Kumbe Hasidic Jews (Wayahudi wenye msimamo mkali) ni watu wa ovyo sana

Uongo.Wayahudi wanashabihiana sana na wakristo wa kisabato KULIKO waislam.Waislam ni wapinga amri za MUNGU,mfano;
*Wanakula najisi(ngamia)
*Wanavunja sabato(jumamosi)
*Wanafanya ibada za wafu(kuwaombea wafu)
*Wana ibada za mwezi(hawafungi au kufungua wasipouona mwezi)
*Wana ibada ya sanamu(kusujudia jiwe jeusi huko makka,na tasbihi)
Kwa hayo machache utaona waislamu ni watoto wa katoliki.Wayahudi wanafanana Kwa ukaribu sana na wakristo wa kweli ambao ni wasabato(watu wa kitabu) kuliko waislamu.
 
Daah....
Watu wa aina yako ndio mnaoupotosha ukristo.
Muombe Mungu akufunulie uisome Biblia na uielewe.
 
Hata hawa waislam wapo hv , na sobibor itajirudia tena hasa huko china watakuja ua hawa wanaotaka kila mtu awe dini yao
 
Ajabu kuna ndugu zako wamezaliwa kyela na Tandale wanaweka bendera za Israel kwenye nyumba za Ibada na magari...
Wanaotumia alqaida , boko haram , alshabab , isis kuiharibu afrika na hao tunawasikia tu , bora yupi ? muwe mnatumia akili kabla kunyooshea wengine vidole
 
Kuna wale wanaowahusudu watasema ni movie
Yaani myahudi hata afanyeje bado watajitoa ufahamu hao
Kwahiyo hawa alshabab, boko haram ,isis , alqaida , adf , janjaweed , seleka wote ni wayaudi ? Hv nyiny wavaa kobaz hamuyaoni ya kwenu ambayo yapo waz kbs ila mnataka kuangaike na yasiyoonekana
 
Mie nawashangaa sana wanaoshobokea wayahudi imani ipo moyoni na sio kwenye kundi fulani la watu
Tanzania hakuna wayaudi , watu wanaunga mkono kama watu wengine dunian sio kwa imani yao , nyiny ndo mnasapoti ugaidi kwa kigezo cha dini
 
Umeenda mbali sana hapo Suda janjaweed waliua mamia kwa mamia kisa ni waafrika weusi bila kujali dini gan , ila hawa ndugu zetu wanataka tuangaike na watu wa mbali sana ambao hata hatuna muingiliano nao sana
 
Sijawai isapoti israel kwa kigezo cha dini maana sio moja na sisi wakristo ila tuwaulize nyiny kwann mnawakumbatia hao waarab wanaofadhiri ugaidi baran afrika ? Tanzanite inauzwa Saudia Arabia imefikaj kule ? Mali zetu nying zinaibww kiharam hlf zinauzww huko Saudia Arabia , je zimerikaje kule , nini maslai yao kufadhiri ugaidi afrika , ukijibi ndo tuendelee wazungumzia ambao huenda hata hujawai waona
 
Umemaliza vibaya.

Waislamu na christians wanashabiiana ktk mengi kuliko Judaism na wayahudi.

Islam's na christians wanamtambua Yesu/ISSA kuwa ndiye MESSIAH.
Ila waislam wanaunda vikundi kutuua wakristu halaf hapa wanataka waonekane wema kuliko hao wayaudi ambao wanayafanya hayo wakiwa kwao huko
 
Ila waislam wanaunda vikundi kutuua hawa watu wabinafs kama wayaudi tu
 
Sio wachina au wajapan wote hawabagui , kti jamii watu wana mitizamo tofauti sasa huyu mpuuz mleta mada kawatumia hao wachache kuwahukumu mamillion ya wayaudi , hapa Afrika waislamu wengi ni magaidi kivitendo au kiakili ila sio wana hizo element za ugaidi ndani yao , so usitumie kikundo cha watu kuhukumu watu wote , huko china na japan hata india ubaguzi ni mkubwa sana hata kuzidi hapo Israel au kuwaizid wayaudi ila media zao zinaficha hayo matukio hutayaona kweny Tv , ndugu alienda China akatoka nje ya jiji watu hawakutaka salama wala kupokea ela yake wala kuzungumza nae kisa ni mweusi plus alivaa rozali wakamtaka aivue vijana ww huko , pia India alikutana na hali hiyo hiyo
 
Ukweli ni kwamba,Yesu alipokuja duniani,aliwavua uteule Hawa watu. Maana a 2alimkataa. Kuna wale walokole wa isukamahela wanawaabudu sana wayahudi, hawajui kuwa ni taifa lililotemwa zamani na Mungu.
 
Kwahiyo hawa alshabab, boko haram ,isis , alqaida , adf , janjaweed , seleka wote ni wayaudi ? Hv nyiny wavaa kobaz hamuyaoni ya kwenu ambayo yapo waz kbs ila mnataka kuangaike na yasiyoonekana
Nilijua mpo
 
Kwani kutokuamini kwao kumeanza jana au kabla hata ya bibi wa bibi wa bibi yake Mtume wako Muhammad kuzaliwa?

Christianity inaihitaji existence ya Israel na wale watu sana ni vile hutaki kujifunza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…