Kumbe dunia inaweza kuwa na njia fupi (shortcut) tukaachana na usafiri wa ndege

wewe sasa ndiyo umepiga vizuri
"unaposhuka" g inakua positive

"unapopanda" g inakua "negative" (aka retardation/de-celeration) cuz unapingana nayo, so utahitaji "prime mover" mathalan 'jet engine' etc, ui over come g, na kuifanya iwe positive (mover iwe na torque ya kutosha) ili "upande juu"
 
Watabisha lakini huu ndoukweli hata mimi naujua japo kwenye core huwez kutoboa kwahiyo ibaki nadharia tu kama ilivyo binadamu kuishi kwenye jua
 
bange,yani tutoboe shimo hapa Temboni tutokee Ubelgiji kweli?
Unajirusha tu vyuuuuuuuuuu bila nauli unatokea zako mbele?
Bangi hizi
Hapana sio bangi, hata namna technology ya leo ilivyokuja mawazo yake yalianza kama bangi.
 
Kwa walioisoma yote, huyu ni Genius au ni Bangi???
Ni genius.

Wewe ulishakaa na kufikiri hivyo?

yote aliyoeleza yana uhalisia.

Vikwazo vya kutowezekana pia kavitaja navyo ni vya kweli pia.

Kwanini asivikwe hiko cheo cha ujinias na kupigiwa saluti?
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kijana kwenye reply anakwambia hata waliotengeneza ndege , wazo lilikuja watu wakasema wanavuta bangiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.
Kijana una nyorota mraa.
 
Kama kweli dunia ni duara bas kuitoboa inawezekana na tukapata shortcut ila kama ni uongo siyo duara Hatuwez kupata shortcut kwa kuitoboa,inawezekana dunia siyo duara
 
Kama kweli dunia ni duara bas kuitoboa inawezekana na tukapata shortcut ila kama ni uongo siyo duara Hatuwez kupata shortcut kwa kuitoboa,inawezekana dunia siyo duara
Tatizo ni hiyo teknolojia ya kuitobolea ndo shida ilipo!
Katika matabaka ya ardhi kuna kile kiini cha kaji cha madini ya chuma kina joto Kali sentgrade zaidi ya 10000β„… hilo joto ninayeyusha mitambo yote na kila kitu!

Labda kama watagundua kuna madini mengine imara zaidi kutoka sayari zingine ili wayafanye mtambo unohimili joto!
Mbali na hapo wazo la kuitoboa dunia ni gumu!
 
Wakati wenzio wanasoma ulikuwa unawaza kiporo cha wali maharage ulichokiacha home
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…