Bananga ahamia CCM mbele ya Samia, aomba kupewa kazi ( ...mp4
    48.4 MB
View attachment 1977510Wale walioko Arusha na viunga vyake leo tumeshuhudia/kuona Mh. Raisi mama Samia Suluhu Hassan kaongezewa ulinzi mara dufu, tofouti na tulivyozoea na msafara wake umekuwa na ulinzi mkali na idadi kubwa ya askari na usalama wa taifa kitengo cha ulinzi.

Pia msafara wake una magari zaidi ya 70 kutoka 20 ya awali kama tulivyokwisha zoea, msafara huu umeambatana na helikopta mbili kama tulivyokuwa tukiona enzi za Hayati John Pombe Magufuli.

Cha kushangaza amekuwa akisisitiza kauli kama ile ya Hayati John Pombe Magufuli ya kwamba “aombewe”, kulikoni?

Je, hii misafara mikubwa sio janja janja ya baadhi ya watumishi wakubwa kujilipa posho kubwa kubwa ilihali, wananchi wanalia maisha magumu katika awamu hii ya sita?

Tujadili.

1E754E94-FFD9-4C8E-8E2F-F88C9E8F6FF0.jpeg
 
Akiishakuwa Rais wala siye anayepanga swala la ulinzi wake ndo maana kunazo wizara na vitengo mbalimbali serikalini

Kwa hivyo anapokuwa na ziara kitengo cha ulinzi ndicho huwa kinajipanga ikiwa ni ulinzi wa namna gani unaohitajika kufanyika huko aendako ziarani na hii huwa wao wenyewe ndo huwa wanafanya kwa kuzingatia usalama na mazingira ya kule anakofanya ziara

Msimlaumu Rais bure.
Hapana,lazima yeye mwenyewe anahusika.
Kuna siku moja JPM alitoka Chato na V8 nne tu kwenda Mwanza na wala hakusimama mahali.
Inawezekana jabisa kuwa na convoy fupi ya magari.
 
View attachment 1977510Wale walioko Arusha na viunga vyake leo tumeshuhudia/kuona Mh. Raisi mama Samia Suluhu Hassan kaongezewa ulinzi mara dufu, tofouti na tulivyozoea na msafara wake umekuwa na ulinzi mkali na idadi kubwa ya askari na usalama wa taifa kitengo cha ulinzi.

Pia msafara wake una magari zaidi ya 70 kutoka 20 ya awali kama tulivyokwisha zoea, msafara huu umeambatana na helikopta mbili kama tulivyokuwa tukiona enzi za Hayati John Pombe Magufuli.

Cha kushangaza amekuwa akisisitiza kauli kama ile ya Hayati John Pombe Magufuli ya kwamba “aombewe”, kulikoni?

Je, hii misafara mikubwa sio janja janja ya baadhi ya watumishi wakubwa kujilipa posho kubwa kubwa ilihali, wananchi wanalia maisha magumu katika awamu hii ya sita?

Tujadili.
Hio misafara ni kwa ajili ya kugawana hela tu wala hamna kinginecho! Kuhusu kuombewa anajua tayari kashazingua ndio maana 😂😂😂
 
View attachment 1977510Wale walioko Arusha na viunga vyake leo tumeshuhudia/kuona Mh. Raisi mama Samia Suluhu Hassan kaongezewa ulinzi mara dufu, tofouti na tulivyozoea na msafara wake umekuwa na ulinzi mkali na idadi kubwa ya askari na usalama wa taifa kitengo cha ulinzi.

Pia msafara wake una magari zaidi ya 70 kutoka 20 ya awali kama tulivyokwisha zoea, msafara huu umeambatana na helikopta mbili kama tulivyokuwa tukiona enzi za Hayati John Pombe Magufuli.

Cha kushangaza amekuwa akisisitiza kauli kama ile ya Hayati John Pombe Magufuli ya kwamba “aombewe”, kulikoni?

Je, hii misafara mikubwa sio janja janja ya baadhi ya watumishi wakubwa kujilipa posho kubwa kubwa ilihali, wananchi wanalia maisha magumu katika awamu hii ya sita?

Tujadili.
Yupo kaskazini anajua walimsweka mbowe kwa makusudi.

Anajishtukia
 
Back
Top Bottom