Kumbe kuoa ni kugumu hivi? Aisee mniombee niko hoi bin taabani

Mnawahi kuoa mapema hivo mnakimbilia nini?😀😀.miaka 27 bado sana aisee
 
umewahi kuishi mwezi mmoja au miwili mfululizo na uliyemuoa kabla hamjaoana!?
Kwamba ukiishi naye huo muda ndio kusema? Kwamba ndoa yako haitakuwa na changamoto? Hamna lolote zaidi ya kutenda tu dhambi.

Ndoa ni takatifu na utakatifu ni wa Mungu na malaika zake, shida inakuja pale unapotaka kutumia akili zako kwenye ndoa, lazima ufeli tu, jikabidhi kwa Mungu nyuzi kama hizi zitapungua sana.
 
[emoji1][emoji1][emoji2960]
 
[emoji1][emoji1][emoji2960]
 
Hivi nyie wana mliokaa kwenye ndoa zaidi ya miaka kumi mmefanyeje aisee? Yaani sio poa wakuu yaani niko hoi bin taabani ndiyo kwanza ndoa yangu ina wiki mbili tu aisee najihisi kuchoka na kukata tamaa wakuu...
Ulikuwa hujui. Ni nidhamu tu na busara vinavyoweza kukusaidia si maombi mwanangu. Kwani ulivyooa uliomba kwanza?
 
Tuliza boli wewe, kwanza una kiherehere cha kuo mapema, utachoka haraka, ungesubiri ugonge 30 ndio uoe. Sasa hapo mkeo anafanya kazi gani? Kama hana kazi ni mama wa nyumbani tu umekwisha. Kila siku utaombwa hela za matumizi mpaka ukome. Na kama ni muajiriwa/mjasiriamali utategewa utoe hela za matumizi fumili hela ya mwanamke ni yake ila ya kwako ni yenu. All in all we ni baba hela yako ndiyo inatakiwa kutoka kila siku bila kujali mkeo naye anayo akipenda atakusaidi majukumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…