Kulikuwa na nini kati ya Tanroad ya Mfugale na JPM? Tanroad ilipokea fedha kuleta mtambo wa kutengeneza sukari wa dola milioni 50, haukuletwa!

Kuna wakati nikiona hela zimepigwa hivi huwa nawaza tofauti kabisa
Maana walikufa wengi sijui wengine wanakula raha Copacabana na huku tumeambiwa wamekufa?

Hapana sio kwa waswahili sorry
Ila yanatokea sana nchi zingine ku fake kifo baada ya kupiga hela ndefu
 
Kwa tuliomfahamu Mfugale, alikuwa mtu wa dhamira njema.
Ila kuna mambo mengi alilazimishwa kufanya na Magufuli.
Hata baada ya mchakato wa kumpata Rais mwaka 2015, alisikika akisema "hawa watu hawajui wanachagua nini"
 
Ilikuwa Kazi ya Magufuli kukagua,saizi tunawakagua waliopita.
 
Jana jizi Sana lile,lilitakiwa linyongwe mchana kweupe
 
Kuna mwizi zaidi ya Kikwete? Kuna mwizi zaidi ya Kinana? Na Mama amewaleta karibu wezi maana yake na yeye ni MWIZI!
Mtaelewa tu, pamoja na kwamba mna akili za darasa la tatu kama marehemu wenu
 
Kwa tuliomfahamu Mfugale, alikuwa mtu wa dhamira njema.
Ila kuna mambo mengi alilazimishwa kufanya na Magufuli.
Hata baada ya mchakato wa kumpata Rais mwaka 2015, alisikika akisema "hawa watu hawajui wanachagua nini"
Yaani, watu hawakujua kuwa wanachagua zimwi
 
Alizimeza zikammaliza.
 
Jina linaweza kuvuma kwa uzuri au ubaya. Hitler hadi leo ni maarufu lakini sio kwa wema.
Sasa hivi ukaguzi wa mambo mengi unaonyesha Magu alikuwa MWIZI na alitumia washikaji zake kuiba.
Nashauri vile vitu vyenye majina yake wafute hastahili.
Au watangulize neno mwizi, mfano ile stand ya mabasi iitwe Mwizi Magufuli Bus Stand
 
Malizia kwa kusema wakiisha futa majina ya Magufuli waandike ya majina ya babaako. Au vipi!
 
Stendi ya mbezi ya magufuli haijaisha, Hela zimepigwa! Alikuwa mwizi kabisa
 
Aisee Nina hasira Sana na Yule Dictator. Mwizi mkubwa.
 
Na hayo madaraja futeni majina na stendi. Hatutaki kukumbushwa machungu
 
Wapuuuzi tu pekeee na watu wa madili na JF Wasio na kazi na wakaaaa kwa shemeji zao ndio wanaona JPM alikuwa mbaya ila huku mtaaani ni tofauti kabisa maana JF Sindio wawakilishi wrote wa watanzani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…