Kumbe Hasidic Jews (Wayahudi wenye msimamo mkali) ni watu wa ovyo sana

Umemaliza vibaya.

Waislamu na christians wanashabiiana ktk mengi kuliko Judaism na wayahudi.

Islam's na christians wanamtambua Yesu/ISSA kuwa ndiye MESSIAH.
Katika imani ya kumpwekesha Mungu (monotheism) , Uyahudi na Uislam upo sawa kabisa.

Wakristo wanaamini katika utatu mtakatifu ilihali Uyahudi na Uislam huchukulia kuwa hiyo ni imani ya kishirikina.

Wayahudi na Waislam hawaamini kuwa Mungu ana mtoto (yesu) au ana mama aitwae (Maria).

Uislam na Ukristo unakubaliana kuwa Yesu ni Masihi aliyezaliwa na mwanamke aitwae Mariam ila hazikubalini kuwa Yesu ni mwana wa Mungu au Mungu. Pia uislam na ukristo haukubaliani juu ya Utatu mtakatifu (Trinity)

Ama tukija katika suala la kuchangamana kijamii (Co-existance) , Wakristo wapo karibu zaidi na Waislam kuliko ilivyo kwa Wayahudi.
 
Wakristo ktk Imani tunaamini Mungu ni MMOJA hivyo tunashabiiana, utatu ni wacatokicano,

Masihi maana yake ni Mwana wa Mungu na ni Mungu hivyo Islam na waliookoka tupo pamoja.

Amen.
 
A very stupid hoja. Wayahudi nao ni binadamu tu kama wengine wenye ushetani, unanii kama Waarabu, Wabantu, Wachina, Wahindi n.k hao ni watu tu. Hata Yesu walimtemea mate
 
Tuseme ni Judaism ni dini ya kibaguzi au Wayahudi ni wabaguzi. Kwa yeyote aliyewahi kuishi China au Japan ni kwamba hawamjui Yesu lakini hawabagui Mwafrika kwa dini wala rangi yake. Ukitaka tunda unatafuna Tu. Njoo Uarabuni wewe ngozi nyeusi uombe tunda kama hutanyongwa hadharani.
 
Wajinga ndio waliwao..
 
Uongo wa wazi huu!! Ni wazi hata uarabuni hujawahi kufika. Mtume Muhammad alikuwa na wanafunzi wengi weusi kutoka Afrika. Dini ya Uislam haibagui watu kutokana na rangi ,makabila au mabara watokayo.
 
Wakristo ktk Imani tunaamini Mungu ni MMOJA hivyo tunashabiiana, utatu ni wacatokicano,

Masihi maana yake ni Mwana wa Mungu na ni Mungu hivyo Islam na waliookoka tupo pamoja.

Amen.
Masihi maana yake mtiwa mafuta
 
Uongo wa wazi huu!! Ni wazi hata uarabuni hujawahi kufika. Mtume Muhammad alikuwa na wanafunzi wengi weusi kutoka Afrika. Dini ya Uislam haibagui watu kutokana na rangi ,makabila au mabara watokayo.
Naona uko mbali na vyombo vya Habari. Kama una mtoto usijitoe ufahamu ukamruhusu aende kufanya kazi uarabuni eti ni wenzetu. Atarudi na figo moja na ini moja.
 
Masihi maana yake mtiwa mafuta
MESSIAH;

From Hebrew "Mashiah" , "Anointed"

Judaism, the expected KING of davidic line who will deliver Israel from foreign bondage.

MESSIAH came from this Prophecy;

(Isaiah 9:6-7) which says :In swahili,

Maana Kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto Mwanaume, na Uweza wa kifalme utakuwa begani mwake,

Naye ataitwa Jina lake, MSHAURI WA AJABU, MUNGU MWENYE NGUVU, BABA WA MILELE, MFALME WA AMANI.

7, Maongeo ya enzi yake na Amani, hayatakuwa na mwisho kamwe, katika KITI Cha enzi Cha Daudi, na ufalme wake, kuuthibitisha na kutengeneza HUKUMU na HAKI, tangu sasa na hata Milele.

ISLAM'S na Waliookoka ni ndugu.

Yesu/ ISSA ametambuliwa kama Messiah ktk vitabu vyao.

Messiah Ni mfalme wa WAFALME, Mungu mwenye nguvu, baba wa milele, ufalme wake hauna mwisho. Yesu ni Mungu.

Wayahudi walimsulubisha na sababu alijitambulisha kwao kama Messiah ambaye ni Mfalme wa WAFALME Mungu mwenye nguvu. Bt Islam's wamemtambua kama Messiah.

Messiah Yesu,aliposulubishwa na wayahudi ,aliitoa Roho yake,cakashuka kuzimu, akamnyanganya Shetani funguo za MAUTI na kuzimu na akaihuisha tena ROHO yake ktk mwili siku ya TATU, akapaa Mbinguni na Ameketi mkono wa kuume wa Enzi Mbinguni, na ndiye atakayekuja kuuhukumu Ulimwengu juu ya DHAMBI.

ISLAM'S bila YESU hakuna Ukombozi, mkimwamini ndiye njia ya Kweli na Uzima.

Mungu ni MMOJA, na YESU ndilo JINA lake.

Amen.
 
Kwani si tulikubaliana hili ndo taifa teule au sio kubwa jinga MK254
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…