Me I and my self
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 4,077
- 8,828
Hizo idea ni kweli hata mi pia nilisha waza hivyo na ni sasa.Kwa walioisoma yote, huyu ni Genius au ni Bangi???
Kama wewe unaona bangi basi jua huna uwezo wa kufikiria
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo idea ni kweli hata mi pia nilisha waza hivyo na ni sasa.Kwa walioisoma yote, huyu ni Genius au ni Bangi???
Dunia ni chungwa?Hiyo ni nadharia ya kifizikia, hakuna kosa hapo.
Pfffffffffff!!!! Pass the joint homieHizo idea ni kweli hata mi pia nilisha waza hivyo na ni sasa.
Kama wewe unaona bangi basi jua huna uwezo wa kufikiria
Unaweza ukaimenya ukala?Dunia ni mfano wa chungwa.
Unaweza ukaimenya ukala?
Vina sifa zinazoendanaUnaelewa maana ya kitu kuwa mfano wa kitu kingine??!
Vina sifa zinazoendana
Najua unafanya mzaha bro!Vina sifa zinazoendana
Chungwa linamenyeka na kuliwa.Sasa shida ipo wapi??, huelewi nini chungwa kuwa mfano wa dunia??
Ni kipengele kwelikweli na kunauwezekano katika majaribio kadhaa ikaleta madhara makubwa kama volcano katika eneo husika au ongezeko la joto ardhi!"Hivyo hilo wazo la kuitoboa dunia litabakia kuwa kipengele!"
ukichimba shimo huko kasulu utatokea Kabul, Afghanistan mkuu,kila sehemu ni mashimo tu.Kwa hiyo dunia yote ije Temboni ili kwenda Ubeligiji tu?
Hahahukichimba shimo huko kasulu utatokea Kabul, Afghanistan mkuu,kila sehemu ni mashimo tu.
Utwango itageuka kuwa jiji,maana ukichimba shimo pale vipimo vinaonesha unadondokea juu ya paa la nyumba ya Paff Dady
Sasa Koran inasema dunia ina umbo la yai, Sasa jua linaenda kuzama kwenye matope ambayo yapo wapi katika ili yai?Chungwa linamenyeka na kuliwa.
Kama ni umbo hata hapo unakosea
Quran inasema Dunia ina umbo la Yai, yai linafanana umbo na chungwa?
HahahSasa Koran inasema dunia ina umbo la yai, Sasa jua linaenda kuzama kwenye matope ambayo yapo wapi katika ili yai?