Kumbe hata Ulaya hakuna Uhuru wa kutoa Maoni, Wanaounga mkono Hamas na kuikosoa Israel wanapigwa rungu

Kumbe hata Ulaya hakuna Uhuru wa kutoa Maoni, Wanaounga mkono Hamas na kuikosoa Israel wanapigwa rungu

wapalestina kwao ni wapi?
waisrael kwao ni wapi?.

sidhani kama yanatuhusu, tuwaenzi babu zetu akina Mkwawa waliokataa ukoloni, haya mengine hayatuhusu.
 
Wapalestina Wenyewe hilo wanalielewa vizuri ila wanadai Wana sehemu ya Urithi wa Esau

Ikumbukwe Esau alimuoa mtoto wa Ishmael Baada ya kuingizwa mjini na Israel ( Yakobo)
achana na hadithi za kusadikika kwanza,mtu avamie shamba lako afu aseme MUNGU alimpa urithi utamuelewa?
 
Kama ambavyo walikaa kimya hamas walipoanza mashambulizi kuua raia, basi na sasa wake kimya.
Tunapoteza sympathy nao Kwa sababu hatukuwahi kuona wakilaani magaidi kama Al shabab, is, n.k
 
Leo hii, wewe ukianza kusema Comoro ni nchi ya Watanzania, nani atazingatia?

Ufahamu kuwa hakujawahi kuwepo nchi inayoitwa Palestina, hata kabla ya Umoja wa mataifa kuundwa.

Katika ramani ya Ulimwengu wa kale, Wayahudi walimiliki nchi ya Kanani ambayo kwa sasa inajumuisha eneo lote la Israel, eneo lote la Wapalestina, na baadhi ya maeneo ya Lebanon, Jordan na Syria.

Kabla ya Yesu, eneo hilo lilikuwa na Israel kingdoms 2, moja ikiitwa Israel, na ya pili ikiitwa Judea. Na hawa wanaoitwa Wapalestina, kiuhalisia ni Wayahudi walioishi eneo la Judea, jina linalotokana na Yuda, mtoto wa kwanza wa Yakobo.

Hawa Wapalestina na Wayahudi ni ndugu wanaofarakanishwa na Iran. Bila Iran, haya yanayotokea yasingekuwepo. Iran ndiye shetani anayewamaliza Wapalestina na Wayahudi.

Israel ni mvamizi Mkuu.
Ni sawa useme Wahindi wekundu waende wakawatoe Wamarekani Hapo USA.
 
Mkuu nakuaminia, fatilia Kwa makini. Hakuna anayeunga mkono palestina anabugudhiwa, wanaobugudhiwa ni wale wanaounga mkono kikundi Cha kigaidi HAMAS. Ni sawa na uunge mkono alkaida utegemee kuchekewa

Nani anayesema Hamas ni magaidi?
Tanzania ilivyojilinda na Idi Amini tulikuwa magaidi?
 
Wanaupinga Israel kwenye Nini?. Maana Israel ndio kachokozwa. Israel angekaa kimya? Punguza unafiki.

Israel ndio kavamia nchi ya Watu.
Ni sawa sasa hivi UN iamue kutuletea Jamii fulani ya Watu kisha nchi yetu igawanywe. Unafikiri tutakubali?
Hata kama UN watatumia mabavu lakini itabaki kuwa hatutakubali na itakuwa ni mgogoro usioisha
 
Sasa Hao waandamaji si waende Gaza.Wanakimbilia ulaya toka uarabuni baada ya kukinukisha kwao halafu wanaleta vurugu nchi za watu🤔

Wanafuata sheria za nchi hizo kuwa maandamano ni sehemu ya haki zao kimsingi
 
Unaruhusiwa kutoa maoni yako lakini siyo kushabikia ugaidi au majanga ya kiasili. Ugaidi na majanga ya kiasili, ni calamities ambazo hazitakiwi kupata ushabiki. Una uwezo wa kukosoa au kutoa mawazo yako juu ya namna ya kuyashughulikia lakini siyo kuyashangilia.

Kuwashabikia magaidi na wewe unakuwa sehemu ya magaidi. Na kama ikidhihirika kuwa wewe ni sehemu ya magaidi utashughulikiwa kama magaidi wenyewe.

Hao wazungu wakivamia na kuua Watu mbona sio ugaidi?
 
Bila shaka mkoa Pouwa Kabisa.

Nilidhani ni hukuhuku kwetu Mambo ya kupigana rungu la mdomo, kuzibana na kukabana makoo ili Watu wasizungumze labda kuhusu jambo fulani.
Wanaharakati na wapiga domo husemaga nchi yetu na nchi za Afrika hakuna Demokrasia ikiwemo uhuru wa kujieleza na kutoa maoni.

Lakini kumbe hata Ulaya mambo ya kupigana rungu la mdomo yapo. Vita inayoendelea huko Mashariki ya Kati baina ya Israel na Palestina (Hamas) imezifanya nchi za Ulaya kuichana Demokrasia kwa wale ambao wanaiunga Mkono Palestina (Hamas).

Wanahubiri kile wasichokifanya. Na hiyo ni dalili ya Unafiki.
Habari za Karim Benzema na wachezaji wengine walioiunga mkono Hamas( maana yake kuipinga Israel) wamejikuta katika kunyimwa haki zao za kujieleza kama nchi hivyo zinavyojiita nchi za kidemokrasia.

Je hiyo ndio demokrasia?

Kama wanaruhusu mtu kushabikia au kufanya ushoga kwa nini iwe shida mtu kuwa upande wa Hamas? Kama wao wanashabikia Israel kwa nini wawazuie wanaoshabikia Hamas? Je hiyo ndio demokrasia?

Jioni njema
Umeangukia kwenye propaganda, wale hawaungi mkono hamas, wanaunga mkono palestine,

Ndo mana hata bendera wanayoipeperusha ni ya Palestine sio hamas.
 
Bila shaka mkoa Pouwa Kabisa.

Nilidhani ni hukuhuku kwetu Mambo ya kupigana rungu la mdomo, kuzibana na kukabana makoo ili Watu wasizungumze labda kuhusu jambo fulani.
Wanaharakati na wapiga domo husemaga nchi yetu na nchi za Afrika hakuna Demokrasia ikiwemo uhuru wa kujieleza na kutoa maoni.

Lakini kumbe hata Ulaya mambo ya kupigana rungu la mdomo yapo. Vita inayoendelea huko Mashariki ya Kati baina ya Israel na Palestina (Hamas) imezifanya nchi za Ulaya kuichana Demokrasia kwa wale ambao wanaiunga Mkono Palestina (Hamas).

Wanahubiri kile wasichokifanya. Na hiyo ni dalili ya Unafiki.
Habari za Karim Benzema na wachezaji wengine walioiunga mkono Hamas( maana yake kuipinga Israel) wamejikuta katika kunyimwa haki zao za kujieleza kama nchi hivyo zinavyojiita nchi za kidemokrasia.

Je hiyo ndio demokrasia?

Kama wanaruhusu mtu kushabikia au kufanya ushoga kwa nini iwe shida mtu kuwa upande wa Hamas? Kama wao wanashabikia Israel kwa nini wawazuie wanaoshabikia Hamas? Je hiyo ndio demokrasia?

Jioni njema
Machadomo ndio Hawa yanadanaganya wajinga.

Serikali iwashugulikie imagine watu wanahubiri kutengana kati ya Tanganyika na Zanzibar watu wa hivi Nyerere alifukuza Nchini na sio wa kuwachekea
 
Wapalestina Wenyewe hilo wanalielewa vizuri ila wanadai Wana sehemu ya Urithi wa Esau

Ikumbukwe Esau alimuoa mtoto wa Ishmael Baada ya kuingizwa mjini na Israel ( Yakobo)
Hupo sahihi,maandiko yote yanaonesha ugomvi ni baina ya Esau(Edomu)na Yakobo(Israel).
 
Kwa nini wavamie?
Madai ya hiyo nchi kuwa ni yao na sio ya Wayahudi mbona hayazingatiwi?
Nchi yao walipewa na nani? Tutakaa kutatua mgogoro huu kwa mlengo wa dini tunatoa lawama kwa mlengo wa dini basi mvamizi atajulikana, ili dunia pawe mahali salama pa kuishi basi watu na wakae pamoja washaurine na wamalize tofauti zao kwa amani. Yaani wewe unau watu maelfu wako wakishambuliwa na kuuliwa inalalamika! Muuaji naye upanga uumpitie hakuna namna
 
Back
Top Bottom