Kumbe dunia inaweza kuwa na njia fupi (shortcut) tukaachana na usafiri wa ndege

Kwa walioisoma yote, huyu ni Genius au ni Bangi???
Hii ni bangi ya malawi kabisa, sijawahi kuna mtu anawaza upumbavu hivi, mi nilijua anawaza juu ya kugundua vyombo ambavyo ni sonic vyenye kasi kuliko ndege za kawaida kumbe anawaza ujinga tu
 
ndio maana umeonekama DENKETE yaani nusu SONJI , sasa utaandikaje mawazo yako halafu mwishoni unayapinga mwenyewe kwamba haiwezekani! Zimo kweli, itoshe kusema BANGI
Jaman! Mbona makasiriko ugumu wa maisha upo kote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ