Kumbe hata Ulaya hakuna Uhuru wa kutoa Maoni, Wanaounga mkono Hamas na kuikosoa Israel wanapigwa rungu

Kumbe hata Ulaya hakuna Uhuru wa kutoa Maoni, Wanaounga mkono Hamas na kuikosoa Israel wanapigwa rungu

Ugomvi huo wala haumuhusu Ishmael,wanaopigana hapo ni mapacha wa tumbo moja,Esau (Edomu)na Yakobo(Israel).
Hakuna maandiko yoyote yanayo onesha Ishmael kuwa na ogomvi na Isaka.
Sara alimwambia Ibrahim Mfukuze Hajira na Ishmael kwa sababu mwanangu Isaka hatarithi pamoja na Mwana wa Kijakazi

Wakati Isaka anazaliwa Ishmael alikuwa na miaka 13 alimfanyia dhihaka Sarah Wakati akifurahia kujifungua mtoto ambaye ni Isaka

Someni Bible Vijana Mwanzo 22 😀😀
 
Nchi yao walipewa na nani? Tutakaa kutatua mgogoro huu kwa mlengo wa dini tunatoa lawama kwa mlengo wa dini basi mvamizi atajulikana, ili dunia pawe mahali salama pa kuishi basi watu na wakae pamoja washaurine na wamalize tofauti zao kwa amani. Yaani wewe unau watu maelfu wako wakishambuliwa na kuuliwa inalalamika! Muuaji naye upanga uumpitie hakuna namna

Kwani hii nchi ya Tanzania tulipewa na nani?
Au kule usukani walipewa nani ile ardhi?

Wayahudi ni wachokozi. Tangu Babu yao Ibrahim aliwakuta wenyeji wa nchi hiyo. Huwezi sema nchi yako wakati umekuta wenyeji hapo
 
Sara alimwambia Ibrahim Mfukuze Hajira na Ishmael kwa sababu mwanangu Isaka hatarithi pamoja na Mwana wa Kijakazi

Wakati Isaka anazaliwa Ishmael alikuwa na miaka 13 alimfanyia dhihaka Sarah Wakati akifurahia kujifungua mtoto ambaye ni Isaka

Someni Bible Vijana Mwanzo 22 😀😀

Wakati Ibrahim anaingia hapo Kanaani hakukuta wenyeji?
 
Bila shaka mkoa Pouwa Kabisa.

Nilidhani ni hukuhuku kwetu Mambo ya kupigana rungu la mdomo, kuzibana na kukabana makoo ili Watu wasizungumze labda kuhusu jambo fulani.
Wanaharakati na wapiga domo husemaga nchi yetu na nchi za Afrika hakuna Demokrasia ikiwemo uhuru wa kujieleza na kutoa maoni.

Lakini kumbe hata Ulaya mambo ya kupigana rungu la mdomo yapo. Vita inayoendelea huko Mashariki ya Kati baina ya Israel na Palestina (Hamas) imezifanya nchi za Ulaya kuichana Demokrasia kwa wale ambao wanaiunga Mkono Palestina (Hamas).

Wanahubiri kile wasichokifanya. Na hiyo ni dalili ya Unafiki.
Habari za Karim Benzema na wachezaji wengine walioiunga mkono Hamas( maana yake kuipinga Israel) wamejikuta katika kunyimwa haki zao za kujieleza kama nchi hivyo zinavyojiita nchi za kidemokrasia.

Je hiyo ndio demokrasia?

Kama wanaruhusu mtu kushabikia au kufanya ushoga kwa nini iwe shida mtu kuwa upande wa Hamas? Kama wao wanashabikia Israel kwa nini wawazuie wanaoshabikia Hamas? Je hiyo ndio demokrasia?

Jioni njema
Dunia ya double standards hii
Haki ipo mbinguni tu !
Huku kwingine ni Abracadabra kwa kwenda mbele !!
 
Dunia ya double standards hii
Haki ipo mbinguni tu !
Huku kwingine ni Abracadabra kwa kwenda mbele !!

😀😀
Watu wanawataka sijui kina Yesu sijui kina Zaidi. Lakini wanagoma kurudi nyuma kabla ya kina Ibrahim hiyo nchi ilikuwa Mali ya nani
 
Hao Hamas unawafahamu?.Au ukisikia hamasi unafikiri ni jeshi la nchi.Jielimishe kwanza kabla yakuonyesha uekewa wako hadharani.
 
Ulaya walifanya kosa kubwa sana kuwakaribisha waarabu.

It’s too late now wajiandae kwa mabomu ya kujitoa mhanga

Akili finyu tuh, sijui why mnamuogopa mwarabu Kwa kiwango Hiko....

Mwisho wake mje mseme kwamba wanaomwaga damu huko Russia na Ukraine ni waarabu,mjifunze kuangalia mambo Kwa kutazama chanzo Cha tatizo kwanza.
 
Je ni magaidi dhidi ya wavamizi ?!
Maana ha Mandela alipokuwa anapambana na Makaburu aliitwa Kiongozi wa magaidi wa ANC !
Double Standards !!

Haki ipo mbinguni tu ! Duniani ni mnyonge hana haki mpaka mwenye nguvu apende !!🙏🙏
Abracadabra !
Hata Mbowe alipopambana na Ole sabaya aliitwa Gaidi na kutupwa jela

Tuongee kwa mfano hai
 
Back
Top Bottom