Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Oa bhana [emoji41][emoji41][emoji16] Kuniponza eeh.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oa bhana [emoji41][emoji41][emoji16] Kuniponza eeh.
Mnawahi kuoa mapema hivo mnakimbilia nini?😀😀.miaka 27 bado sana aiseeHivi nyie wana mliokaa kwenye ndoa zaidi ya miaka kumi mmefanyeje aisee? Yaani sio poa wakuu yaani niko hoi bin taabani ndiyo kwanza ndoa yangu ina wiki mbili tu aisee najihisi kuchoka na kukata tamaa wakuu
Majukumu yamenizidi, nakosa uhuru wa kuamua mambo yangu eti lazima mshirikishane wote kwenye nyumba yaani hapa nipo hoi bin taabani fanyeni wana wajamii forum mninusuru mambo sio poa niko chupli chupli mambo yamekwama wakuuu
Ndiyo kwanza nina miaka 27 yaani naona mambo yamenielemea majukumu yanakuwa mengi sana na wakuu naombeni msaada wenu
😅😅😅😅Ndoa tamu.
View attachment 2781138
Maji ataita mma 🤒Bado hujasema
Kwamba ukiishi naye huo muda ndio kusema? Kwamba ndoa yako haitakuwa na changamoto? Hamna lolote zaidi ya kutenda tu dhambi.umewahi kuishi mwezi mmoja au miwili mfululizo na uliyemuoa kabla hamjaoana!?
[emoji445] Lucky Dube- It's not easy.
[emoji445] Gabby Makula - Baba paroko.
😂 Bado Bado.Oa bhana [emoji41][emoji41]
Muda sio mrefu utaanza kulaumu wazazi, ndugu na jamaa, baadae serikali mwisho kabisa utaanza kuilaumu CCM
[emoji1][emoji1][emoji2960]Ulitumwa na nani!?,umewahi kuishi mwezi mmoja au miwili mfululizo na uliyemuoa kabla hamjaoana!?, Au mlikuwa mnaviziana mpewe baraka za kijinga na jamii!?, Tatizo la ndoa linaanzia pale mnapopanga kuoana kwa kuiridhisha jamii na mbwembwe nyingi. Ila ukiishi na mtu bila masharti na mikakati mingi ya ndoa au msukumo kutoka kwa ndugu jamaa na marafiki mnaishi vizuri tu tena kwa muda usiojulikana.
Ila mkianza mipango ya ndoa ikawa mingi ndo tatizo linapoanzia. Miaka 27 ulikuwa unawahi nini!?.., kama unaishi kijijini ni sawa hata ukiwa na miaka 23 tu. Ila kama ni msomi na upo town 27 unajitafutia matatizo. Muda sio mrefu utaanza kulaumu wazazi, ndugu na jamaa, baadae serikali mwisho kabisa utaanza kuilaumu CCM, nawaona humu kila lawama ni kwa CCM[emoji1787]
[emoji1][emoji1][emoji2960]Taratibu mkuu!
Shida ni majukumu au shida ni kushirikishana kwenye kufanya maamuzi?
Haukua na majukumu kabla ya ndoa? Haukutegemea kua na majukumu baada ya ndoa? Haukutegemea kwamba kutakua na kushirikishana mambo yanayohusu familia?
Unataka kuishi maisha ya mtu alie single wakati uko ndani ya ndoa? Ulilazimishwa kuoa? Ulikua unawahi nini kuoa wakati bado haujakomaa kiakili? Ulidhani kuoa ni kupata papuchi ya bure tu kila siku?
Umekuja huku kutafuta sababu ya kumkimbia mkeo na kukwepa majumu? Ulitegemea tutakuunga mkono katika hilo?
Tulia na mkeo na upambane na majukumu kiazi wewe!
Ulikuwa hujui. Ni nidhamu tu na busara vinavyoweza kukusaidia si maombi mwanangu. Kwani ulivyooa uliomba kwanza?Hivi nyie wana mliokaa kwenye ndoa zaidi ya miaka kumi mmefanyeje aisee? Yaani sio poa wakuu yaani niko hoi bin taabani ndiyo kwanza ndoa yangu ina wiki mbili tu aisee najihisi kuchoka na kukata tamaa wakuu...