Kumbe dunia inaweza kuwa na njia fupi (shortcut) tukaachana na usafiri wa ndege

Kumbe dunia inaweza kuwa na njia fupi (shortcut) tukaachana na usafiri wa ndege

Kwa walioisoma yote, huyu ni Genius au ni Bangi???
Hii ni bangi ya malawi kabisa, sijawahi kuna mtu anawaza upumbavu hivi, mi nilijua anawaza juu ya kugundua vyombo ambavyo ni sonic vyenye kasi kuliko ndege za kawaida kumbe anawaza ujinga tu
 
Back
Top Bottom