Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
nadhani atakuwa amejitathmini namna anavyochukiwa na watanzania. ajirekebishe basi. hadi machawa wake walikuwa kimya.Ningeshangaa sana mtu anayeombewa na Maaskofu wote Tanzania ( Kasoro Mwamakula) eti alishwe sumu, ingekuwa ajabu sana!
Nyie mnaoleta Taharuki mnataka nini?
Taarifa kamili hii hapa
View attachment 3053816View attachment 3053817
Wabongo wanampenda kiongozi wao,wasipomuona wanapata presha!Ningeshangaa sana mtu anayeombewa na Maaskofu wote Tanzania ( Kasoro Mwamakula) eti alishwe sumu, ingekuwa ajabu sana!
Nyie mnaoleta Taharuki mnataka nini?
Taarifa kamili hii hapa
View attachment 3053816View attachment 3053817
Hiyo likizoHukusikia Rais yuko likizo kizimkazi?
Be serious 🤔Amekwishang'ata Mbao
Hili nililisema kitambo hapa.Ningeshangaa sana mtu anayeombewa na Maaskofu wote Tanzania ( Kasoro Mwamakula) eti alishwe sumu, ingekuwa ajabu sana!
Nyie mnaoleta Taharuki mnataka nini?
Taarifa kamili hii hapa
View attachment 3053816View attachment 3053817
Mboni umekimbia umeogopa vitasa vya moto njoo tena ujisogeze nikupelekee moto kauchezee unapouchezeaga huu umeuvagaa vibaya utapasuka utachezea vikombe mpaka uikimbie akaunti yako Mbwa WeweAcha uhuni kima wa manjano wewe ..na zaid uwe na adabu kima wewe.
Mbona Roma alivuma kuliko huyo?Mmmh
Hata hivyo, nimegundua kuwa Jina Makonda ni kubwa sana hapa nchini
Embu chukulia ingelitokea pengine kwa mkuu wa mkoa mwingine huko,
Mitandao ingeakaa kuandika kuulizia tatifa zake zaidi wa wiki kweli??
Makonda! Unasiku nyingi sana duniani, wanaokutakia mabaya, mkono wa Mungu wako utashughurika nao
Likizo ya Dharura?Likizo hupatikana baada ya mtu kufanya kazi muda gani? Kwa Makonda muda huo umefika?
Siyo kwamba jina ni kubwa, bali ni kwamba tunataka tusikie AMEFARIKI ili tukanywe na kula kutimoto kama tulivyokunywa tarehe 17/ 03/ 2021Mmmh
Hata hivyo, nimegundua kuwa Jina Makonda ni kubwa sana hapa nchini
Embu chukulia ingelitokea pengine kwa mkuu wa mkoa mwingine huko,
Mitandao ingeakaa kuandika kuulizia tatifa zake zaidi wa wiki kweli??
Makonda! Unasiku nyingi sana duniani, wanaokutakia mabaya, mkono wa Mungu wako utashughurika nao
Kwa mfanyakazi wa serikali,kwani likizo hua ni mara moja kwa mwaka,huyu mwamba tangu aanze huko Arusha hata miezi 6 keshamaliza?,za kuambiwa changanya na za kwakoNingeshangaa sana mtu anayeombewa na Maaskofu wote Tanzania ( Kasoro Mwamakula) eti alishwe sumu, ingekuwa ajabu sana!
Nyie mnaoleta Taharuki mnataka nini?
Taarifa kamili hii hapa
View attachment 3053816View attachment 3053817
Unajua maana ya neno ''infamous''? Jaribu kuchukuwa dictionary kama hujui!Mmmh
Hata hivyo, nimegundua kuwa Jina Makonda ni kubwa sana hapa nchini
Embu chukulia ingelitokea pengine kwa mkuu wa mkoa mwingine huko,
Mitandao ingeakaa kuandika kuulizia tatifa zake zaidi wa wiki kweli??
Makonda! Unasiku nyingi sana duniani, wanaokutakia mabaya, mkono wa Mungu wako utashughurika nao
Aache ujinga wake, kwani ina maana makonda hizi taarifa hazioni mtandaoni mpaka yeye aje kusema kwa niaba ya makonda?Ningeshangaa sana mtu anayeombewa na Maaskofu wote Tanzania ( Kasoro Mwamakula) eti alishwe sumu, ingekuwa ajabu sana!
Nyie mnaoleta Taharuki mnataka nini?
Taarifa kamili hii hapa
View attachment 3053816View attachment 3053817
Dua ya kuku haimpati mwewe,that is all I can say.Ila kuombewa na hao uliowataja sio issue,watu wenyewe wa kiroho wapo wapi.Ningeshangaa sana mtu anayeombewa na Maaskofu wote Tanzania ( Kasoro Mwamakula) eti alishwe sumu, ingekuwa ajabu sana!
Nyie mnaoleta Taharuki mnataka nini?
Taarifa kamili hii hapa
View attachment 3053816View attachment 3053817
Alisubiri muwe wengi ili awajibu kwa pamojaHuyo katibu tawala alikuwa wapi toka mwanzo!?
Mimi hapa nakushangaa wewe!Ningeshangaa sana
Huyu ana tank la gasyule si walisema ni matatizo ya betri sasa huyu naye ana betri?