Kumbukumbu (Legacy) ya Dkt. John Pombe Magufuli
Ujinga wa kulazimishana ulishapita kila mtu ana uhuru wake kwa sasa
Mkuu uhuru ambao haupo kimfumo bali ni kiutashi nao unata uhuru.Unajua kuwa huu uhuru upo kwa sababu ya utashi wa aliyepo na sio kwa sababu ni wa kimfumo.Daini Mfumo acheni kuwa kama mazuzu ambayo yenyewe yanasahau tatizo la msingi kwa propaganda.JPM alianzaga kwa style kama hii mmekuja kushtuka tayari kashajenga mfumo wake.
 
Mimi Leo Nasimama Kuhesabiwa,Nasimama Kuonekana ili wakati ukifika basi Iwe kwamba nilisimama.
Natambua kabisa kwamba Hayati Magufuli hakuwa Mbegu Bora kabisa ya kiongozi katika nchi ila kinachoendelea sasa hivi sio dhuluma dhidi ya Magufuli bali ni dhuluma dhidi ya Watanzania ambao ni wazalendo wa nchi hii.Nasema tena hii ni dhuluma dhidi ya Watanzania.

Sijajua Dhuluma hii ni kwa sababu ya Uoga au ni unafiki wa Watanzania.Naona kabisa inatumika nguvu kubwa sana kutaka kuuaminisha umma kwamba miradi yote ya Magufuli ni shody na kwamba sasa ni wakati wa kuiacha.Niseme tu ukweli kwamba kuna weza kuwa kuna matatizo katika miradi hii ila kwa kweli sidhani kama ni sawa kinachoendelea sasa hivi.

Ninasikia Sauti ya Magufuli akilia na kulaani kwamba hata kabla hajaoza tayari ameanza kusulubiwa na kulaaniwa hata katika maeneo ambayo alijitahidi kuyaweka sawa.Swali langu ni

Je ni kweli kwamba hawa wanaotuaminisha leo kwamba kila kitu hakifai kweli wana nia njema na taifa letu?Au nia yao ni kujijengea mazingira ya kuweka mambo yao sawa?
Asulubiwe tu kuchoma nyavu zetu halali alitegemea hiyo miradi ya alinacha ndio itatulisha sisi nakusomesha watoto zetu sijawahi kuona rais mnyanganyi kama yule aliokufa mungu amlani huko alipo
 
Mkuu,Mimi narudia tena!!Kuna mchezo mpya unapikwa.Tuskubali iwe ni RAHISI kwa nchi yetu kuyumbishwa na watu kwa matakwa yao.Natamani Mgome ili tuwekewe mifumo imara.Hii michezo hii tunachezewa sio kabisa.
Wewe ni pumbavu!
Hukumbuki watu walipogoma enzi za mtakatifu wako aliwapiga risasi.

Leo unataka watanzania wagome kwa maslahi muuaji?
NB
Mfu hutetewa na matendo yake
 
Asulubiwe tu kuchoma nyavu zetu halali alitegemea hiyo miradi ya alinacha ndio itatulisha sisi nakusomesha watoto zetu sijawahi kuona rais mnyanganyi kama yule aliokufa mungu amlani huko alipo
Subiri Utamuona kama hautadai mfumo imara na madhubuti
 
Wewe ni pumbavu!
Hukumbuki watu walipogoma enzi za mtakatifu wako aliwapiga risasi.

Leo unataka watanzania wagome kwa maslahi muuaji?
Muuaji kashakufa hana maslahi.Ni kwa maslah yetu sisi.Tusikubali kuongozwa na utashi tu.Tudai haki ya kimfumo
 
Mimi Leo Nasimama Kuhesabiwa,Nasimama Kuonekana ili wakati ukifika basi Iwe kwamba nilisimama.
Natambua kabisa kwamba Hayati Magufuli hakuwa Mbegu Bora kabisa ya kiongozi katika nchi ila kinachoendelea sasa hivi sio dhuluma dhidi ya Magufuli bali ni dhuluma dhidi ya Watanzania ambao ni wazalendo wa nchi hii.Nasema tena hii ni dhuluma dhidi ya Watanzania.

Sijajua Dhuluma hii ni kwa sababu ya Uoga au ni unafiki wa Watanzania.Naona kabisa inatumika nguvu kubwa sana kutaka kuuaminisha umma kwamba miradi yote ya Magufuli ni shody na kwamba sasa ni wakati wa kuiacha.Niseme tu ukweli kwamba kuna weza kuwa kuna matatizo katika miradi hii ila kwa kweli sidhani kama ni sawa kinachoendelea sasa hivi.

Ninasikia Sauti ya Magufuli akilia na kulaani kwamba hata kabla hajaoza tayari ameanza kusulubiwa na kulaaniwa hata katika maeneo ambayo alijitahidi kuyaweka sawa.Swali langu ni

Je ni kweli kwamba hawa wanaotuaminisha leo kwamba kila kitu hakifai kweli wana nia njema na taifa letu?Au nia yao ni kujijengea mazingira ya kuweka mambo yao sawa?

MEKO alikuwa mwizi mkuu ,simameni wewe na ukoo wako kumtetea.
 
W

Wote hao wanatembelea nyota ya JPM si rahisi kuondoa legacy kwa vile ameacha alama ya mambo yaliyoshindikana miaka mingi. He was a result oriented man wengine wasipoangalia wataishia porojo.
Taja walau moja tu unaloamini limeshindikana kaliweza yeye
 
Mkijaribu kuandamana tutawapiga kipigo cha mbwa koko

Hiyo miguu tutaivunja kama miwa... Badala mfanye kazi mnataka kuleta ujinga alafu baadae mkipatwa na njaa muanze kuilaumu serikali. Fanyeni kazi msipende dezodezo
 
Mimi huyuhuyu niliekaa miaka 5 kwa matumaini kuwa atatangaza ajira ili maisha yawe nafuu alafu hajatangaza,mbaya zaidi tunakuja kujua na ela zetu kumbe walikua wanajibebea tu kama zao!kwakweli ntamtetea tukifika mbinguni ila sio hapa,nimekataa kabisa
 
Duh....
Tumuombee jambazi aliyeangamiza demokrasia ya Tanzania.

Tumuombee jambazi aliyecelebrate miili ya watu waliookotwa kt lambo uko coco beach.

We should celebrate death of dictator magufuli
Tumtetee jpm Alie tutukana mbili Mara tatu kutwa?
Tumtetee jpm Alie ua ndugu zetu bila huruma kwa kiwatupa kwenye viroba na kuwatumia watu wasio julikana?

Tumtetee mtu ambae baada ya kutuma washenzi wakamuue lisu walimimina risasi 38, akamnyima fedha za matibabu stahili ya mbunge, akakataza watu wasiemde kumwona hospitali na hata tulipo taka kukusanyika kumwombea Lissu akakataza na hata tulipo vaa tshert za pray for Lissu akatukamata???

Tumwombee mtu Alie nyima maslahi ya wafanyakazi?
Tumwombee Alie bomoa nyumba dar na za Mwanza zilizo kua katika mpango huo akasema waziache kwa kuwa ni wapiga kura wake??

Magufuli alikua ni shetani anae tembea,
Mwizi Alie jifucha katika kichaka Cha uzalendo.

Tunamshukuru Mungu kutuondolea kansa hii Kama taifa.
KWENDA ZAKO MAGUFULI, HATUKUPENDI.
 
Sawa Chief andoza, lakini bado hujajibu swali.
Doctor Yohana alipoulizwa kuhusu kufanya mabadiliko ya Katiba alisemaje?
Huoni kuwa labda angehepuka kikombe hicho cha huo "mfumo" unaoongelea wewe?

Sent from my TECNO BC1 using JamiiForums mobile app
Yeye alishaharibu legacy yake.Sisi tuliobaki tunao wajibu wa kukataa mfumo wa pindua meza uendelee.Tutake Mfumo imara.Tumlinde CAG,Tumpunguzie Rais Mamlaka zaidi na Tulete heshima ya mfumo hapa kwetu
 
Mimi niko na wewe hata kukibaki wawili.

Kuna fala amenisimanga eti kama nimeumia niende kulala juu ya kaburi,

Ndio naenda chato kabisa kugalagala juu ya kaburi.
Hiyo haitoshi omba kufunguliwa kabuli ulale karibu yake.
Maana enzi za ujinga watemi kanda ya ziwa walizikwa wakiwa wamekaa pamoja na kijana aliyehai kawaulize walimaanisha nini.
Pumbav kabisa
 
Andoza futa huu uzi.

Una heshima yako sana huku jukwaani, usijiingize kwenye masiasa.

Hakuna mtu anamsulubu Magufuli na ili kumtetea Magufuli maana yake unataka CAG asifanye kazi yake, this is what you want Andoza?
 
Mkuu,Mimi narudia tena!!Kuna mchezo mpya unapikwa.Tuskubali iwe ni RAHISI kwa nchi yetu kuyumbishwa na watu kwa matakwa yao.Natamani Mgome ili tuwekewe mifumo imara.Hii michezo hii tunachezewa sio kabisa.
Ukigoma wewe inatosha!
 
Mimi Leo Nasimama Kuhesabiwa,Nasimama Kuonekana ili wakati ukifika basi Iwe kwamba nilisimama.
Natambua kabisa kwamba Hayati Magufuli hakuwa Mbegu Bora kabisa ya kiongozi katika nchi ila kinachoendelea sasa hivi sio dhuluma dhidi ya Magufuli bali ni dhuluma dhidi ya Watanzania ambao ni wazalendo wa nchi hii.Nasema tena hii ni dhuluma dhidi ya Watanzania.

Sijajua Dhuluma hii ni kwa sababu ya Uoga au ni unafiki wa Watanzania.Naona kabisa inatumika nguvu kubwa sana kutaka kuuaminisha umma kwamba miradi yote ya Magufuli ni shody na kwamba sasa ni wakati wa kuiacha.Niseme tu ukweli kwamba kuna weza kuwa kuna matatizo katika miradi hii ila kwa kweli sidhani kama ni sawa kinachoendelea sasa hivi.

Ninasikia Sauti ya Magufuli akilia na kulaani kwamba hata kabla hajaoza tayari ameanza kusulubiwa na kulaaniwa hata katika maeneo ambayo alijitahidi kuyaweka sawa.Swali langu ni

Je ni kweli kwamba hawa wanaotuaminisha leo kwamba kila kitu hakifai kweli wana nia njema na taifa letu?Au nia yao ni kujijengea mazingira ya kuweka mambo yao sawa?
Kwani kuna nn mpaka atetewe? Kadhulumiwa nn maana ni chama chake ndo wapo madarakani wanaendeleza kaz, au CCM wanamdhulumu nn? Nadhan tujikite kusoma report ya CAG kwa kina ili tujue taifa letu lilikua linaekea wap.
 
Back
Top Bottom