Usichukie hatua yoyote maana hatua ya kwanza tu ulishakosea!, hukupaswa kumuuliza!.Juzi ijumaa nikawa nimempitisha wife kazini kwake.wakati naondoka nimefika kama meter 200 hivi mbele nikakumbuka kuwa kasahau mkoba wake kwenye gari,basi ikabidi nimrudie kimya kimya,kufika reception nikamuulizia akaitwa,so hakujua kama mimi niko pale reception namngoja,nikasikia kwa masikio yangu anamsalimia jamaa flani hivi tena kwa mbwembwe "Mambo hubby " alivyoniona akashtuka coz hakutegemea kuniona pale.alipokuja home nikamuuliza hiyo issue akajibu tu simple kuwa ni utani wa kazini.
Wakuu nichukue hatua gani hapa?
Ndivyo walivyo. Dawa ni wewe kutoa password kwenye simu yako au kumpa password. kisha unaanza kuchat na michep yako na kwa makusudi asome na wewe umuambie ni utani!
Hiyo ni mipàngò ya Mungu mkuuUkifa ataendeshaje familia na umeamua awe wa nyumbani
Toa majibu Mkuu acha janja janja.Fikiria tena alafu urudi.
Hili swali huwa wapenda ndoa hawatoagi majibu wanaruka ruka na kuuficha ukweliUkiliangalia kwa mapana,hakuna manufaiko yoyote
Ndoa ni stress na mzigo kwa mwanaume
Haya mambo mimi mwenyewe ni Shahidi. Makazini Kuna kila aina ya vurugu. Imagine wanakaa nae mkeo tangu 1:30 hadi 9:30 au zaidi na sio muda wote wanakuwa bize na kazi. Chukulia mfano ni mwalimu(hawa ndio wenye huo mtindo kwa kiwango kikubwa)Juzi ijumaa nikawa nimempitisha wife kazini kwake.wakati naondoka nimefika kama meter 200 hivi mbele nikakumbuka kuwa kasahau mkoba wake kwenye gari,basi ikabidi nimrudie kimya kimya,kufika reception nikamuulizia akaitwa,so hakujua kama mimi niko pale reception namngoja,nikasikia kwa masikio yangu anamsalimia jamaa flani hivi tena kwa mbwembwe "Mambo hubby " alivyoniona akashtuka coz hakutegemea kuniona pale.alipokuja home nikamuuliza hiyo issue akajibu tu simple kuwa ni utani wa kazini.
Wakuu nichukue hatua gani hapa?
Lazima pia uwe umejipangaHiyo ni mipàngò ya Mungu mkuu
Ha haaa kuna mahali unajidanganya. Hainaga muongozoUkioa mfanyakazi tegemea hayo! Mkuu huku maofsini yanafanyika mambo mengi! Utani mwisho wa siku ni uhalisia! Kuwa mpole maisha yaendelee! Unakumbuka shuka kulishakucha! Mimi namfurahia mke wangu wa nyumbani nikifika home ni full kubembelezwa! Kuoa wanawake wa nyumbani raha sanaaa
Juzi ijumaa nikawa nimempitisha wife kazini kwake.wakati naondoka nimefika kama meter 200 hivi mbele nikakumbuka kuwa kasahau mkoba wake kwenye gari,basi ikabidi nimrudie kimya kimya,kufika reception nikamuulizia akaitwa,so hakujua kama mimi niko pale reception namngoja,nikasikia kwa masikio yangu anamsalimia jamaa flani hivi tena kwa mbwembwe "Mambo hubby " alivyoniona akashtuka coz hakutegemea kuniona pale.alipokuja home nikamuuliza hiyo issue akajibu tu simple kuwa ni utani wa kazini.
Wakuu nichukue hatua gani hapa?
Hakuna Cha hatua wa maofisini lazima waliwe upende au usipendeJuzi ijumaa nikawa nimempitisha wife kazini kwake.wakati naondoka nimefika kama meter 200 hivi mbele nikakumbuka kuwa kasahau mkoba wake kwenye gari,basi ikabidi nimrudie kimya kimya,kufika reception nikamuulizia akaitwa,so hakujua kama mimi niko pale reception namngoja,nikasikia kwa masikio yangu anamsalimia jamaa flani hivi tena kwa mbwembwe "Mambo hubby " alivyoniona akashtuka coz hakutegemea kuniona pale.alipokuja home nikamuuliza hiyo issue akajibu tu simple kuwa ni utani wa kazini.
Wakuu nichukue hatua gani hapa?
Tunaomba Sana Usitugombeze DogoNyie watu mnaojitungia stori zenu na kuja kuziandika humu JF kuhusu ndoa mnasababisha watu kuamini ndo ziko hivyo.
Alafu mnajionesha kama ma bwege flani hivi ambao msiokuwa na msimamo.
Mwingine anakiri kabisa eti mke wake kamfuma amatembea na kijaa wa mtaa tena nyumbani kwake alafu bado amawaza chakumfanya mkewe anaomba ushauri.
Acheni kujifananisha na Wamaume halisi(Alo owa) na Akili za kiume. Huwezi ukaowa ukaja na vi hoja kama hivi JF.
Kwa uzoefu wangu maofisini hakuna Cha utaniNi utani wa maofisini, mtakuja kufa bure
Bora mama wa nyumbani ambae sio msomi.Usijidanganye.... Hao nao wanabomolewa vizuri tu..... Tena unaweza kuta hao ndio zaidi kwasababu wapo huru sana kwakukosa kazi. Nimeshuhudia hayo kwa macho yangu tena sio mmoja au wawili.... Tena anaweza liwa kwenye kitanda chako.... Relax omba Mungu usijue.... Hayo yapo sana
Hadi hapo potezea kwanza, ila chunguza mwenendo wake. Na wewe usiwe na mchepukoJuzi ijumaa nikawa nimempitisha wife kazini kwake.wakati naondoka nimefika kama meter 200 hivi mbele nikakumbuka kuwa kasahau mkoba wake kwenye gari,basi ikabidi nimrudie kimya kimya,kufika reception nikamuulizia akaitwa,so hakujua kama mimi niko pale reception namngoja,nikasikia kwa masikio yangu anamsalimia jamaa flani hivi tena kwa mbwembwe "Mambo hubby " alivyoniona akashtuka coz hakutegemea kuniona pale.alipokuja home nikamuuliza hiyo issue akajibu tu simple kuwa ni utani wa kazini.
Wakuu nichukue hatua gani hapa?
Kyagata on one twoJuzi ijumaa nikawa nimempitisha wife kazini kwake.wakati naondoka nimefika kama meter 200 hivi mbele nikakumbuka kuwa kasahau mkoba wake kwenye gari,basi ikabidi nimrudie kimya kimya,kufika reception nikamuulizia akaitwa,so hakujua kama mimi niko pale reception namngoja,nikasikia kwa masikio yangu anamsalimia jamaa flani hivi tena kwa mbwembwe "Mambo hubby " alivyoniona akashtuka coz hakutegemea kuniona pale.alipokuja home nikamuuliza hiyo issue akajibu tu simple kuwa ni utani wa kazini.
Wakuu nichukue hatua gani hapa?