Kumbe dunia inaweza kuwa na njia fupi (shortcut) tukaachana na usafiri wa ndege

Kuna at least vitu viwili theory yao itakuwa proved wrong mapema sana kabla jimbi hajawika.

Cha kwanza ni kani au nguvu ya uvutano ya dunia. Ili theory yako iapply, unahitaji kutoka nje ya anga la dunia kwanza ili usiathirike na nguvu hiyo. Sasa gharama ya kutoka nje it is much viable kusafiri kwa muda mrefu from one point to another ndani ya anga la dunia kama ilivyo sasa.

Pili, motion ya dunia kwa maana ya rotation ni East-West direction. Theory yako ita-apply vipi South-North?
 
Kwa nini ushauri kitu ambacho unajua hakiwezekani? Serikali inapokataza bangi ni kuepusha watu na mawazo ya kibangi bangi kama yako
 
Ukitumia formula ya falling object!
Ambayo
Umbali =0.5gt^2 note! g~9.8
Badilili hizo kilometa kuwa mita

Utapata muda t in second!

Badili second kuwa dakika ndo utapata muda huo! Kwamba endapo zikafanyiwa kazi changamoto za joto, na kusiwepo kuzuizi basi Dakika 20 tu zinatosha kutoka upande mmoja kwenda mwingine!
 
Kwa nini ushauri kitu ambacho unajua hakiwezekani?
Waliobuni drone walifeli mara 100 kuipaisha! Leo ndo inatumika kurekodi matukio hadi kwenye mpira!

Kuwaza siyo dhambi! Tumelemazwa sana na hesabu za haiwezekani!

1-2 tuliamishwa haiwezekani! Lakini baadae tukajifunza kumbe inawezekana!

Hapo kinachoferisha ni namna na kifaa gani wanaweza kutumia kisiweze kuathilika na joto Kali na presha Kali kutoka Inner core!

Yamkini kunaweza tokea madini magumu zaidi kutoka sayari nyingine wakaja yatumia kama nyenzo! Lakini kwasasa ni terrible idea ambayo ni ngumu sana!
 
Sijasoma yoote.. Ila nimemkumbuka captain moudy physics kwenye SIMPLE HARMONIC Motion
 
Kwa hiyo kwa acceleration ya gravity ya 9.81 M/S2 uta cover distance ya 127,000km in 20 minutes?
Diameter of earth = 12,742,000,000m
Acceleration = 9.81m/s2
Falling object (initial velocity is zero)

(Final velocity)squared = 2 x g x D (g = accltn, D = earth diameter)
V suared = 2 x 9.81m/ss x 12,742,000,000m
Final Velocity = Square root of (2 x 9.81 x 12,742,000,000)
= 499998m/s = 1,799,992.8 km/hr

Kwa hiyo, ili kitu kianguke kwa free fall kumaliza Diameter ya dunia from zero speed, assumption ni kwamba kiatamaliza dunia kikiwa na speed ya 1, 799,992.8 km/hr

Hapo siingizi theory ya terminal velocity.

Sasa lets say average speed ni (initial velocity na final velocity )/2 = 899,996.4 km/hr

Kwa hiyo kusafiri kwa kukatisha ndani ya dunia from one end to the other time ni

t = d/v = 12,742,000/899,996.4 = 14.16 hrs

Lakini suala ni kamba, achilia mbali joto la earh core, umeona speed unayotakiwa kusafiri? 899,996.4 km/hr
 
Kwa walioisoma yote, huyu ni Genius au ni Bangi???
Huyu genius kuliko magenius wote, mada nzima ni umehitimishwa na tangazo la biashara ambalo akiwasilisha kwa njia ambayo wengi wataisoma , nimevutiwa sana nao kwa kweli
 
Angalia hapo hesabu zako hazija kama vizuri, pia! Kumbuka kwenye falling object gravity inabadilika kulingana na altitude!

Terminal velocity tumia kwenye speed zinazohitaji nguvu ya kinetic!

Kwenye falling object majibu sahihi utayapata kwa kutumia gravitational, time na distance

Mtu anaepaa kwa ndege unaweza zunguka nusu ya dunia kwa saa 15 hadi 20 halafu iweje kitu kinachodondoka kwa free fall kitumie saa 14hr kupita shortcut?

Kumbuka speed ya gravitational inaongezeka mara mbili zaidi inapofika nusu ya umbali
 
Acceleration iko pale pale bali velocity ndio inaongezeka. Terminal velocity ni concept kwamba acceleration "g" inakuwa haina effect tena ya kuongeza velocity ya falling object kwa hiyo object ina attain maximum possible velocity
 
Mtu anaepaa kwa ndege unaweza zunguka nusu ya dunia kwa saa 15 hadi 20 halafu iweje kitu kinachodondoka kwa free fall kitumie saa 14hr kupita shortcut?

Kumbuka speed ya gravitational inaongezeka mara mbili zaidi inapofika nusu ya umbali
Trip ya ndege tola Dubai hadi Sydney ni masaa 15. Sasa hiyo dunia unayozunguka kwa ndege kwa masaa 15 hadi 20 ni ipi? Fanya hesabu. Tafuta umbali wa mzunguko wa dunia halafu tumia average speed ya ndege 800km/hr
 
Acceleration iko pale pale bali velocity ndio inaongezeka. Terminal velocity ni concept kwamba acceleration "g" inakuwa haina effect tena ya kuongeza velocity ya falling object kwa hiyo object ina attain maximum possible velocity


Anachokuambia mwenzako ni kweli kwamba " g" varies with altitudes , , ndani ya uso wa dunia au nje ya uso wa dunia, labda u-assume kwamba "g=9.81ms²" ni Constant in both cases.
 
Trip ya ndege tola Dubai hadi Sydney ni masaa 15. Sasa hiyo dunia unayozunguka kwa ndege kwa masaa 15 hadi 20 ni ipi? Fanya hesabu. Tafuta umbali wa mzunguko wa dunia halafu tumia average speed ya ndege 800km/hr
Mkuu tumia hesabu! Kama nusu mzunguko wa dunia ni kilometers elfu 20 ndege ambayo inatembea 900~1200km/hr itakatiza anga kwa muda gani?
Achana na ndege za abiria zinazotua kusubili abilia! Hizo ni kama daladala za angani!
 
Anachokuambia mwenzako ni kweli kwamba " g" varies with altitudes , , ndani ya uso wa dunia au nje ya uso wa dunia, labda u-assume kwamba "g=9.81ms²" ni Constant in both cases.
Sawa, lakini hiyo effect nyie mnaongelea kwenda juu. Hapa tunaongelea ku-drop kitu toka juu kwenda chini shimoni, uki-assume kuwa ili uende upande wa pili wa dunia "unatumbukia kwenye shimo" kwa hiyo "g" itaongezeka badala ya kupungua.

In reality, at some point hata "ukitumbukia" kwenye shimo ili uende nchi iliyo upande wa pili wa dunia, at some point itabidi "upande juu" kwa kuwa ule upande wa pili utochomoza toka ndani ya shimo kwa kwenda juu. Complicated.
 
Mkuu tumia hesabu! Kama nusu mzunguko wa dunia ni kilometers elfu 20 ndege ambayo inatembea 900~1200km/hr itakatiza anga kwa muda gani?
Achana na ndege za abiria zinazotua kusubili abilia! Hizo ni kama daladala za angani!
Okay. Basi kuna kipmo cha earh hapo juu nimekosea. Diameter of earth =km? Hesabu yote itabadilika
 


Ni hivi; g=9.81m/s² at the Earth surface, above or below the Surface g varies, above the surface it varies linearly and below the surface (underground ) it varies slightly exponentially.

Recall, high school Advanced physics.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…