Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Kuna wakati nikiona hela zimepigwa hivi huwa nawaza tofauti kabisa
Maana walikufa wengi sijui wengine wanakula raha Copacabana na huku tumeambiwa wamekufa?
Hapana sio kwa waswahili sorry
Ila yanatokea sana nchi zingine ku fake kifo baada ya kupiga hela ndefu
Maana walikufa wengi sijui wengine wanakula raha Copacabana na huku tumeambiwa wamekufa?
Hapana sio kwa waswahili sorry
Ila yanatokea sana nchi zingine ku fake kifo baada ya kupiga hela ndefu