Mkuu Nayakumbuka maovu yake yote,Najua huko alipo anavuna lakini kwa mustakabali wa nchi yetu lazima tukatae hiki kinachoendelea cha kutaka kumtumia yeye kama kafara wakati ukweli tatizo letu ni mfumoEti tumtetee
Unakumbuka kejeli zake
Unakumbuka kelele zake
Matusi yake je
Acha tuchezewe
Lakini si shetani yule
Alitunanga na Tambo zote
Kwa yote yake makeke
Hakika tulitosheka
Acha tupumzike
Kwa vyote vigezo
Mama ametupa vigelegele
Acheni apumzike
Huko mahali pake
Mwendazake ni mwendazake!
Mkuu unafikiri hiki alichosema hajapangiwa?Mkuu shtuka.Kaisome Ripoti ya CAG pamoja na ripoti za miaka ya nyuma utaelewa ninachosema.Kwa hiyo mlitaka CAG asome ripoti gani? Nyie si mlikuwa mnampangia cha kusema?? Sasa ameamua aseme maana anaruhusiwa.. kazi kwenu kumsafisha mwendazake
Ritz upon? Kuna vijana hhawakufahamuTumtetee kupitia ripoti ya CAG.
Mkuu,Huyu bwana alikuwa worst leader kwa sababu ya mfumo wetu.Je mfumo umebadilika kama bado ni ule ule jua kwamba bado unaimbishwaMtetee wewe waliambiwa wabaki na mavi yao nyumbani!
Mkuu Nayakumbuka maovu yake yote,Najua huko alipo anavuna lakini kwa mustakabali wa nchi yetu lazima tukatae hiki kinachoendelea cha kutaka kumtumia yeye kama kafara wakati ukweli tatizo letu ni mfumo
Asante Mkuu kwa hii comment.Wabingo bwana! Mambo Haya yanayoshangiliwa Leo kutokana na ripoti ya CAG inanikumbusha enzi ziiileee za JK. Watu walishangilia kwa kika lililoibuliwa ila hakuna hatua zilizochukuliwa na maisha yakaendelea. Kwa kifupi nchi hii watu wake walio wengi hawako smart kichwani! Pia kuna tofauti ndogo sana kati ya aliyeenda Shule na asiyeenda!
Sent using Jamii Forums mobile app
Najua hawanielewi.Naweka rekodi sawa tu.Maana Watanzania ni wagumu sana kuelewaNimekuelewa...Ila punguza muknkari watu wamevurugwa hawakuelewi😆😆😆
Niseme tu kuwa Mungu akusamehe maana hujui ulisemalo na hujui kuwa unacheza ngoma ambayo mpigaji wake humfahamu!Tumtetee jpm Alie tutukana mbili Mara tatu kutwa?
Tumtetee jpm Alie ua ndugu zetu bila huruma kwa kiwatupa kwenye viroba na kuwatumia watu wasio julikana?
Tumtetee mtu ambae baada ya kutuma washenzi wakamuue lisu walimimina risasi 38, akamnyima fedha za matibabu stahili ya mbunge, akakataza watu wasiemde kumwona hospitali na hata tulipo taka kukusanyika kumwombea Lissu akakataza na hata tulipo vaa tshert za pray for Lissu akatukamata???
Tumwombee mtu Alie nyima maslahi ya wafanyakazi?
Tumwombee Alie bomoa nyumba dar na za Mwanza zilizo kua katika mpango huo akasema waziache kwa kuwa ni wapiga kura wake??
Magufuli alikua ni shetani anae tembea,
Mwizi Alie jifucha katika kichaka Cha uzalendo.
Tunamshukuru Mungu kutuondolea kansa hii Kama taifa.
KWENDA ZAKO MAGUFULI, HATUKUPENDI.
Akili zako na zangu zinafanana bila shaka.Tumtetee jpm Alie tutukana mbili Mara tatu kutwa?
Tumtetee jpm Alie ua ndugu zetu bila huruma kwa kiwatupa kwenye viroba na kuwatumia watu wasio julikana?
Tumtetee mtu ambae baada ya kutuma washenzi wakamuue lisu walimimina risasi 38, akamnyima fedha za matibabu stahili ya mbunge, akakataza watu wasiemde kumwona hospitali na hata tulipo taka kukusanyika kumwombea Lissu akakataza na hata tulipo vaa tshert za pray for Lissu akatukamata???
Tumwombee mtu Alie nyima maslahi ya wafanyakazi?
Tumwombee Alie bomoa nyumba dar na za Mwanza zilizo kua katika mpango huo akasema waziache kwa kuwa ni wapiga kura wake??
Magufuli alikua ni shetani anae tembea,
Mwizi Alie jifucha katika kichaka Cha uzalendo.
Tunamshukuru Mungu kutuondolea kansa hii Kama taifa.
KWENDA ZAKO MAGUFULI, HATUKUPENDI.
Ni dhahiri kwamba JPM ameacha legacy kubwa ambayo haijawahi kufikiwa na kiongozi Tanzania. Sikatai kwamba JPM alikuwa na mapungufu.
Legacy aliyoaicha Magufuli imekuwa changamoto kwa viongozi waliyomtangulia lakini pia waliomfuatia. Waliomtangulia ni kama vile imekuwa fedheha kwao kwa maana matendo ya Magufuli yalifungua macho watanzania kwamba kumbe kuna viongozi hawakuwajibika ipasavyo.
Lakini kwa upande mwingine ni mtihani mgumu sana kwa viongozi waliopo sana kwa yaliyofanywa na JPM inahitajika kiongozi mwenye moyo wa uthubutu kuyaendeleza.
Watu wamejipima na kuona kwamba ni kazi sana. Na pengine watakuwa hawana credibility.
Kilichobaki sasa kuchafua legacy ili kuonyesha kuwa yaliyokuwa yakifanywa na magufuli ni upuuzi tu na haupaswi kuendelezwa.
Inanifikirisha sana kuona Prof anapinga mradi HEP? Eti umeme wa HEP utatuchelewesha. Taifa ili kuweza kuwa na uchumi wa viwanda lazima pawepo na umeme wa uhakika na nafuu. Uhakika wa umeme JNHP ni kwamba kutakuwa na bwawa kubwa ambalo litahakikisha kuwepo na maji ya kusukuma mitambo kwa muda wote ambapo mvua hazitakuwepo. Lakini unafuu wa umeme wa nguvu za maji ni kwamba hakuna nishati inayotumika zaidi ya maporomoko ya maji. Umeme unaotumia nishati kama gesi, petroleum, coal nk ni gharama kwa sababu kuu mbili mosi kwa ajili nishati husika ya kuendesha mitambo ya kufua umeme na pili mitambo kuhitaji matengenezo ya mara kwa kwa mara kutokana na joto. Kwa maana hiyo gharama huo umeme utakuwa juu tu.
Ajabu Professor mbobezi leo anataka tuamini kwa ujenzi wa mradi huo ni upuuzi.
Professor huyu huyu ni mojawapo wa walioshindwa kutuletea suluhisho la tatizo la umeme matokeo wakaishia kuliingiza taifa katika gharama kwa kuingia mikataba ya kitapeli.
Jambo jingine ni Bandari ya Bagamoyo, spika wa Bunge tunaona anataka kutuaminisha kuwa JPM hakushauriwa vizuri. Ndugai enzi za Magufuli aliwahi kukiri kwamba hakujua masharti ya mkataba huo. Sasa kama ameyajua kwa nini asiyeweke bayana? Tunajua umuhimu wa bandari ya Bagamoyo lakini hatuwezi kukubaliana na masharti yasiyo na manufaa kwa taifa letu. Ndugai kama mna hoja ya kutetea Bandari ya Bagamoyo mkataba uwekwe wazi. JPM alituambia masharti ya mkataba tukakubaliana naye kama ninyi mna mkataba wenye masharti tofauti na yaliyoainishwa na JPM uwekeni bayana. Vinginevyo Bandari Bagamoyo haipaswi kabisa kuongelewa.
Yapo mengi nitaendelea lakini kwa sasa naweka kituo.
MATAGA mmepatwa na kiwewe.expand...
simameni kwa nguvu zote kumtetea mh hayati mpendwa makufuli anachafuliwaaa jina lake watanzania mnaompenda mungu na mnaotaka mungu asituhukumu simameni kwa marehemu
Mkuu,Laiti ungelijua kwamba kuna zaidi kwenye hizo nyumba za marais wastaafu.Any way.Ninachojua mimi ni kwamba JPM alikuwa mmoja kati ya viongozi wa hovyo kuwahi kutokea na yote ni kwa sababu tuna mfumo hovyo wa kupata viongozi na kuendesha nchiRais anakwenda kuwajengea majumba ya faghari Marais wastaafu. Unaweza kujiuliza hawa hawakuwa na nyumba zao binafsi? Au hawakupewa nyumba nzuri na Serikali? Mapesa yalotumika kujenga majumba ya nyongeza kwa wastaafu afadhali zingeingizwa kwenye Elimu au Afya.