Pre GE2025 Kumbe RC Makonda yuko Likizo, Uzushi kwamba anaumwa upuuzwe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Pamoja na umashuhuri huo, kipi kinamzuia kujibu mashambulizi au kuonekana mahali akiendeleza umashuhuri wake ...!?
 
Inategemewa ni aina gani ya maombi mkuu!
Ukitenda haki maombi yatafanya kazi.
Usipotenda haki hata kama wakiweka mikono mpaka nywele zinyonyoke, hayatasaidia.
 
Hivi hasa huwa mnamchukia kwasababu gani? Mana mimi nashindwaga kuelewa chuki ya namna hii ilitokaga wapi
Mambo niliyoyaona kwa macho yangu yanayofanya nimchukie ni haya...

Alimpiga Mzee Warioba. Je wewe hili jambo linakufurahisha?

Alivamia pale clouds Fm akiwa na bastola mkononi na kufanya uharibifu. Je wewe hili jambo linakufurahisha?

Tuachane na hayo mengine ya kina Ben Saanane na Tundu Lissu ambayo anahusishwa nayo ingawa binafsi Sina uhakika. Hebu niambie kwa hayo mambo mawili niliyoyataja hapo juu wewe unaonaje? Unampenda kwa hayo mambo aliyoyafanya au ndo uchawa unakusumbua?!!!
 


Kama ni mkristo kweli basi hawezi kufariki kwa kunywa sumu

Mark 16:17,18

17 “Na hizi ndizo ishara zitakazoandamana na wale wata kaoamini: Kwa kutumia jina langu watafukuza pepo; watasema kwa lugha mpya;

18 wataweza hata kuwakamata nyoka na kunywa sumu lakini wasidhurike; watawawekea wagonjwa mikono, nao watapona
 
Ndo tatizo lenu Jf mna makasiriko sana!
Mtu anauliza kutaka kujua unamjibu kama unamchamba!

Aisee watu wengi mnahitaji kujisafisha mioyo/miili yenu mna Dark energy kubwa sana!
Unadhani kila mtu anafatiliaga siasa? Mimi nimetaka kujua unatakiwa ujibu fact 》》》
 
Amen
 
Inaweza kuwa likizo ya matibabu, kwa hiyo hapo hajasema kitu. Watu makini hawawezi kuridhika na maelezo kama haya. Waandishi wa habari waliyakubali?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…