Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Yesu alikuwa myahudiSawa
Ila wayahudi wana dini yao na wa kuwatetea wawe wayahudi wenzao
Bado yuko kanisani anaomba halafu akitoka huko anakuja kutukana hapaAkikujibu nitag
Wayahudi wanakubali hilo?Yesu alikuwa myahudi
WanakubaliWayahudi wanakubali hilo?
Umeandika kweli tupu ila ndugu zetu wakristo hawafahamu hili.Wakristo huwa wanajizima data.
Wayahudi wote wanawachukulia wakristo kuwa ni WAPAGANI (Polytheists).
Wayahudi hawaamini kuwa Yesu ndiye Masihi wa aliyetumwa na Mungu kwa ajili ya Wana wa israel.
Wayahudi hawakubaliani na kauli kuwa Yesu ni mwana wa Mungu/Mungu..na humchukulia yeyote anayesema au kuamini maneno hayo kuwa ni Mpagani.
Wayahudi hawaamini katika msalaba, ukombozi kupitia damu ya Yesu,Utatu mtakatifu na vilevile hawali Nguruwe)
Wayahudi kiimani wapo karibu sana na Uislam kuliko ilivyo kwa Ukristo
Nime Google hainipi majibu kama yakoWanakubali
Kwahiyo google ikisema gadafi ni gaidi wewe unakubali? Au ikisema waislamu ni magaidi utakubali?Nime Google hainipi majibu kama yako
Ngoja niendelee kusomaView attachment 2612998
Hapana siwezi kukubali ila ina vyanzo vingi pia kama wao wenyewe kusema hawakubali kuwa Jesus is GodKwahiyo google ikisema gadafi ni gaidi wewe unakubali? Au ikisema waislamu ni magaidi utakubali?
Kwahiyo sio kwamba kila unachokisoma google ni chakweli si ndio?Hapana siwezi kukubali ila ina vyanzo vingi pia kama wao wenyewe kusema hawakubali kuwa Jesus is God
Na kwao kuna dini zote 3
Kueleweshana ni elimu tosha
Mengine ni fake na mengi ni kweliKwahiyo sio kwamba kila unachokisoma google ni chakweli si ndio?
Myahudi (Jew)? Je Abraham alikuwa jew au Hebrew (Habiru??) Acha ujinga weweLakini wewe ni mtu mzima mbona unakuwa mpumbavu?
Isitoshe una degree ya Tumaini university kabisa ila bado mjinga
Uyahudi ulianza lini na ulitokana na nini unafahamu?
Achana na maufala yao wako hivyo siku zote
Kuna wakati huwa inashindwa kuelewa vitu vidogo. Ukristu na dini ya Kiyahudi zina tofauti kubwa katika mafundisho na kile wanachokiamini. Ukristu unamtambua Yesu kama nafsi ya pili ya Mungu, na alizaliwa eneo hilo. Hata Israeli ingekuwa chini ya wabudha, bado Ukristo ungeendelea kuheshimu historia ya maeneo hayo kwamba ndipo Yesu alizaliwa na ni yeye aliweka misingi ya Ukristu .Wakristo huwa wanajizima data.
Wayahudi wote wanawachukulia wakristo kuwa ni WAPAGANI (Polytheists).
Wayahudi hawaamini kuwa Yesu ndiye Masihi wa aliyetumwa na Mungu kwa ajili ya Wana wa israel.
Wayahudi hawakubaliani na kauli kuwa Yesu ni mwana wa Mungu/Mungu..na humchukulia yeyote anayesema au kuamini maneno hayo kuwa ni Mpagani.
Wayahudi hawaamini katika msalaba, ukombozi kupitia damu ya Yesu,Utatu mtakatifu na vilevile hawali Nguruwe)
Wayahudi kiimani wapo karibu sana na Uislam kuliko ilivyo kwa Ukristo
Mungu anamuomba Mungu mbona jamaa unanichanganya maana Yesu alikuwa anaombaMESSIAH;
From Hebrew "Mashiah" , "Anointed"
Judaism, the expected KING of davidic line who will deliver Israel from foreign bondage.
MESSIAH came from this Prophecy;
(Isaiah 9:6-7) which says :In swahili,
Maana Kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto Mwanaume, na Uweza wa kifalme utakuwa begani mwake,
Naye ataitwa Jina lake, MSHAURI WA AJABU, MUNGU MWENYE NGUVU, BABA WA MILELE, MFALME WA AMANI.
7, Maongeo ya enzi yake na Amani, hayatakuwa na mwisho kamwe, katika KITI Cha enzi Cha Daudi, na ufalme wake, kuuthibitisha na kutengeneza HUKUMU na HAKI, tangu sasa na hata Milele.
ISLAM'S na Waliookoka ni ndugu.
Yesu/ ISSA ametambuliwa kama Messiah ktk vitabu vyao.
Messiah Ni mfalme wa WAFALME, Mungu mwenye nguvu, baba wa milele, ufalme wake hauna mwisho. Yesu ni Mungu.
Wayahudi walimsulubisha na sababu alijitambulisha kwao kama Messiah ambaye ni Mfalme wa WAFALME Mungu mwenye nguvu. Bt Islam's wamemtambua kama Messiah.
Messiah Yesu,aliposulubishwa na wayahudi ,aliitoa Roho yake,cakashuka kuzimu, akamnyanganya Shetani funguo za MAUTI na kuzimu na akaihuisha tena ROHO yake ktk mwili siku ya TATU, akapaa Mbinguni na Ameketi mkono wa kuume wa Enzi Mbinguni, na ndiye atakayekuja kuuhukumu Ulimwengu juu ya DHAMBI.
ISLAM'S bila YESU hakuna Ukombozi, mkimwamini ndiye njia ya Kweli na Uzima.
Mungu ni MMOJA, na YESU ndilo JINA lake.
Amen.
Jina la Mungu ni YESU.Mungu anamuomba Mungu mbona jamaa unanichanganya maana Yesu alikuwa anaomba
Mungu jina lake ni Jehovah
Mungu haombi na hana wa kumuomba sisi ndio tunamuomba
Kama Imani yao ipo karibu sn na uislam iweje ss kila siku inawauwa hao ndugu zao wapalestina ambao wapo karibu nao kiimani?Wakristo huwa wanajizima data.
Wayahudi wote wanawachukulia wakristo kuwa ni WAPAGANI (Polytheists).
Wayahudi hawaamini kuwa Yesu ndiye Masihi wa aliyetumwa na Mungu kwa ajili ya Wana wa israel.
Wayahudi hawakubaliani na kauli kuwa Yesu ni mwana wa Mungu/Mungu..na humchukulia yeyote anayesema au kuamini maneno hayo kuwa ni Mpagani.
Wayahudi hawaamini katika msalaba, ukombozi kupitia damu ya Yesu,Utatu mtakatifu na vilevile hawali Nguruwe)
Wayahudi kiimani wapo karibu sana na Uislam kuliko ilivyo kwa Ukristo
Na ndiyo ukweli. Tunastahili.Haya mambo ya dini tumeletewa tu, hata ubaguzi wa kule wanakoendaga ndugu zetu KUHIJI ni wa kiwango cha SGR, dada zetu hata wa Imani yao wamenyanyaswa sana na kubaguliwa wakienda huko kufanya kazi, hata Morocco ilipoingia nusu fainali ikadai ushindi wao unawakilisha nchi za kiarabu na sio Afrika. Watu weusi maskini kwa kujua au kutojua huwa wanajipendekeza sana kwa wayahudi na waarabu, wakati wenzao wanawaona kama wanyama pori tu. Ni vile watu wengi hawasafiri sana hivyo wengi hawajui kinachoendelea huko duniani.