Pre GE2025 Kumbe RC Makonda yuko Likizo, Uzushi kwamba anaumwa upuuzwe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ukisia yuko !?!?!?!? ujue jipu huenda linakaribia ku pwaaa!
 
Hii ndio wanasema SATIRE?
 
Atajiju
 
Jamaa ni special case katika nchi hii aisee, akiwa kituo chake cha kazi wanasema anakaa hotel tena zaidi ya 3star na likizo yake ni nje ya nchi... Dah jamaa anaonekana ni expat.
 
Mkuu acha unafiki- CHADEMA na wewe si mlitwambia kapewa sumu amelazwa Afrika Kusini.
 
Yaani Mwenge upite mkoani kwake asiwepo kisa likizo , atakua ananipenda kweli?
 
Yupo likizo maana yale yalotokea hivi karibuni yahitaji mtu kupumzika mahala kupisha upepo mkali.

Kama wakumbuka alisema angetaja ile orodha lakini alitishia tu.

Upepo wa safari hii ni mkali sana na wahitaji muda kidogo wa kuushughulikia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…